imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,551
- 72,841
Kweni hao wanaopigwa Mijeredi hukuwaona?kwani kuna alielazimishwa?
Kweni hao wanaopigwa Mijeredi hukuwaona?kwani kuna alielazimishwa?
Kweni hao wanaopigwa Mijeredi hukuwaona?
Sidhani kama Karume mwenyewe angefurahi kwa Ndugu zake wa Bara wangekuwa wanachapwa Mijeledi kwa sababu tu ya kula chakula na kushushia Balimi kadha za baridi
Pole sana, chuki ni ugonjwa mbaya sanaMwarabu+Uislamu= USHENZI...
Mjinga hachukiwi Mjinga anaelimishwa.Pole sana, chuki ni ugonjwa mbaya sana
Au wewe na mwenzio ndio wa kuelimishwa!Mjinga hachukiwi Mjinga anaelimishwa.
Elimu ya Toilet?Au wewe na mwenzio ndio wa kuelimishwa!
Nani kalazimshwa afunge? Na hilo limetokea wapi? Lini?Atataka kulazimisha afunge kwa sababu tu yeye kafunga! Huu ndio upumbavu na ujinga kabisa!
Nilikua siku zote najiuliza nini sababu za Tanzania kuing'ang'ania Zanzibar na kuonekana kama wanalazimisha muungano na hicho kisiwa, lakini haya matukio ya dhuluma kwa wakristo kipindi cha ramadhani ni dhahiri kile kisiwa kikiachwa chenyewe kitazalisha magaidi wa kiislamu ndani ya muda mfupi sana na kuifanya Zenji iwe zaidi ya Somalia.
Nafuu Somalia ni rahisi kuwatambua, ila Wazanzibari, wale ni Wanyamwezi, Wagogo na makabila mengi ya Tanzania ambao mababu zao walichukuliwa mateka/watumwa na waarabu wakati wanaanzisha dini yao Pwani, maana kwamba wakianzisha ugaidi ndani ya Tanzania itakua vigumu sana kuwatofautisha na Watanganyika wengine.
Hivyo huo muungano bora ulindwe hata kwa ngumi yaani hapa EAC tupo hatarini sana kutokana na magaidi wa uislamu.
Joseph Kony,Uganda na lord resistance army amekuwa anafanya uharamia na ugaidi kwa miaka mingi sana kwa kutaka kusimamisha amri kumi za mungu why hausemi.Nilikua siku zote najiuliza nini sababu za Tanzania kuing'ang'ania Zanzibar na kuonekana kama wanalazimisha muungano na hicho kisiwa, lakini haya matukio ya dhuluma kwa wakristo kipindi cha ramadhani ni dhahiri kile kisiwa kikiachwa chenyewe kitazalisha magaidi wa kiislamu ndani ya muda mfupi sana na kuifanya Zenji iwe zaidi ya Somalia.
Nafuu Somalia ni rahisi kuwatambua, ila Wazanzibari, wale ni Wanyamwezi, Wagogo na makabila mengi ya Tanzania ambao mababu zao walichukuliwa mateka/watumwa na waarabu wakati wanaanzisha dini yao Pwani, maana kwamba wakianzisha ugaidi ndani ya Tanzania itakua vigumu sana kuwatofautisha na Watanganyika wengine.
Hivyo huo muungano bora ulindwe hata kwa ngumi yaani hapa EAC tupo hatarini sana kutokana na magaidi wa uislamu.