Zanzibar: Ole wao watakaouza vyakula mchana

Zanzibar: Ole wao watakaouza vyakula mchana

Status
Not open for further replies.
Hapo sasa ndio umeongea.
Siku zote, kubishana kuhusu imani ya mwingine mimi naonaga ni UJINGA tu...

Kwanza mnaobishana, Mnajifanya hamjui kwamba mko imani tofauti...

Pili mmeshindwa kujua kuwa huo ulioitwa 'mwezi mtukufu' na hivyo vilivyoitwa vinyago, NI SEHEMU YA MAMBO YANAYOFANYA msiwe kwenye dini moja..

Tatu, mmeshindwa kutambua kuwa HAKUNAGA KUELEWENA KWENYE UBISHANI WA KIDINI, UNLESS MMOJA AHAMIE KWA MWINGINE ILI MUACHE KUBISHANA

Na mbaya zaidi ni PALE KILA MMOJA ATAKAPOTUMIA MISTARI YA KITABU ANACHOKIAMINI, ETI KUMFANYA ANAYETUMIA KITABU KINGINE AAMINI KILICHOANDIKWA KWENYE KITABU CHAKE...!!!

Kubishana mambo ya dini ni kuanzisha ugomvi usio na mwisho... MWISHO WAKE NI MMOJA KUBADLI DINI NA KUINGIA KWENYE DINI YA MBISHANI WAKE...

Ngali K
 
Sasa migahawa yote ya gesti, lodge na hotel imepigwa marufuku kuuza vyakula mchana, au hujasoma hiyo habari? Na huko Zanzibar wapo raia ambao si waislam, sasa kwa nini imani yako wewe imtie kifungoni raia mwingine wa tz na huku tz ikiwa haina dini? Who the f*uck do you bastards think you are?
Sio kweli, migahawa ya hotel/guest/lodge vyakula vipo kama kawaida....ila ile migahawa inayojitegemea kama bar na restaurant ndio zimepigwa marufuku
 
Mnajifanya mmefunga kumbe mnashinda njaa mchana usiku mnakesha mnakula kama viwavi jeshi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Wazee wa kubadiri muda wa kula tu..

Huu unafiki hautawaacha salama aiseh
HHahahaaaa
 
Kiustaarabu hata miezi mingine bado kula hadharani sio poa. Unamlingishia nani mavi ya kesho hayo?
 
Wenye dini tofauti inakuaje na ambao hawaamini mambo ya dini inakuaje, sio suala la kulifumbia macho hata kidogo, mtoa uzi kwani ni Nani aliyetamka hayo maneno? Weka clip Kama unayo
 
Siku zote, kubishana kuhusu imani ya mwingine mimi naonaga ni UJINGA tu...

Kwanza mnaobishana, Mnajifanya hamjui kwamba mko imani tofauti...

Pili mmeshindwa kujua kuwa huo ulioitwa 'mwezi mtukufu' na hivyo vilivyoitwa vinyago, NI SEHEMU YA MAMBO YANAYOFANYA msiwe kwenye dini moja..

Tatu, mmeshindwa kutambua kuwa HAKUNAGA KUELEWENA KWENYE UBISHANI WA KIDINI, UNLESS MMOJA AHAMIE KWA MWINGINE ILI MUACHE KUBISHANA

Na mbaya zaidi ni PALE KILA MMOJA ATAKAPOTUMIA MISTARI YA KITABU ANACHOKIAMINI, ETI KUMFANYA ANAYETUMIA KITABU KINGINE AAMINI KILICHOANDIKWA KWENYE KITABU CHAKE...!!!

Kubishana mambo ya dini ni kuanzisha ugomvi usio na mwisho... MWISHO WAKE NI MMOJA KUBADLI DINI NA KUINGIA KWENYE DINI YA MBISHANI WAKE...

Ngali K
Safi sana. Kuanzia leo na Siku nyingine usikashifu imani ya mwenzako
 
Wenye dini tofauti inakuaje na ambao hawaamini mambo ya dini inakuaje, sio suala la kulifumbia macho hata kidogo, mtoa uzi kwani ni Nani aliyetamka hayo maneno? Weka clip Kama unayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom