Sheria ya kubeba silaha Zanzibar na hekima ya watawala

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,889
Zingatia maneno haya hekima ya watawala
Tunapoenda shule kufunzwa tunaenda kufuta ujinga na kujifunza maarifa mapya ili tuweze kuishi vema kwenye dunia yenye muingiliano wa imani tamaduni na mila tofauti tofauti

Kila jamii ili iweze kuishi kwa amani, uhuru na muingiliano na jamii zingine hujitungia na kujiwekea sheria kanuni na taratibu mbalimbali kulingana na mahitaji ya nyakati.. Ukamilifu na ustawi wa hizi sheria ndani ya Jamii husika huwezeshwa na hekima ya viongozi waliokasimiwa kuongoza wengine
Kwahiyo hekima ya hali ya huu huhitajika popote penye sheria kanuni na taratibu toka kwa kiongozi husika

Tanganyika kwa sehemu kubwa kiutamaduni inabebwa na utambulisho wa jamii ya wamasai kwa sehemu kubwa huku wakifuatiwa na Wakwavi Wasandawe nk! Hawa pamoja na wimbi kubwa la elimu za wageni lakini wameweza kulinda utamaduni wao hadi leo hii.. Wanastahili pongezi kubwa!

Kwahiyo popote alipo Mmasai ni kielelezo cha utamaduni asilia usiochakachuliwa na kivutio kikubwa cha utalii kupitia
Kusokota nywele kwa mtindo wa sangita
Ndonya usoni
Kutoboa masikio
Mapambo ya shanga
Mavazi ya mashuka
Viatu vya kubazi za asili
Mshipi wa ngozi halisi ya mnyama
Sime
Rungu
Fimbo
Pamoja na kwamba kubeba sime rungu na fimbo kiasili ilikuwa ni kwa ajili ya kujilinda na kuonesha ukakamavu lakini hivyo vifaa vimekuwa sehemu muhimu ya utamaduni wao na kichocheo kikubwa cha utalii.. Na ni mara chache mno huzitumia vibaya hizo zana

Kuna kitu kinaitwa urithi wa dunia hiki kimeletwa maalum kwa ajili ya kulinda maeneo, jamii, mimea na vitu vyote vilivyo katika kitisho cha kutoweshwa na dunia ya usasa .. Wamasai wanaingia huko!
Hivyo basi pamoja na sheria ya kutotembea na silaha visiwani Zanzibar lakini kuna hii hekima ya kujali na kuheshimu utamaduni wa wengine..

Wamasai Zenji si kitisho cha usalama kwa kutembea na sime zao zilizo kwenye ala wala fimbo wala rungu.. Hawa ni kivutio cha utalii na wanasaidia kuingiza mapato

Je sheria ya kuvaa almost nusu uchi inasemaje Zenji? Mbona hii inavumuliwa kwa watalii? Lakini inabomoa maadili ya Mzanzibari kwa sehemu kubwa sana ila mamlaka ziko kimya kabisa! Kwanini?

Kitisho kikubwa kabisa Zenji kwa sasa sio Wamasai na sime zao bali ni ushoga kwa vijana wa kiume, ulawiti, usagaji, ubakaji, biashara ya ngono na madawa ya kulevya!
Lakini cha kushangaza mamlaka badala ya kushughulika na haya ya msingi zimebaki kuwashughulikia wamasai wachache na rungu zao zisizoathiri Jamii..
Je mamlaka za Zenji zina masilahi gani kwenye
Ushoga?
Ulawiti?
Usagaji?
Ubakaji?
Biashara ya ngono?
Madawa ya kulevya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaogopa sime,rungu na fimbo visivyowadhuru halafu wanapotezea ushoga,ubakaji,usagaji,dawa za kulevya na ulawiti?Bonyeza Kizenji ucheke.
 
Halafu huku bara wamefurika tele na hawabaguliwi kwa chochote...ruksa kumiliki mashamba, viwanja na hata majumba!.
Huu Muungano ni wa hovyo sana, yaani chao ni chao na chetu ni chao!!.
Maajabu!!.
 
Pamoja na kwamba ni mara chache wamasai wamekuwa wakizitumia vibaya hizo silaha, lakini bado ukweli ni kwamba wanatembea na silaha.

Unapotembea na silaha huku wengine wakiwa hawana silaha, unawaweka wale wasio na silaha kwenye mazingira hatarishi endapo patatokea hali ya sintofahamu miongoni mwenu, hali ambazo mara nyingi huja pasipo tarajiwa.

Huku bara tumekuwa tukiishi nao kwa mazoea tu, waendelee kutembea na silaha zao, lakini hiyo haina maana kwamba miongoni mwao hawawezi kuja kuleta madhara kwa members wengine wa jamii, hii haina maana kwamba miongoni mwao hawataweza kumdhuru yeyote mbele ya safari, tusisubiri majanga ndio tuamke.

