gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,671
Kama kweli umewachagulia rais sasa mlazimishe huyo rais uliyemchagua afute hilo tamko.
Kawaona wapuuzi tu msije kujiripua kisa wali
Kama kweli umewachagulia rais sasa mlazimishe huyo rais uliyemchagua afute hilo tamko.
Ikitaka jibu kamuulize padri wakoJibu kwa fact
Nyinyi wenyewe kwaresma hamuiheshimuSasa kama kila dini kuheshimu dini nyingine, kwanini waislamu nao wasile kama wakristo ili kuheshimu ukristo, mbona wao wanakula hadharani wakati ya kwaresma? Huyu kiongozi atakua na vyeti feki.
Unahela labda wende kwa miguu. Imekushinda nauli ya mwendo kasi!!!!Nataka niende zenji nkapate lunch alaf nione atakaeshoboka
Mkuu nyie huwa ni mazuzu tu hamjui kuwa dini ni utashi wa mtu nyie mnalazimishana kufunga tuKushinda nyinyi ambao mnafanya vitu VIS VASA!? Wanaume hawatahiriwi na badala yake wanaweza wanatahiriwa.
Hii ndio shida ya kuwa mwanakondoo mfuata mkumbo!! Ndio maana mnalishwa majani na kuchomwa moto na kibwetere.
Naomba kuuliza mbna wakati wa Ramadhan kitimoto huwa haiuziki kwa xana AF hata wateja wa bar hupungua
Makafiri mnawajua nyie Sie tunachojua waislam wanakula nguruwe as well as BalimiUkiona hivyo ujue makafiri wanaojifanya waislamu kipindi hicho huwa wanamuogopa M/Mungu hivyo huwa wanaacha mabaya yao kwa kuwa ramadhani ni mwezi mtukufu.
Muislamu wakweli hali nguruwe wala kunywa pombe, kuzini, kulawiti au kulawitiwa, kusengenya, kusema uongo, kudhulumu, kuiba, n.k.
Ukimuona Abdalla, Ali, Salma, Asha wanayafanya hayo hapo juu ujue hao ni makafiri.
Zanzibar Maqafiri wame vamia tu sasa kama wamevamia Lazima wafuate masharti ya kule hilo halipingiki. Msipaniki kwa hilo ukienda ugenini usitake upange ratiba ya msosi ww kaa upangiwe. Izo mnaleta tabia za kigalatia wasio na AkiliUkishaona jambo linalazimishwa elewa halina mvuto tena , hizi imani za kulazimishana zina mushkheri , yakhe !
Thubutuu wameiba kongo mpaka sasa wanawaibia wakongo wanasema hakuna ukabila wakati maofisi yote ya serikali yamejaa watutsi.wana amani.
Mwendo kas ndio nn mkuuUnahela labda wende kwa miguu. Imekushinda nauli ya mwendo kasi!!!!
Kwani zanzibar hakuna ukristo,wakristo kwa taarifa yako kama hujui ukristo ndiyo uliotangulia kufika kule.Kasome vitabu.
Tatito lenu mkienda ugenini hamtaki kufuata kanuni za mwenyeji wako unataka kupanga wewe kanuni zako. Nahii ipo kwa MAQAFIRI wote kama unajiona uwezi masharti ya ugenini kwako huya wezi nibora urudi kwenu.Ww unaamini kuna dini 2 tu huku duniani. Na kwa bahati mbaya sana unadhani dini ni jina. Kuna watu wamezaliwa katika dini zao na baadae kuna mambo hawaoni umuhimu wa kuyafuata, hapo ni jambo la ushawishi na sio shuruti kutii. Kikubwa hapa tunasema hili ni jambo la kiimani ambalo sio wajibu wa serekali kwa watu wake.
Kwani nyie mnafunga au mnafanya utani !.? ati kuacha kunywa bia pia ni kufunga badala yake unywe soda !SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma, Khamis Juma Maalim wakati akijibu swali la mwakilishi wa jimbo la Paje, Jaku Hashim Ayoub aliyetaka kujua serikali inatoa tahadhari gani kwa watu watakaobainika kula mchana wakati wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Alisema utamaduni wa wananchi wa Zanzibar ni kuheshimu kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa makundi yote ikiwemo wa dini tofauti. Alifahamisha kwamba utamaduni huo upo hata kabla ya Mapinduzi ya Januari 12 mwaka 1964 wa dini tofauti kuheshimu dini za watu wengine.
Alisema kazi ya kutoa elimu kuhusu ujio wa mwezi mtukufu wa Ramadhani imeanza kutolewa na Ofisi ya mufti ambayo ndiyo yenye jukumu la kushughulikia masuala ya mambo ya dini ya Kiislamu.
Alisema kazi kama hiyo imeanza kutolewa na maimamu wakuu wa misikiti mbalimbali Unguja na Pemba ikiwemo katika sala za Ijumaa ambazo hukusanya idadi kubwa ya Waislamu kwa wakati mmoja.
Alikiri kuwepo vijana wengi wanaoacha kufunga katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na kula hovyo pamoja na kuvuta sigara. Maalim alisema zipo taarifa kwamba hoteli nyingi hufanya kazi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo wateja wake wakubwa ni vijana wa Kiislamu. Waislamu nchini wanatazamiwa kuanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wiki ijayo ambapo ibada ya funga ni moja ya nguzo tano za dini ya Kiislamu
Chanzo: Habari Leo
=====================================
Nataka kujua kipindi kwa kwaresma mbona hawakutoa tamko hili.
Kwaio wakristo wawe wanajificha wakati wa chakula cha mchana.
Hapana naona kuna harufu ya udini kuanza Zanzibar.
Watu wengine hawana matatizo ila waislam. Nafikiri unajua wazi wanaume nao kuna mda wanavaa hijab kwenda kufanya ugaid, wizi nk. Ndo maana wamepiga mrafuku. Halafhwa knaitu sikindi am nitata nafasi ya kuwa rais nitakifutilia mbali. Adhana. Hii ni kero unakuta mispika usiku saa kumi wanaadhiniswal swala. Mnaamsha hata ambao haiwahusu. Kwa nn msiamshane nyie kwa nyie. Huko znz ukipatikana unakula mwezi wa ramadhani unashida, ukiuza chakula mchana mwezi wa ramadhani unashida
Ndio maana Kwaresma haina nidhamu wala taratibu za kufuatwa, kila mtu anafanya yake !Mkuu nyie huwa ni mazuzu tu hamjui kuwa dini ni utashi wa mtu nyie mnalazimishana kufunga tu
Nitakuona ww kilaza ukishangaa udini zanzibar mbona uhoji uwepo wa Qadhi,luninga ya Smz hurusha vipindi vya Dini moja tu ya kiislamu,au huo sio udini ? Tumieni akilizenu jamani hilo linajulinana. Zile alakati zenu za kuchinja ziliishia wapi vile?. Kataarifa yako Kwaresma sio kufunga eti unywe soda baada ya kunywa bia useme umefunga huo si utahira huoSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma, Khamis Juma Maalim wakati akijibu swali la mwakilishi wa jimbo la Paje, Jaku Hashim Ayoub aliyetaka kujua serikali inatoa tahadhari gani kwa watu watakaobainika kula mchana wakati wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Alisema utamaduni wa wananchi wa Zanzibar ni kuheshimu kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa makundi yote ikiwemo wa dini tofauti. Alifahamisha kwamba utamaduni huo upo hata kabla ya Mapinduzi ya Januari 12 mwaka 1964 wa dini tofauti kuheshimu dini za watu wengine.
Alisema kazi ya kutoa elimu kuhusu ujio wa mwezi mtukufu wa Ramadhani imeanza kutolewa na Ofisi ya mufti ambayo ndiyo yenye jukumu la kushughulikia masuala ya mambo ya dini ya Kiislamu.
Alisema kazi kama hiyo imeanza kutolewa na maimamu wakuu wa misikiti mbalimbali Unguja na Pemba ikiwemo katika sala za Ijumaa ambazo hukusanya idadi kubwa ya Waislamu kwa wakati mmoja.
Alikiri kuwepo vijana wengi wanaoacha kufunga katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na kula hovyo pamoja na kuvuta sigara. Maalim alisema zipo taarifa kwamba hoteli nyingi hufanya kazi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo wateja wake wakubwa ni vijana wa Kiislamu. Waislamu nchini wanatazamiwa kuanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wiki ijayo ambapo ibada ya funga ni moja ya nguzo tano za dini ya Kiislamu
Chanzo: Habari Leo
=====================================
Nataka kujua kipindi kwa kwaresma mbona hawakutoa tamko hili.
Kwaio wakristo wawe wanajificha wakati wa chakula cha mchana.
Hapana naona kuna harufu ya udini kuanza Zanzibar.