Namkunda OG
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 827
- 1,048
Hivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?
Uzi tayari
Uzi tayari
Amekuja km kiongozi mmoja wapo wa United Republic of Tanzania.Hivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?
Uzi tayari
yeye ni nani kwenye serikali ya Tanzania ?Tanzania....mbona umejitoa ufahamu?
ana cheo gani kwenye serikali ya Muungano ?Amekuja km kiongozi moja wapo wa United Republic of Tanzania.
Kwasababu serikali yake ya mapinduzi ya Zanzibar inaunda serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kuna ubaya hapo????
jibu swali .Kabisa umeuliza hilo swali.. duh!!!!
jibu swali .
Msilete kujuana kwenye mali za watu , Sadc si mali ya ccm , ni mali ya nchi wanachama tu , Zanzibar haimo , hizi ndio kero za Muungano , ni kama vile mlivyoihujumu Zanzibar kule CAFKwani wengine hapo juu hawajajibu au?
Msilete kujuana kwenye mali za watu , Sadc si mali ya ccm , ni mali ya nchi wanachama tu , Zanzibar haimo , hizi ndio kero za Muungano , ni kama vile mlivyoihujumu Zanzibar kule CAF
Kwan ni nan rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ???ana cheo gani kwenye serikali ya Muungano ?
Unaweza kunambia kwanini Zanzibar si mwanachama wa CAF ?Kwan ni nan rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ???
Hivi Tanzania inaweza kuwepo pasi na Zanzibar ???
Sijui dada sijui kaka vp Mbona unauliza maswali ambayo hayaingiii kichwan???
Yeye ni rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambayo inaunda pia serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Na SADC summit ilikua ikihusiana na Tanzania as the host of the summit sio Tanganyika.
Na ingetokea km ndio waje wawakilishi wa muungano km ilivyo kwa watabe Nyerere na Karume basi wawakilishi contemporary wa pioneers wangetoka Magufuli na Shein.
Au ww mzanzibar unaongea kwa hisia???!!!!
SAMAHANI ILA HILI NI SWALI LA KITOTO,SAMAHANI KWA HII KAULI.
Kwi! Kwi! Kwi!CCM unaitaja ili iweje haswa.. kama unashida nao nenda Lumumba ukawasalimu. Inaonyesha una mawazuuuuu na hicho chama chao.. na bado utaendelea kuisoma namba maana Mwenyekiti wao ni bonge la Jembe..
Tena inakuwaje Mwenyekiti wenu hamumupambi bali muko bizi na Jembe kila wakati na Chama chake?
Asa atakuaje mwanachama wa CAF ilhali Tanzania yawakilisha serikali zote????Unaweza kunambia kwanini Zanzibar si mwanachama wa CAF ?
hizi ndio kero za muungano , kama zanzibar iliungana na Tanganyika na bado ipo je Tanganyika iko wapi ? au Tanzania ndio Tanganyika , kwanini ? ndio maana wazanzibar wanataka kero zitatuliwe , kumbuka wanasema Zanzibar ni Nchi , ina bendera na wimbo wake wa Taifa , sasa kinachoitwa muungano ni nini ?Asa atakuaje mwanachama wa CAF ilhali Tanzania yawakilisha serikali zote????
Nikuulize na ww,kwan Zanzibar kama Zanzibar ipo ktk wanachama wa UN???
je ipo ?Tanganyika ni member ?
Alikuwa meza kuu? Mbona Kassim Majaliwa kahudhuria alikuwa anawakilisha nchi gani? Lukuvi naye vipi? Shein kahudhuria kama Waziri tu wa JMTHivi Shen kahudhuria mkutano anawakilisha nchi gani?
Uzi tayari