Zanzibar ni member wa SADC?

Zanzibar ni member wa SADC?

hizi ndio kero za muungano , kama zanzibar iliungana na Tanganyika na bado ipo je Tanganyika iko wapi ? au Tanzania ndio Tanganyika , kwanini ? ndio maana wazanzibar wanataka kero zitatuliwe , kumbuka wanasema Zanzibar ni Nchi , ina bendera na wimbo wake wa Taifa , sasa kinachoitwa muungano ni nini ?
Hata Simba ina bendera na wimbo wake
 
Tanzania ni JMT ya TZ Bara na TZ Visiwani, Rais wa Zanzibar ni mmoja wa viongozi 5 wakuu wa JMT wakiongozwa na President, VP, PM, Rais wa Zanzibar na Waziri Kiongozi kwa mujibu wa katiba ya JMT, au Makamo wa I na II kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ambapo rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT kama Waziri asiye na Wizara maalum. Hivyo amehudhuria kama kiongozi wa kitaifa.
P
Kumbe, Rais wa SMZ ni kama waziri Prof. Kabudi tu? Katika ukuu wa uongozi wake wa kitaifa yeye ni wa ngapi kutoka mkulu mwenyewe? P waweza itwa mchochezi kwa masuala ya muungano kwa hoja yako hii. Kama ile ya wenye nguvu ilikupa homa, mie yangu macho.
 
Maajabu, ikitokea siku moja Mbunge wa upande wa Zanzibar kuwa Waziri mkuu akienda jimboni kwake kusalimia wapiga kura wake inabidi Rais wa Zanzibar awepo kwenye msafara maana ki-protocal mbunge ambaye ni Waziri mkuu anakuwa juu ya Rais wa visiwani?!

Kuna kero ya muungano hapa.
Yaani Waziri mkuu ni mkubwa kuliko Rais wa Zanzibar?
 
Hivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?

Uzi tayari
Ulimwona akiwa amekaa sehemu ipi?
Akifuata kwa Makamu was Rais. Walifuata ma Rais wastaafu... wakitazamana na jukwa kubwa lenye viongozi was nchi.

Zanzibar ni sehemu ya JMT. Mwakilishi wetu ni Jiwe.

Pinda aliomewa tu. Zanzibar sio nchi kwa muktadha tulionao Sasa hivi. Waende UN wakaidai nchi yao.
 
Kuna kero ya muungano hapa.
Yaani Waziri mkuu ni mkubwa kuliko Rais wa Zanzibar?
Hakuna kero yoyote hapo, Rais, Makamo na Waziri Mkuu ndio viongozi wakuu wa JMT wakifuatiwa na Rais wa Zanzibar na Waziri Kiongozi kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Ndani ya setup ya muungano kabla ya vyama vingi, Rais wa Zanzibar alikuwa ndie Makamo wa rais wa JMT. Kufuatia Tanzania kuwa ni nchi ya vyama vingi, kukitokea possibility ya Zanzibar kushikwa na chama kingine, lolote likitokea kwa rais wa JMT, Makamo anaapishwa kuwa rais

Hivyo katiba ikabadilishwa rais wa Zanzibar ni nobody kwenye setup ya muungano ila ni mjumbe wa cabinet, ili kuingia cabinet lazima uwe Waziri, hivyo rais Zanzibar anateuliwa kuwa waziri na kuapishiwa Dodoma ndipo anaingia Cabinet.

Tena nahisi hiki kipengele cha rais wa Zanzibar kuingia cabinet ndio kikwazo kinachosababisha yale mambo, utampaje halafu aje kuhudhuria cabinet?.

Matokeo yake ndio hivyo tena
P
 
Hakuna kero yoyote hapo, Rais, Makamo na Waziri Mkuu ndio viongozi wakuu wa JMT wakifuatiwa na Rais wa Zanzibar na Waziri Kiongozi kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Ndani ya setup ya muungano kabla ya vyama vingi, Rais wa Zanzibar alikuwa ndie Makamo wa rais wa JMT. Kufuatia Tanzania kuwa ni nchi ya vyama vingi, kukitokea possibility ya Zanzibar kushikwa na chama kingine, lolote likitokea kwa rais wa JMT, Makamo anaapishwa kuwa rais

Hivyo katiba ikabadilishwa rais wa Zanzibar ni nobody kwenye setup ya muungano ila ni mjumbe wa cabinet, ili kuingia cabinet lazima uwe Waziri, hivyo rais Zanzibar anateuliwa kuwa waziri na kuapishiwa Dodoma ndipo anaingia Cabinet.

Tena nahisi hiki kipengele cha rais wa Zanzibar kuingia cabinet ndio kikwazo kinachosababisha yale mambo, utampaje halafu aje kuhudhuria cabinet?.

Matokeo yake ndio hivyo tena
P
Umekataa mwanzoni but mwishoni maelezo yako yanaonesha kuna kero.
 
Maajabu, ikitokea siku moja Mbunge wa upande wa Zanzibar kuwa Waziri mkuu akienda jimboni kwake kusalimia wapiga kura wake inabidi Rais wa Zanzibar awepo kwenye msafara maana ki-protocal mbunge ambaye ni Waziri mkuu anakuwa juu ya Rais wa visiwani?!
Hahahaha Huu muungano wetu ni wa kipekee Duniani. Tuenzi hivyo hivyo.
 
Umekataa mwanzoni but mwishoni maelezo yako yanaonesha kuna kero.
Hakuna kero zozote za Muungano, bali kuna changamoto tuu. Miungano yote duniani ina changamoto, kama zilivyo ndoa zote, hakuna fairy tale relationships za kuishi raha mustarehe, kuna ups and downs hata kwa ma royal family and mabilionea.
P
 
Mkuu Dega umoja ni nguvu, mwanzo tulikuwa wawili, mkubwa na mdogo, tukaungana tukawa kitu kimoja, mkubwa kawa mkubwa zaidi na mdogo kawa mkubwa. Hakuna anayetaka kuvitwaa hivyo visiwa bali tumekuwa kitu kimoja. Usiangalie changamoto tuu za muungano angalia faida na manufaa ya muungano, kiukweli kabisa anayefaidi zaidi huu muungano wetu adhimu ni visiwani!, angalia maduka ya Wapemba yalivyo tapakaa huku Bara. Zingeletwa takwimu za umiliki ardhi wenzetu mnamiliki ardhi ya bara kuliko ardhi yote ya visiwa vyenu. Karibu nusu kama sio yote ya yale maghorofa ya Kariakoo na Ilala ni ya Wapemba. Angalia ghorofa la Muzamil hapo Darajani Zanzibar ulinganishe na lile la Mtaa wa Kongo hapa Dar.

Angalia biashara za Bakhresa Zanzibar ulinganishe na huku Bara, kiukweli watu wanaofaidika zaidi na muungano huu ni wenzetu Wazanzibari tena baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kama sio muungano saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine.
P
Hujui ukiteteaacho ewe Mwandishi mbobezi kufananisha wingi wa wazanzibar Tanganyika Ni kuonesha jinsi gani Watanganyika msovyoweza kuweka balance ttzo la muungano huu kutuchukua Wazanzibar wote (3m) ukatutupa Tanganyika (50M) hatutoweza kuathiri chochote si tamaduni zenu silka zenu si ushawishi wa kisiasa
Lakini ukiwatia watanganyika (5k) tayari idadi hiyo yaweza kuuwa tamaduni zetu silka zetu hata kugeuza upepo wa kisiasa ZANZIBAR na kubwa zaidi kuongeza ttzo la makaazi uharibifu wa mazingira nk
Hakika kuonesha faida ya muungano kwa wazanzibar kunufaika na maslahi ya kiuchumi Tangannyika ni hoja ya kitoto isiyofikiri nje ya box
 
Hujui ukiteteaacho ewe Mwandishi mbobezi kufananisha wingi wa wazanzibar Tanganyika Ni kuonesha jinsi gani Watanganyika msovyoweza kuweka balance ttzo la muungano huu kutuchukua Wazanzibar wote (3m) ukatutupa Tanganyika (50M) hatutoweza kuathiri chochote si tamaduni zenu silka zenu si ushawishi wa kisiasa
Lakini ukiwatia watanganyika (5k) tayari idadi hiyo yaweza kuuwa tamaduni zetu silka zetu hata kugeuza upepo wa kisiasa ZANZIBAR na kubwa zaidi kuongeza ttzo la makaazi uharibifu wa mazingira nk
Hakika kuonesha faida ya muungano kwa wazanzibar kunufaika na maslahi ya kiuchumi Tangannyika ni hoja ya kitoto isiyofikiri nje ya box
Naheshimu mawazo yako.
P
 
Mkoloni huyu kazuia matengenezo ya barabara Pemba. Bandari unguja na jengo la arport Zanzibar.

mkondo wa Nungwi

Halafu mkoloni akiambiwa na wabunge wa znz kuwa anavyofanya sivyo anakasirika kama simba mwenye njaa. Linaloudhi zaidi washenzi hawa wanamwambia speaker ambaye naye kichwa kibovu kuwa eti asiruhusu mada zenye kuhoji muungano zisijadiliwe. Ebooo. Ulimsikia yule januari makamba akimwambia spika hayo maneno? baradhuli sana yule. sasa tukaseme wapi? inaonesha hawa wamekusudia kuiumiza zanzibar lakn hakika sijakata tamaa wazanzibari iko siku watajitawala wenyewe. Muhimu wale vibaraka wa CCM kutoka znz waweze kuwaunga mkono wazanzibari wanaotaka mabadiliko ambao ndio wengi. Naamini tukishikana pamoja tutaweza kuhimili mawimbi ya mkondo wa nungwi na tutavuka salama.
 
Wanzanzibar muungane pamoja muidai Zanzibar yenu vinginevyo tutaendelea kuinyonya hako kanchi kenu .Sisi wabara hatuna madhara yoyote Shida kwenu wanzanzibar.Mtajinasuaje na sisi watanganyika?

Kidole kimoja hakivunji chawa.
 
mkondo wa Nungwi

Halafu mkoloni akiambiwa na wabunge wa znz kuwa anavyofanya sivyo anakasirika kama simba mwenye njaa. Linaloudhi zaidi washenzi hawa wanamwambia speaker ambaye naye kichwa kibovu kuwa eti asiruhusu mada zenye kuhoji muungano zisijadiliwe. Ebooo. Ulimsikia yule januari makamba akimwambia spika hayo maneno? baradhuli sana yule. sasa tukaseme wapi? inaonesha hawa wamekusudia kuiumiza zanzibar lakn hakika sijakata tamaa wazanzibari iko siku watajitawala wenyewe. Muhimu wale vibaraka wa CCM kutoka znz waweze kuwaunga mkono wazanzibari wanaotaka mabadiliko ambao ndio wengi. Naamini tukishikana pamoja tutaweza kuhimili mawimbi ya mkondo wa nungwi na tutavuka salama.

Amin.. kukata tamaa ni dhambi hasa kwenye kudai haki
 
Back
Top Bottom