Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Vitu vingine muwe mnauliza kwanza,Hii siyo kwaresma kwamba unafunga ikifika saa7 unakula...Sisi waislam tumelazimishwa Na Mungu muumbaji tufunge kama walivyofunga akina yesu Na wengine huko zamani.

Ww unaamini kuna dini 2 tu huku duniani. Na kwa bahati mbaya sana unadhani dini ni jina. Kuna watu wamezaliwa katika dini zao na baadae kuna mambo hawaoni umuhimu wa kuyafuata, hapo ni jambo la ushawishi na sio shuruti kutii. Kikubwa hapa tunasema hili ni jambo la kiimani ambalo sio wajibu wa serekali kwa watu wake.
 
Na wewe ndio unapotoka kabisaa yaani hilo kanisa la kulawiti vitoto vya kiume vya kwaya na kulala wa "watawa" hilo halifai kabisa yaani ni ushetani mtupu. Mlianza kukutana makanisani na wanawake zenu kuvaa utupu mkaushabikia uzinifu mkazaa wanaharamu na sasa wanawake mumewachoka mnaanza kufirana nyinyi, kusagaba nyinyi ,kulawiti vitoto vya kiume nyinyi, utapeli wa maombi nyinyi ,mauaji ya halaiki duniani nyinyi, kuvamia nchi za watu na kuua na kuharibu mali ni wakiristo laaana. Fitina na kusababisha vita kwa maslahi yenu ni nyinyi. Watu waki resist mnawaita majina mabaya. Hii laaana yenu ndio maana ukiristo unakufa ulaya. Yaliyobaki ni majina ya kikiristo lakini hakuna na wala hawautaki. Mijinga na laaana ni huku Africa.
Inaelekea uliwahi kulawitiwa wewe pole sana
 
Wakati wa kwaresima hakuna kula hadharani, does it make sense?
Yeah it make sense.mku yau..kwan utaratibu huo ulikuepo before mapinduz ..na inshu ya kwa rezma utaratibu haupo na haujapangwa. And then .wakiristo wengi huwa hawafungi i dont know why... so thats imposible..
 
Wanavyosema dini zote ziheshimiwe, alafu wewe wanakufanyia fujo ukila mchana, hapo nani kamvunjia heshima mwenzake? magaidi tu hakuna kingine. Waislamu wakiwa moja moja unaweza ona mtu wa maana, wakiungana wakawa kundi kubwa hamna wanachofikiria zaidi ya kukomoa mtu yeyote ambaye sio kundi lao, udini umewajaa balaa, ila ni wa kwanza kubisha, hawaamini kama ni terrorists ila wakikaa kuanalyze wanajikuta wanachofanya ni exactly kinachofanywa na makundi makubwa ya kigaidi.

Nimejua kwa nini Zenji hawapewi uhuru, wakipewa wanaweza anza kuchinja watu hadharani kwa kula mchana, au wakageuza hiyo sehemu kua kambi ya alshabaab au isis.
 
Funga nilazima kwa muislam nasio hiari. Nenda kale mchana uone

Huoni inaleta picha kuwa ni dini ya kushurutishana na sio ya unyenyekevu mbele ya Mungu? Nijuavyo mimi kifunga ni kunuia na sio kulazimisha. Sikatai nyie kulazimishana kufunga, wasiwasi wangu mtawaumiza kwa njaa wale wasioona umuhimu wa kufunga toka rohoni.
 
Na wewe ndio unapotoka kabisaa yaani hilo kanisa la kulawiti vitoto vya kiume vya kwaya na kulala wa "watawa" hilo halifai kabisa yaani ni ushetani mtupu. Mlianza kukutana makanisani na wanawake zenu kuvaa utupu mkaushabikia uzinifu mkazaa wanaharamu na sasa wanawake mumewachoka mnaanza kufirana nyinyi, kusagaba nyinyi ,kulawiti vitoto vya kiume nyinyi, utapeli wa maombi nyinyi ,mauaji ya halaiki duniani nyinyi, kuvamia nchi za watu na kuua na kuharibu mali ni wakiristo laaana. Fitina na kusababisha vita kwa maslahi yenu ni nyinyi. Watu waki resist mnawaita majina mabaya. Hii laaana yenu ndio maana ukiristo unakufa ulaya. Yaliyobaki ni majina ya kikiristo lakini hakuna na wala hawautaki. Mijinga na laaana ni huku Africa.
Sijaona hoja yako bado,tambua kuwa somalia hakuna kanisa wala parokia ndiko amani haipo zaidi hakuna jeshi linaloongoza duniani kwa kusali kama la somalia ila ndiko vifo vya watu vimejaa.Angalia nigeria bokoharamu wanavyosumbua ni nchi ya kiislamu wameteka na kufila watoto hadi wamewazalisha bila kulipa hata mahali kisa dini.
Robo tatu ya wakimbizi duniani ni waislamu sasa huyo Mungu mnayemwabudu yuko likizo hadi asiwajibu?.Uislamu ni amani,uislamu ni upendo uislamu ni baraka iweje mkose vitu hivyo wakati nyinyi ni waislamu?.
Lini mliwaona wakristo wakikimbilia nchi za kiarabu kutafuta amani.
Tumepewa uhuru wa kuishi popote lakini kwa amani.Watumwa wote wa kiume waliopelekwa ulaya wamezaliana wana watoto lakini waliopelekwa nchi za kiislamu uarabuni waliishia kuhasiwa kama ngombe na kufilwa na wamekufa na uzazi wao.Mna matukio machafu yasiyoelezeka.Hapo ulipo ukienda uarabuni utaukuta msikiti wa watu weusi pekee na wa waarabu pekee.
Hata hapa Tanzania kuna misikiti mtu mweusi hawezi kuswali.
Ubaguzi misikitini ukiisha na kauli hizi nazo zitakufa.
 
Usipate tabu ya kutaka kujua sheria watakayo tumia ww jiandae kuanzia tar 29/05 nenda znz anza kula tokea kwenye boti au ndege mpaka unapo fikia ww kula tu wakikutia mkononi ndio utapata jibu lake.

Kwa maneno haya pindi uisilamu unapohusishwa na ugaidi huwa mnakasirika nini?
 
Nilivyoelewa ni usile hadhran. Ni kama tunavyozuia uvaaj wa kimini ili wanaume wasipatwe mifadhaiko. sema zanzibar wamegusa idara nyet ya dini. Mambo haya hushamiri jamii ambapo elimu ahera ni kubwa kuliko elim dunia. Hata wasabato tuliona wakitaka kupanda ndege bure. DAWA YA ZANZIBAR NI KUHAKIKISHA JAMHURI INAWEKA MPANGO MAALUM KILA RAIA KULE ASOME HADI CHUO. NA AJIRA WENGI WAPELEKWE BARA NA WA BARA WAJAE ZANZIBAR. Kwa vile tunahitaji usalama na tuwekeze hivyo. Ndoto yangu ni siku moja tuwe na nchi iitwayo TANZANIA. Zanzibar kuwe tu na mikoa. NCHI MOJA, KATIBA MOJA, RAIS MMOJA
Pole. Kwa kua sasa zanzibar itajikomboa kutoka kwenye makucha ya kikoloni ya tanganyika. Hapa ni uislam tu
Narudia tena, iwapo nimekula hadharani ukinipeleka mbele ya sheria ni kifungu kipi kitatumika kuniweka hatiani? Ni wajibu wa serekali kuhakikisha watu wote wanafunga? Kwenda kwa Mungu ni hiyari na sidhani ni kulazimishana. Sipingi hilo la kutokula hadharani napinga serekali kutaka kusimamia jambo hilo la kiimani kwani ni jambo la hiari na sio jukumu la serekali kwa watu wake.
 
