University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Kusema ukweli tuwape wazanzibar nchi yao kwani sisi waccm tutapungiwa nini ?Kiukweli elimu ya uraia inahitajika sana. Kumbe watu hamjui kuwa rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT kama Waziri asiye na Wizara maalum na alifanikiwa na JPM. Nchi yetu Ina viongozi wakuu 5 wa kisiasa wanaotembea na msafara wa vingora.
P.
- Rais wa JMT
- Makamo wa Rais
- Waziri Mkuu
- Rais wa Zanzibar
- Makamo wa Zanzibar
Tukiwapa Zanzibar wajitegemee?
CCM sisi ni hovyo haijawahi tokea Dunia tangu kuumbwa.
Naenda kuchomoa betri kwa ajili ya uchumi wakati.


