Zanzibar wanatoa wapi pesa za kujenga viwanja vya michezo bila kukopa?

Zanzibar wanatoa wapi pesa za kujenga viwanja vya michezo bila kukopa?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,143
Reaction score
56,407
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi tuombe mkopo.

Tanzania ni mwenyeji wa AFCON 2027, kiwanja tunachokitegemea ni Benjamin Mkapa nacho kila siku kipo kwenye marekebisho. Kiwanja cha Arusha tuliambiwa (kisiasa) kipo kwenye finishing touches, nimekuja kukiona kumbe ni skeleton tupu.

Tuna-feli wapi.

New Amani Complex
IMG_20260212_074705.jpg


Gombani Stadium
1.webp


Arusha Complex
IMG_20260212_075259.jpg
 
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi tuombe mkopo.

Tanzania ni mwenyeji wa AFCON 2027, kiwanja tunachokitegemea ni Benjamin Mkapa nacho kila siku kipo kwenye marekebisho. Kiwanja cha Arusha tuliambiwa (kisiasa) kipo kwenye finishing touches, nimekuja kukiona kumbe ni skeleton tupu.

Tuna-feli wapi.

View attachment 3542668
Wanachota kutoka koloni lao
Tanganyika
 
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi tuombe mkopo.

Tanzania ni mwenyeji wa AFCON 2027, kiwanja tunachokitegemea ni Benjamin Mkapa nacho kila siku kipo kwenye marekebisho. Kiwanja cha Arusha tuliambiwa (kisiasa) kipo kwenye finishing touches, nimekuja kukiona kumbe ni skeleton tupu.

Tuna-feli wapi.

View attachment 3542668
viwanja vya michezo Zanzibar na Bara vitajengwa na serikali husika kwa fedha za ndani, na ikibidi pia fedha za nje pia zitatumika kwa kazi hizo muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya michezo nchini.

hata hivyo,
ni vyema kwa viongozi kujiepusha na vitendo vya rushwa, lakini pia wananchi kujiepusha na ukwepaji kodi wa makusudi na kuikosesha serikali mapato ya kukamilisha miradi ya maendeleo. Muhimu zaidi kama taifa hatuna budi kwa pamoja kudumisha umoja, amani na mshikamano ili kuipa nafasi serikali kutekeleza na kukamilisha majukumu hayo muhimu kwa wakati na kwa maslahi mapana ya wananchi wote.

Fedha za kufadhili miradi ya maendeleo Tanzania zipo za kutosha ikiwa sote tutaungana kuipiga vita rushwa na kujiepusha na ukwepaji kodi wa makusudi.
Zanzibar na Jamuhuri ya muungano hazihitaji misaada ya nje tukiungana katika kuyadhibiti hayo hapo juu :1Head:
 
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi tuombe mkopo.

Tanzania ni mwenyeji wa AFCON 2027, kiwanja tunachokitegemea ni Benjamin Mkapa nacho kila siku kipo kwenye marekebisho. Kiwanja cha Arusha tuliambiwa (kisiasa) kipo kwenye finishing touches, nimekuja kukiona kumbe ni skeleton tupu.

Tuna-feli wapi.

View attachment 3542668

Uwanja wa Arusha unamalizika July 2026.

Fumba kule Pemba mpaka ikifika November 2026 utakuwa umemalizika kujengwa.

Benjamini Mkapa mpaka ikifika June 2026 ile sehemu ya kuchezea (pitch) itakuwa imesharekebishwa.

Punguzeni kuamini upumbavu wa instagram, hizi habari zako feki kabisa.
 
viwanja vya michezo Zanzibar na Bara vitajengwa na serikali husika kwa fedha za ndani, na ikibidi pia fedha za nje pia zitatumika kwa kazi hizo muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya michezo nchini.

hata hivyo,
ni vyema kwa viongozi kujiepusha na vitendo vya rushwa, lakini pia wananchi kujiepusha na ukwepaji kodi wa makusudi na kuikosesha serikali mapato ya kukamilisha miradi ya maendeleo. Muhimu zaidi kama taifa hatuna budi kwa pamoja kudumisha umoja, amani na mshikamano ili kuipa nafasi serikali kutekeleza na kukamilisha majukumu hayo muhimu kwa wakati na kwa maslahi mapana ya wananchi wote.

Fedha za kufadhili miradi ya maendeleo Tanzania zipo za kutosha ikiwa sote tutaungana kuipiga vita rushwa na kujiepusha na ukwepaji kodi wa makusudi.
Zanzibar na Jamuhuri ya muungano hazihitaji misaada ya nje tukiungana katika kuyadhibiti hayo hapo juu :1Head:
Watanzania wanalipa kodi sana tena wazalendo na Nchi yao matumizi ya hovyo baada ya kukusanya kodi ndio changamoto nenda Zambia au Malawi kodi zao za bidhaa ni kidogo sana na wanakwepa Tanzania mtu analipia kodi gari la kutembelea tu 70m na yapo mengi hapo wakati Nchi zingine hapo ni gari 4 kama hilo hilo lililolipwa Tanzania..
TRA wanaposema wamevunja rekodi ni makusanyo ya walipa kodi wa Kitanzania sio kila kukicha mnakuja kuhamasisha watu walipe kodi wakati matumizi mengi ni ya hovyo hovyo tu
 
Watanzania wanalipa kodi sana tena wazalendo na Nchi yao matumizi ya hovyo baada ya kukusanya kodi ndio changamoto nenda Zambia au Malawi kodi zao za bidhaa ni kidogo sana na wanakwepa Tanzania mtu analipia kodi gari la kutembelea tu 70m na yapo mengi hapo wakati Nchi zingine hapo ni gari 4 kama hilo hilo lililolipwa Tanzania..
TRA wanaposema wamevunja rekodi ni makusanyo ya walipa kodi wa Kitanzania sio kila kukicha mnakuja kuhamasisha watu walipe kodi wakati matumizi mengi ni ya hovyo hovyo tu
Gentleman,
ni muhimu zaidi kulipa kodi bila shuruti kwa maendeleo ya nchi yetu na si vinginevyo. Dosari na changamoto ndogondogo zilizopo, ni muhimu kuzifanya kua fursa ya kukusanya mapato mengi na makubwa zaidi ili hatimae taifa kujitegemea kufadhili miradi ya maendeleo bila kutegemea wahisani:NoGodNo:
 
Uwanja wa Arusha unamalizika July 2026.

Fumba kule Pemba mpaka ikifika November 2026 utakuwa umemalizika kujengwa.

Benjamini Mkapa mpaka ikifika June 2026 ile sehemu ya kuchezea (pitch) itakuwa imesharekebishwa.

Punguzeni kuamini upumbavu wa instagram, hizi habari zako feki kabisa.
Siasa.
 
Uwanja wa Arusha unamalizika July 2026.

Fumba kule Pemba mpaka ikifika November 2026 utakuwa umemalizika kujengwa.

Benjamini Mkapa mpaka ikifika June 2026 ile sehemu ya kuchezea (pitch) itakuwa imesharekebishwa.

Punguzeni kuamini upumbavu wa instagram, hizi habari zako feki kabisa.
Usìkute wewe ndiye mpumbavu, kuamini kuwa uwanja wa Arusha utakamilika kwa miezi minne iliyobaki ni matumizi mabaya ya akili.
 
Usìkute wewe ndiye mpumbavu, kuamini kuwa uwanja wa Arusha utakamilika kwa miezi minne iliyobaki ni matumizi mabaya ya akili.
Wewe ndiye mjinga, usiyejua wajenzi wamejipanga vipi unakuja humu kupinga kila kinachofanywa na serikali.

Bajeti yao ilishatengwa miaka iliyopitwa msidanganywe na uongo wa instagram.
 
Kwa muda mfupi Zanzibar imeweza kukarabati Amani stadium kwa viwango vya FIFA, imejenga kiwanja kipya cha Gombani, Tanganyika yenye watu 60m tumeshindwa kumalizia kiwanja kimoja cha Arusha hadi tuombe mkopo.

Tanzania ni mwenyeji wa AFCON 2027, kiwanja tunachokitegemea ni Benjamin Mkapa nacho kila siku kipo kwenye marekebisho. Kiwanja cha Arusha tuliambiwa (kisiasa) kipo kwenye finishing touches, nimekuja kukiona kumbe ni skeleton tupu.

Tuna-feli wapi.

New Amani Complex
View attachment 3542670

Gombani Stadium
View attachment 3542671

Arusha Complex
View attachment 3542673
Mmeyataka wenyewe, acha Zanzibar iendelee kuwanyonya mpaka mpate akili.
Kukubali kutawaliwa na jambazi la kike kutoka Zanzibar hayo ndiyo matokeo yake, jambazi linapora waziwazi huku chawa wa Kitanganyika wasivyojitambua wanaendelea kulishangilia.
 
Watanzania wanalipa kodi sana tena wazalendo na Nchi yao matumizi ya hovyo baada ya kukusanya kodi ndio changamoto nenda Zambia au Malawi kodi zao za bidhaa ni kidogo sana na wanakwepa Tanzania mtu analipia kodi gari la kutembelea tu 70m na yapo mengi hapo wakati Nchi zingine hapo ni gari 4 kama hilo hilo lililolipwa Tanzania..
TRA wanaposema wamevunja rekodi ni makusanyo ya walipa kodi wa Kitanzania sio kila kukicha mnakuja kuhamasisha watu walipe kodi wakati matumizi mengi ni ya hovyo hovyo tu
Muda utakuja kuongea tu
Sahv kuna watu hata uwambie nn au watu gani wanajipakulia ni ngumu kukuelewa!

Ova
 
Huu muungano ni wa hovyo kwa kweli! maana haiwezekani mtu shupavu mla nguna kama mimi ambae nipo uku shinyanga napiga kazi 12 hours, eti niungane na mtu mvivu mla urojo ambae akipata mia ya kahawa anarizika kutwa anashinda kijiweni anacheza bao!
Mungu aliyeumba wazungu wa Ulaya, wachina, wahindi na waafrika ana lengo pana kuliko hizi akili zako za kibaguzi.
 
Back
Top Bottom