Nenda zanzibar kale ukikamatwa utapata jibu watakapo kuhukumu. Kufunga ni lazima kwa kila muislamu sio hiari labda uwe mngojwa,Au jnasafiri,au mjamzito,au unanyonyesha.Na ikiisha ramadhani utalipiza zile siku usizo funga.

Nakubaliana na ww kabisa kufunga kwa mwisilamu ni lazima. Je muisilamu unamtambua kwa jina au anapoishi? Je ni jukumu la serekali kuhakikisha waisilamu wanafunga?
 
Sijaona hoja yako bado,tambua kuwa somalia hakuna kanisa wala parokia ndiko amani haipo zaidi hakuna jeshi linaloongoza duniani kwa kusali kama la somalia ila ndiko vifo vya watu vimejaa.Angalia nigeria bokoharamu wanavyosumbua ni nchi ya kiislamu wameteka na kufila watoto hadi wamewazalisha bila kulipa hata mahali kisa dini.
Robo tatu ya wakimbizi duniani ni waislamu sasa huyo Mungu mnayemwabudu yuko likizo hadi asiwajibu?.Uislamu ni amani,uislamu ni upendo uislamu ni baraka iweje mkose vitu hivyo wakati nyinyi ni waislamu?.
Lini mliwaona wakristo wakikimbilia nchi za kiarabu kutafuta amani.
Tumepewa uhuru wa kuishi popote lakini kwa amani.Watumwa wote wa kiume waliopelekwa ulaya wamezaliana wana watoto lakini waliopelekwa nchi za kiislamu uarabuni waliishia kuhasiwa kama ngombe na kufilwa na wamekufa na uzazi wao.Mna matukio machafu yasiyoelezeka.Hapo ulipo ukienda uarabuni utaukuta msikiti wa watu weusi pekee na wa waarabu pekee.
Hata hapa Tanzania kuna misikiti mtu mweusi hawezi kuswali.
Ubaguzi misikitini ukiisha na kauli hizi nazo zitakufa.
Mnasema hatuna amani lakini waislamu hawajaua wayahudi milioni 6 wala misikitini kule Rwanda haikupatikana maiti na kwenye makanisa yenu ndio mauaji makubwa yalitokea. Unataka kuwe na kanisa Somalia halafu mtuletee ushoga? Kwani hii vita yote duniani anaeviendesha ni wasio waislamu. Mauaji makubwa makubwa duniani yamefanywa na waislamu???
 
Ujinga tz ni wa viwango vya dunia. Hivi we ukifunga mi nisipofunga na nikaendelea kula kwa uliefunga unaumia nn? Au umefunga kwa vile ni kipindi cha mfungo? Mbona wakristu wakifunga wenyewe huwa wanagonga tu vyakula? Mijitu mingine shida kweli ndoo maana Mkuu wa Marekani hawataki hao magaidi
Hawataki hao magaidi lakini sasa hivi yuko Saudia anakula bata.

Usisahau uwekezaji mkubwa aliowekeza kwenye hizo nchi za "MAGAIDI"

Kweli "UKONDOO" ni mzigo maana wanayo macho lakini hawaoni na wanayo masikio lakini hawasikii!!! Viongozi wao wanapokuwa na kondoo husema hivi wakiwa peke yao hafanya hivi.
 
