Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,144
serikali ya tanzania haina dini, ila wananchi wake wana dini.
Ikitokea hivyo kuna shida gani? Mbona hata leo anga imeshehenezwa na Harufu za vyakula na bado maisha yamesonga mbele?
Bado mwezi mtukufu wa Rambhani haujaingia, hivyo hamna tofautiIkitokea hivyo kuna shida gani? Mbona hata leo anga imeshehenezwa na Harufu za vyakula na bado maisha yamesonga mbele?
kula hadharani bado hujampa maudhi !? ...wacha kujichanganya !Mimi tutapigana aisee...Hela nitafute mimi na kula mnipangie... BTW nchi hii haina dini hata kama kule ZNZ asilimia 90 ni waislamu ili mradi sijakashifu dini yake wala sijampa maudhi aliyefunga
Nipo mgahawani/hotelini bado nizuiwekula hadharani bado hujampa maudhi !? ...wacha kujichanganya !
Kwaresma mnashindwa hata kufunga kwa saa 6 tu, funga isiyo na utaratibu maalum kila mtu na tafsiri yake !Ile kutwa mara 3 wao wanaifanya usiku
Bado mwezi mtukufu wa Rambhani haujaingia, hivyo hamna tofauti
Hizo ni tabia za makafiri na si za Uislaam !Kufunga mwezi mmoja ila ufusika,majungu,fitina,umalaya mwezi11
Utakuwa hujui maana ya hadharani !Nipo mgahawani/hotelini bado nizuiwe
Ngoja nifike huko ndo ntajua !Ungekuwa mwanaanga muislamu ukaenda Sayari ya Jupiter au Mars ungetumia mwezi upi katika kuongozwa kufunga?
sawa mkuu siijui kabisa..poaUtakuwa hujui maana ya hadharani !
Maana hujui tofauti ya ndani na nje !sawa mkuu siijui kabisa..poa
Kwaresma na nyie hamtakula hadharani?
Cha msingi mnapiga kutwa mara 3 ila mmeiproject kwenda usiku!
Sasa mimi nawaambia,msosi natandika kama kawaida,anibughudhi mtu aone cha moto!
Maana kila mtu anamuombaga Mungu kivyakeKwaresma mnashindwa hata kufunga kwa saa 6 tu, funga isiyo na utaratibu maalum kila mtu na tafsiri yake !
Kwaresma mnashindwa hata kufunga kwa saa 6 tu, funga isiyo na utaratibu maalum kila mtu na tafsiri yake !
kabisa mkuuMaana hujui tofauti ya ndani na nje !
Kiufupi utaratibu wangu wa maisha haubadiliki,kama nilikuwa nakula mgahawani nitaenda kula huko!Kama nilikuwa nakula kibarazani nitakula hapo,siwezi fanyishwa ibada kwa lazima,ebo!!!Kama wewe unajiamini tafadhali karibu Zanzibar uje ujilie hadharani (mbele za watu) mchana katika mwezi mtukufu wa ramadhani.