Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Sasa kama kila dini kuheshimu dini nyingine, kwanini waislamu nao wasile kama wakristo ili kuheshimu ukristo, mbona wao wanakula hadharani wakati ya kwaresma? Huyu kiongozi atakua na vyeti feki.
Ukristo sio din ww aliekuambia ukristo din nan..ndomana ibada.zenu haziheshimiwi kwa din zenu.za uongo
 
Usiombe upange kwa muislamu hataki upige kwaya, uende kanisani kwako kama ukienda ukitoka nje ufiche biblia yako

Hawa watu nawaambia hawatakuja kupata madaraka yoyote yale, yaani wanaona ndio wanafata dini kumbe ni upuuzi tu

Kula kwangu kunakunyima nini wewe
 
Nawashauri ht mafundi wa ujenzi na n.k

Ukipata tenda zanzibar beba mafundi wako toka bara kule uvivu ni mali

Yaani kazi inaendelea unawaona watu wananawa unawauliza vipi wanajibu "yahee mda wa swalaa, unayufanya ntumwa sheehe wangu" piga swala za siku nzima utalia

Kule kila mtu amenunua helement yake kwa jili ya kuomba lifti tu
 
Mkuu umeeleza vya kutosha naweza kusema hizo ni athari za uislamu kwa waislamu,haya tueleze upande wa pili una athari gani kwa waumini wake?
Mimi nimesema nenda kafanye uchunguzi mwenyewe,sikukwambia dini gani au kitabu gani,ukishindwa njoo,nitajaribu kukuelekeza,jee umeuliza upande wa pili una athari gani,upande wa pili unamaanisha nini,natanguliza samahani sijakufahamu hapo.
 
Asilimia zaidi ya 99.9 ya wanaishi Zanzibar ni waislamu.Na tamaduni zote za kizanzibar zinaendana na uislam kuanzia mavazi,chakula,misiba,harusi,maongezi,elimu,malezi Hata kazi.n.k.

Wasio waislam ni chini ya asilimia moja maana Kuna makanisa na wengi ni wahamiaji,kikazi au kuolewa au biashara,na ndiyo maana maana Zanzibar swala tano mfanyakazi anaruhusiwa kuswalia kazini bila shida.muda wa swala ukifika anaenda eneo lake anaswali then anarudi kazini.

Hairuhusiwi kula chochote hadharani wakati wa Ramadhani,lakini usiye muislam unaweza kupika kwako na kula lakini Si hadharani.

Wanaruhusiwa kula wale wasiweza kufunga tu.wala Dukani huwezi kuuziwa soda

Hata sikukuu ya Idd kwa Zanzibar ni siku 4 siku 2 za kwanza hatuendi kazini then 2 zilizobaki kazi nusu siku.
 
Asilimia zaidi ya 99.9 ya wanaishi Zanzibar ni waislamu.Na tamaduni zote za kizanzibar zinaendana na uislam kuanzia mavazi,chakula,misiba,harusi,maongezi,elimu,malezi Hata kazi.n.k.

Wasio waislam ni chini ya asilimia moja maana Kuna makanisa na wengi ni wahamiaji,kikazi au kuolewa au biashara,na ndiyo maana maana Zanzibar swala tano mfanyakazi anaruhusiwa kuswalia kazini bila shida.muda wa swala ukifika anaenda eneo lake anaswali then anarudi kazini.

Hairuhusiwi kula chochote hadharani wakati wa Ramadhani,lakini usiye muislam unaweza kupika kwako na kula lakini Si hadharani.

Wanaruhusiwa kula wale wasiweza kufunga tu.wala Dukani huwezi kuuziwa soda

Hata sikukuu ya Idd kwa Zanzibar ni siku 4 siku 2 za kwanza hatuendi kazini then 2 zilizobaki kazi nusu siku.
Nashukuru kwa maelezo yako ila nina swali moja la nyongez, hivi nikiwa mpangaji na mimi si mwislam naruhusuwa kupika nikaangiza na vyakula vikanukia mchana wakati wenye nyumba wamefunga? Je, watoto wa Zenj wale wadogo nao inabidi washinde njaa kama watu wazima? Natanguliza shukrani.
 
Nashukuru kwa maelezo yako ila nina swali moja la nyongez, hivi nikiwa mpangaji na mimi si mwislam naruhusuwa kupika nikaangiza na vyakula vikanukia mchana wakati wenye nyumba wamefunga? Je, watoto wa Zenj wale wadogo nao inabidi washinde njaa kama watu wazima? Natanguliza shukrani.
Wadogo wanapikiwa na kula ila wadogo wakubwa wakubwa wanafundishwa kufunga ila Si lazima sana kwao kama wakishindwa.