Ukiwa na inani huwezi kutishwa na vishawishi vya kuona kwa macho,kusikia,kunusa na kuhangaika kujenga ukuta ati usimuone binti Hemedi unaposwali ili usishawishike.
Tamaa hailindwi na mbwa,bunduki,mgambo wala jeshi la polisi.Ukipandwa na tamaa umelala ndani na mkeo utavunja vizuizi vyote na drill zote hadi utahamishia mawazo yako kwa mchepuko ambao pengine uko ulaya na waweza kuitwa jina na mkeo hata usisikie maana umemwachia mwili tu.
Sasa wewe unazuia tamaa kwa ukuta,unazuia njaa kwa kukataza watu wasile hadharani,unazuia uzinzi kwa kuvaa na kufunika masikio,pua,nyayo huku hujavaa chupi na umetega masikio kama antena za azam unasikia yote na unanusa harufu zote za vyakula zilizopikwa mtaa wa saba.
Acheni ujasiriamali wa kidini mwenye kula na ale mbona yesu kristo wetu tunayemuabudu alipelekewa mikate ya kikinga wakati amefunga wakimjaribu ale kwa kuwa ana njaa.
Akawajibu akasema imeandikwa mtu hataishi kwa mkate tu bali kwa neno la uzima wa milele.Jifunzeni kuyashinda majaribu.Mungu hajatuahidi sisi wanadamu safari salama bali katuahidi kufika salama ndiyo maana maisha bila majaribu tena ni ajali yaani majaribu ndiyo kipimo cha ukomavu wa imani yetu.
Inafaa unapoenda kanisani ukutane na hawala yako wa zamani amependeza anakufuata kwako,unapokuwa umefunga ukutane na watu wanakula kitimoto hadharani na mengineyo.
Ukiyashinda hayo ndipo upewe taji ya mafanikio yako.Mnataka mfunge halafu msikutane na majaribu eheeee,msahau.
Uwe mkristo,muislamu,mpagani,mtamaduni majaribu yapo na ndiyo ushindi wako.Ukichoka na majaribu dawa ni kufa.
 
Kwa maneno haya pindi uisilamu unapohusishwa na ugaidi huwa mnakasirika nini?
Wewe unauona ugaidi wa waislamu tu. Hatukatai baadhi ya waislamu ni magaidi lakini uislamu si ugaidi. Wewe huoni ugaidi unaofanywa na wakiristo. Na mauaji na maelfu na malaki na mamilioni. Tukianza kutaja ugaidi uliofanywa na unaoendela kufanywa na nchi za kikiristo za magharibi hatutamaliza na leo. Wewe unajua kuwa mauaji makubwa duniani yamefanywa na mfalme wa Ubeligiji kwa watu wa kongo. Aliua wakingoman milioni 10
 
Zanzibarians are fools

Kushinda nyinyi ambao mnafanya vitu VIS VASA!? Wanaume hawatahiriwi na badala yake wanawake ndio wanatahiriwa.

Hii ndio shida ya kuwa mwanakondoo mfuata mkumbo!! Ndio maana mnalishwa majani na kuchomwa moto na kibwetere.
 
  • Ni kweli hata ukiwa mafichoni unafanya vyako (unajipikia ili ule) wale jamaa wengine wakisikia harufu bado ni nongwa
Mkuu hawa jamaa noma! Wanahusudu sana mambo ya msosi kiasi kwamba wakisikia harufu tu bado ni nongwa
 
Raisi Magufuli Sheria na ndaro zake mwisho kisiwa Cha Chumba, Zanzibar hana uwezo wa kumhukumu au kumteua hata diwani!!

Si unakumbuka alivyosema ningekuwa mimi nisingesaini hela ya matibabu ya maalim.!!!!!?????
Mambo ya akina JECA
 
Mnasema hatuna amani lakini waislamu hawajaua wayahudi milioni 6 wala misikitini kule Rwanda haikupatikana maiti na kwenye makanisa yenu ndio mauaji makubwa yalitokea. Unataka kuwe na kanisa Somalia halafu mtuletee ushoga? Kwani hii vita yote duniani anaeviendesha ni wasio waislamu. Mauaji makubwa makubwa duniani yamefanywa na waislamu???
Mtaletewaje ushoga wakati umezaliwa huko.Ni kweli Rwanda mauaji yalifanyika baina ya watsi na wahutu na mapigano yalikoma leo maisha ya wanyarwanda siyo sawa na wasomalia,wasudani,walibya wana amani.Hadi nyinyi waislamu mmepeleka uislamu rwanda kwa kuwa kuna amani.Leo somalia hakuna wakristo kwasababu amani haipo na itikadi ya kiislam ni kuua imani nyingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom