Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,214
- 128,976
Muungano wetu ni unique, nje ya muungano kimataifa, Tanzania ni nchi moja ya JMT na muungano wetu ni union yenye nchi moja tuu ya JMT, yenye rais mmoja na serikali moja ya JMT. Hivyo kimataifa Rais wa JMT, Makamo na Waziri Mkuu ndio viongozi wakuu wa JMT. Hivyo Makamo ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar.Msaada tutani,Hivi makamu wa Radio s,akiwa Zanzibar,ki protocol,Kati yake na Rais wa Zanzibar ni nani yupo juu ya mwenzie kimadaraka?
Ndani ya muungano, muungano wetu ni federation wenye nchi mbili, serikali mbili na marais wawili, kwa upande wa Zanzibar rais wa Zanzibar ndiye Mkuu kuliko hata rais wa JMT.
P