Mpangaji anapika na kula ila Si hadharani

Mgonjwa anapikiwa na kula ila kama akiamua kufunga ni yeye mwenyewe.
 
Mkuu umeeleza vya kutosha naweza kusema hizo ni athari za uislamu kwa waislamu,haya tueleze upande wa pili una athari gani kwa waumini wake?

Upande wa pili upi? Dini zote si zimeletwa either na waarabu au wazungu, hata history inasema. Ndiyo maana tunautofauti mfano ukienda nchi za South east asia ambapo wamishionari walichelewa kupenetrate unakuta wengi ni buddhist na si wakristo wala waislamu. Missionaries au arabs wangewahi kule hizi nchi nazo zingekua zimejaa wakristo, au waislamu. Bado mtu anataka proof kua dini imesambazwa toka na kikundi flani cha watu wachache. Dini zote ovyo tu, story zilizotungwa na wanadamu.
 
Kwani mila inatambuliwa na sheria hadi kufikia kuminya uhuru wa jamii ingine usiokubaliana na mila hiyo kwenye taifa huru?

Unachokisemea Mkuu ni kitu kilishazoeleka miaka nenda miaka rudi,na hata wakristu wa Zanzibar wanakiona ni sehemu ya sheria,msiingize mambo ambayo hayapo jamani kama hujui ni bora kuuliza wanaojua zaidi utapewa sababu
 
Aaaafriiiiiiikaaaaaaaaaaaaa.....diniii zililetwaaa tuuuuu..... Huu ni wimbo wa Afande Sele.
 
Yaani hakuna kitu kizuri kama swaumu inakuweka karibu na muumba wako,inaondoa minyoo na maradhi mbalimbali sema dunia tu ndio instushughulisha lakini ingekuwa vizuri katika mwezi huu mtu unahamia zanzibar unafunga na kusoma quraan
 
Upande wa pili upi? Dini zote si zimeletwa either na waarabu au wazungu, hata history inasema. Ndiyo maana tunautofauti mfano ukienda nchi za South east asia ambapo wamishionari walichelewa kupenetrate unakuta wengi ni buddhist na si wakristo wala waislamu. Missionaries au arabs wangewahi kule hizi nchi nazo zingekua zimejaa wakristo, au waislamu. Bado mtu anataka proof kua dini imesambazwa toka na kikundi flani cha watu wachache. Dini zote ovyo tu, story zilizotungwa na wanadamu.
Kaka wanaoiga wanakuwa wanauchungu kuliko wenyewe, ili kutawala mzungu na mwarabu ilikuwa lazima atubadili dini ili tumuelewe, ama sivyo ingeshindikana kabisa, jamaa walituweza, wamegawa huku huku kule, wamechota vya kutosha, uarabuni na ulaya kumejengwa na jasho la watumwa, sasa mpaka nasi tufike huko kazi, na wanafanya kila hujuma kuanzia vipingamizi kwenye masoko mpaka mikataba isiyoeleweka Afrika, na hawataki kabisa sisi waafrika tuungane, angalia tu DRC, ile nchi iko kama ina laana, wana kila kitu, kila chombo cha mawasiliano duniani kinatumia madini toka kule, kwanini hakuna amani? Kwanini wako maskini? Mwarabu na mzungu ni katili acha tu, hata wale wazamiaji tuwaonao wanazama baharini kwa kukimbilia ulaya, wafikiri ulaya kumejaa ndiyo sababu hawawataki? Hapana, nao wanaogopa waafrika wakizidi kule, yaweza kuwaletea matatizo, angalia kama Saudia, yuko tayari kuchanga mabilioni ya dola lakini hayuko tayari kuchukuwa wakimbizi toka Syria au Iraq?! Uislamu gani sasa huo?! Kama kweli wao ndio waislamu halisi waonyeshe upendo basi hata kwa waarabu wenzao, kwa kweli nakubaliana na wengi, dini ndiyo chanzo cha maugomvi yote duniani
 
Mimi nimesema nenda kafanye uchunguzi mwenyewe,sikukwambia dini gani au kitabu gani,ukishindwa njoo,nitajaribu kukuelekeza,jee umeuliza upande wa pili una athari gani,upande wa pili unamaanisha nini,natanguliza samahani sijakufahamu hapo.
Upande wa pili namaanisha imani zengine.
 
Hawajui kuwa Zanzibar enzi za mkoloni pombe unakata leseni ya kukuruhusu kunywa
Sheria hiyo ya Sultan ya 1922 inatumika hadi leo, ili halmashauri wakupe kibali cha kuuza kilevi chochote ni lazima kwanza ushitakiwe na mahakamani na uelezee sababu ya kuuza pombe, uishawishi mahakama ikupe clearance. Kila mwaka kabla ya ku-renew lazima upelekwe mahakamani
 
Upande wa pili upi? Dini zote si zimeletwa either na waarabu au wazungu, hata history inasema. Ndiyo maana tunautofauti mfano ukienda nchi za South east asia ambapo wamishionari walichelewa kupenetrate unakuta wengi ni buddhist na si wakristo wala waislamu. Missionaries au arabs wangewahi kule hizi nchi nazo zingekua zimejaa wakristo, au waislamu. Bado mtu anataka proof kua dini imesambazwa toka na kikundi flani cha watu wachache. Dini zote ovyo tu, story zilizotungwa na wanadamu.
Ok mkuu hizi imani/dini zipo duniani kote japo zinatofautiana ,na umesema hizi dini ni story zilizotungwa na watu tu. Hebu niambia idea hii ya dini/imani ilianza wapi hadi ikasambaa duniani kote?
 
Ok mkuu hizi imani/dini zipo duniani kote japo zinatofautiana ,na umesema hizi dini ni story zilizotungwa na watu tu. Hebu niambia idea hii ya dini/imani ilianza wapi hadi ikasambaa duniani kote?

Kumbuka kuna miungu zaidi ya 3000. Unataka story ya mungu yupi nikwambie kaanzia wapi?
Ni kama siku hizi tu story zinaanza polepole za mtu zinaanza kukuzwa, chukulia mfano Elon Musk, na mambo yake ya kutaka kupeleka watu Mars, kuweka renewable energy sources kwenye kila nyumba, its science leo tunaelewa hivyo, ila kuna kikundi cha watu wachache wanamuona jamaa kama mwokozi vile, story zinasambaa polepole, zinakuzwa, inafika muda watu wanaanza kuzikisia zimekuzwa kweli utadhani jamaa kageuka mungu anataka kukomboa wanadamu, sasa kwa leo unaweza ona upuuzi maana tumeendelea, ila miaka elfu kadhaa nyuma, hata kipaji cha kawaida tu mtu unaonekana very extraordinary, people were ignorant ukilinganisha na leo. Soma biblia na quran uone vifungu vinavyopingana mule, anayesema vinaongelea amani namshangaa sana, maana vimejaa utumwa, ukandamizaji wa wanawake, mauaji, tena in plain direct text.

Ungezaliwa alafu usijazwe dini kichwani ukaachwa hadi ufike umri wa mtu mzima tuseme miaka 20, alafu ukaanza kuambiwa kuna mungu, mtu aliyetenganisha bahari kwa fimbo, ungeamini kweli? hehehe
 
Asilimia zaidi ya 99.9 ya wanaishi Zanzibar ni waislamu.Na tamaduni zote za kizanzibar zinaendana na uislam kuanzia mavazi,chakula,misiba,harusi,maongezi,elimu,malezi Hata kazi.n.k.

Wasio waislam ni chini ya asilimia moja maana Kuna makanisa na wengi ni wahamiaji,kikazi au kuolewa au biashara,na ndiyo maana maana Zanzibar swala tano mfanyakazi anaruhusiwa kuswalia kazini bila shida.muda wa swala ukifika anaenda eneo lake anaswali then anarudi kazini.

Hairuhusiwi kula chochote hadharani wakati wa Ramadhani,lakini usiye muislam unaweza kupika kwako na kula lakini Si hadharani.

Wanaruhusiwa kula wale wasiweza kufunga tu.wala Dukani huwezi kuuziwa soda

Hata sikukuu ya Idd kwa Zanzibar ni siku 4 siku 2 za kwanza hatuendi kazini then 2 zilizobaki kazi nusu siku.
Unaowaita wahamiaji ni Watanzania, mtavimba mpasuke wale watabaki kuwa kwao Zanzibar, hata hivyo wazanzibari waliozaliwa Bara ni chini ya 50,000 ila sote tunajua kuwa Watanzania waliozaliwa Zanzibar ni 800,000 Dar peke yake nusu. Hata hivyo WAKRISTO ZANZIBAR NI 30% upasuke ila ndio ukweli. Ukiweka hao unaowaita wageni wa Bara, Wakenya, Wazungu na Wawekezaji wa nje. Pia watalii 300,000 ambao 99% ni Wakristo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom