Waziri asiekuwa na wizara maalumyeye ni nani kwenye serikali ya Tanzania ?
Waziri asiekuwa na wizara maalumyeye ni nani kwenye serikali ya Tanzania ?
Hivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?
Uzi tayari

Mkuu Odhiambo Cairo, sio kasoro bali ni changamoto tuu. Rais wa Zanzibar anachaguliwa na Wazanzibari tuu, yeye ni rais wa Zanzibar tuu, Makamo wa rais anachaguliwa na Watanzania wote wakiwemo Wazanzibari, ni Makamo wa rais wa JMT, kwenye setup ya muungano, sio tuu Makamo wa rais ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, bali hata Waziri Mkuu ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, ki protocol rais wa Zanzibar ni wa 4, lakini hadhi yake ndani ya setup ya muungano ni hadhi ya Waziri tuu. Lakini kwa Zanzibar, Rais wa Zanzibar ni mkubwa kuliko rais wa JMT.Hata kama inapambwa hii kitu inazo kasoro Pascal . Nenda Zanzibar halafu utamke kuwa makamu wa Rais wa JMT, ana nguvu kuliko Rais wao kama utaeleweka !!.
Mimi naona shein kwa haya mambo ya kimataifa hata kabudi anamzidi.😂😂😂😂😂 Yeye anaishia NUNGWI tu.Anawatizama marais wenzie,mimi mwenyewe jana nilicheka sanaaa ila kuna muda kamera zilikuwa zina mmulika alikuwa anaona aibu aibu
ZanzibarHivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?
Uzi tayari
Msha mezeshwa matangoWaziri asiekuwa na wizara maalum
TunajuaMsha mezeshwa matango
Kwan ni nan rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ???
Hivi Tanzania inaweza kuwepo pasi na Zanzibar ???
Sijui dada sijui kaka vp Mbona unauliza maswali ambayo hayaingiii kichwan???
Yeye ni rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambayo inaunda pia serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Na SADC summit ilikua ikihusiana na Tanzania as the host of the summit sio Tanganyika.
Na ingetokea km ndio waje wawakilishi wa muungano km ilivyo kwa watabe Nyerere na Karume basi wawakilishi contemporary wa pioneers wangetoka Magufuli na Shein.
Au ww mzanzibar unaongea kwa hisia???!!!!
SAMAHANI ILA HILI NI SWALI LA KITOTO,SAMAHANI KWA HII KAULI.
Confederation of African Football auMsilete kujuana kwenye mali za watu , Sadc si mali ya ccm , ni mali ya nchi wanachama tu , Zanzibar haimo , hizi ndio kero za Muungano , ni kama vile mlivyoihujumu Zanzibar kule CAF
Wapi imeandikwa?Tunajua
Huwezi kunielewa kama hujashughulisha kichwa chako vizuri maana binafsi napenda kujua huko nje ya muungano ni wapi! Tukisema tanganyika imevaa koti la muungano sidhani kama tutakosea.unaposema nje ya muungano unamaanisha nini wakati Tanganyika na Zanzibar ndizo ziliunda Muungano huo ? je nje ya muungano Tanganyika ina nafasi gani ? kutetea hili jambo unapaswa kujiondoa utu kwanza , si rahisi kulitetea
Rais wa Tanzania bara ni nani na wimbo wa Taifa lake ni upi , je bendera yake ni ipi ?
Mnh.. Huu mfano sidhani kama uko relevant...
Kwani wizara ya michezo ipo katika mambo ya Muungano?
Nini hicho kilichoandikwa?Wapi imeandikwa?
Kwamba yeye Ni waziriNini hicho kilichoandikwa?