Sioni ubaya wamasai kubaki na hizo alama nyingine za kuwatambulisha ukiondoa sime, rungu, na fimbo, na wala siamini ili huo utambulisho wao ukamilike basi ni lazima sime, rungu, na fimbo, viwepo, kwangu naona ni mazoea tu, suala la kulinda mila na desturi lazima liende sambamba na kulinda usalama wa wengine, hili tukubaliane.

- Huwezi kusema unalinda mila na desturi zako kwa kuweka usalama wa wengine rehani, hizo mila na desturi zako haziwezi kuwa juu ya usalama wa raia wengine, masai sio malaika, wanaweza ghafilika popote, dakika yoyote, tuanze kulia bila sababu.

Mwisho naona tukubaliane pia kwamba, wazanzibari nao wana nchi yao, wana maamuzi yao, na kwasababu miaka yote tumeamua kuwepo kwenye muungano usioeleweka, basi haya ndio matokeo yake, tuyavumilie hata kama wengine hamuyaelewi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Watawala wetu wanazo hizo busara basi??

Kama mtu anaweza iba fedha za mradi wa afya au barabara zitakazo saidia kwa maelfu ndio huyo ategemee kujua umuhimu wa kutunza tamaduni za wengine??

Hawa viongozi wetu tumekua tukiwalea vibaya ni kama vile kumlea mtoto asiyekua na adabu muda wowote atakuaibisha mbele ya wageni.
 
Pamoja na kwamba ni mara chache wamasai wamekuwa wakizitumia vibaya hizo silaha, lakini bado ukweli ni kwamba wanatembea na silaha.

Unapotembea na silaha huku wengine wakiwa hawana silaha, unawaweka wale wasio na silaha kwenye mazingira hatarishi endapo patatokea hali ya sintofahamu miongoni mwenu, hali ambazo mara nyingi huja pasipo tarajiwa.

Huku bara tumekuwa tukiishi nao kwa mazoea tu, waendelee kutembea na silaha zao, lakini hiyo haina maana kwamba miongoni mwao hawawezi kuja kuleta madhara kwa members wengine wa jamii, hii haina maana kwamba miongoni mwao hawataweza kumdhuru yeyote mbele ya safari, tusisubiri majanga ndio tuamke.

Sioni ubaya wamasai kubaki na hizo alama nyingine za kuwatambulisha ukiondoa sime, rungu, na fimbo, na wala siamini ili huo utambulisho wao ukamilike basi ni lazima sime, rungu, na fimbo, viwepo, kwangu naona ni mazoea tu, suala la kulinda mila na desturi lazima liende sambamba na kulinda usalama wa wengine, hili tukubaliane.

- Huwezi kusema unalinda mila na desturi zako kwa kuweka usalama wa wengine rehani, hizo mila na desturi zako haziwezi kuwa juu ya usalama wa raia wengine, masai sio malaika, wanaweza ghafilika popote, dakika yoyote, tuanze kulia bila sababu.

Mwisho naona tukubaliane pia kwamba, wazanzibari nao wana nchi yao, wana maamuzi yao, na kwasababu miaka yote tumeamua kuwepo kwenye muungano usioeleweka, basi haya ndio matokeo yake, tuyavumilie hata kama wengine hamuyaelewi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
mbona mnanunua pistor kwa ghalama kubwa na wengine hawana?
 
Pamoja na kwamba ni mara chache wamasai wamekuwa wakizitumia vibaya hizo silaha, lakini bado ukweli ni kwamba wanatembea na silaha.

Unapotembea na silaha huku wengine wakiwa hawana silaha, unawaweka wale wasio na silaha kwenye mazingira hatarishi endapo patatokea hali ya sintofahamu miongoni mwenu, hali ambazo mara nyingi huja pasipo tarajiwa.

Huku bara tumekuwa tukiishi nao kwa mazoea tu, waendelee kutembea na silaha zao, lakini hiyo haina maana kwamba miongoni mwao hawawezi kuja kuleta madhara kwa members wengine wa jamii, hii haina maana kwamba miongoni mwao hawataweza kumdhuru yeyote mbele ya safari, tusisubiri majanga ndio tuamke.

Sioni ubaya wamasai kubaki na hizo alama nyingine za kuwatambulisha ukiondoa sime, rungu, na fimbo, na wala siamini ili huo utambulisho wao ukamilike basi ni lazima sime, rungu, na fimbo, viwepo, kwangu naona ni mazoea tu, suala la kulinda mila na desturi lazima liende sambamba na kulinda usalama wa wengine, hili tukubaliane.

- Huwezi kusema unalinda mila na desturi zako kwa kuweka usalama wa wengine rehani, hizo mila na desturi zako haziwezi kuwa juu ya usalama wa raia wengine, masai sio malaika, wanaweza ghafilika popote, dakika yoyote, tuanze kulia bila sababu.

Mwisho naona tukubaliane pia kwamba, wazanzibari nao wana nchi yao, wana maamuzi yao, na kwasababu miaka yote tumeamua kuwepo kwenye muungano usioeleweka, basi haya ndio matokeo yake, tuyavumilie hata kama wengine hamuyaelewi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
tuyavumilie hata kama wengine hamuyaelewi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zingatia maneno haya hekima ya watawala
Tunapoenda shule kufunzwa tunaenda kufuta ujinga na kujifunza maarifa mapya ili tuweze kuishi vema kwenye dunia yenye muingiliano wa imani tamaduni na mila tofauti tofauti

Kila jamii ili iweze kuishi kwa amani, uhuru na muingiliano na jamii zingine hujitungia na kujiwekea sheria kanuni na taratibu mbalimbali kulingana na mahitaji ya nyakati.. Ukamilifu na ustawi wa hizi sheria ndani ya Jamii husika huwezeshwa na hekima ya viongozi waliokasimiwa kuongoza wengine
Kwahiyo hekima ya hali ya huu huhitajika popote penye sheria kanuni na taratibu toka kwa kiongozi husika

Tanganyika kwa sehemu kubwa kiutamaduni inabebwa na utambulisho wa jamii ya wamasai kwa sehemu kubwa huku wakifuatiwa na Wakwavi Wasandawe nk! Hawa pamoja na wimbi kubwa la elimu za wageni lakini wameweza kulinda utamaduni wao hadi leo hii.. Wanastahili pongezi kubwa!

Kwahiyo popote alipo Mmasai ni kielelezo cha utamaduni asilia usiochakachuliwa na kivutio kikubwa cha utalii kupitia
Kusokota nywele kwa mtindo wa sangita
Ndonya usoni
Kutoboa masikio
Mapambo ya shanga
Mavazi ya mashuka
Viatu vya kubazi za asili
Mshipi wa ngozi halisi ya mnyama
Sime
Rungu
Fimbo
Pamoja na kwamba kubeba sime rungu na fimbo kiasili ilikuwa ni kwa ajili ya kujilinda na kuonesha ukakamavu lakini hivyo vifaa vimekuwa sehemu muhimu ya utamaduni wao na kichocheo kikubwa cha utalii.. Na ni mara chache mno huzitumia vibaya hizo zana

Kuna kitu kinaitwa urithi wa dunia hiki kimeletwa maalum kwa ajili ya kulinda maeneo, jamii, mimea na vitu vyote vilivyo katika kitisho cha kutoweshwa na dunia ya usasa .. Wamasai wanaingia huko!
Hivyo basi pamoja na sheria ya kutotembea na silaha visiwani Zanzibar lakini kuna hii hekima ya kujali na kuheshimu utamaduni wa wengine..

Wamasai Zenji si kitisho cha usalama kwa kutembea na sime zao zilizo kwenye ala wala fimbo wala rungu.. Hawa ni kivutio cha utalii na wanasaidia kuingiza mapato

Je sheria ya kuvaa almost nusu uchi inasemaje Zenji? Mbona hii inavumuliwa kwa watalii? Lakini inabomoa maadili ya Mzanzibari kwa sehemu kubwa sana ila mamlaka ziko kimya kabisa! Kwanini?

Kitisho kikubwa kabisa Zenji kwa sasa sio Wamasai na sime zao bali ni ushoga kwa vijana wa kiume, ulawiti, usagaji, ubakaji, biashara ya ngono na madawa ya kulevya!
Lakini cha kushangaza mamlaka badala ya kushughulika na haya ya msingi zimebaki kuwashughulikia wamasai wachache na rungu zao zisizoathiri Jamii..
Je mamlaka za Zenji zina masilahi gani kwenye
Ushoga?
Ulawiti?
Usagaji?
Ubakaji?
Biashara ya ngono?
Madawa ya kulevya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko zenjibar wanataka wamasai wavae kanzu, misuli na makubazi na wafuge ndevu kama osama
 
Sijawahi kumuona yeyote kwenye daladala au mtaani kwangu anatembea na bastola, labda huko kwenu!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sime iko ndani ya ala ngumu imara
Ala imechomekwa kwenye mshipi imara kiunoni
Rungu nayo imefutikwa kiunoni.. Na ni mara chache unaweza kuviona vyote kwakuwa hufichwa kwenye shuka
Kinachoweza kuonekana muda wote ni fimbo na sidhani kama hii vinaweza kuingia kwenye kundi la silaha zilizokatazwa
Wamasai nao ni binadamu wenye taratibu na miiko hao sio wapuuzi wa kutembea na sime kali bila usalama wa kutosha na ndio maana hata kwenye purukushani zilizoonekana kwenye videos kilichotumika ni fimbo tuu, hakukuwa na kirungu wala sime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawajui kuwa Wamasai wameongeza idadi ya Watalii.

Kuna Watalii wanaenda Zanzibar na kati ya vitu vinavyo wavutia ni kuwaona Wamasai wakiwa katika hali ya Kiutamaduni wao.

Ndio maana tunaona Watalii wengi hasa wa jinsia ya Kike wakifurahia kujumuika na Wamasai (Morani) na kuongea nao, kucheza nao na kupiga picha nao.

Dunia ya sasa amua moja kati ya haya.

1. Kulinda Mila zako kwa kujifungia ndani wewe peke yako, ubakie Maskini wa kutupwa.

2. Kufungua Milango ili kuingiza tamaduni nyingine huku ukikuza uchumi wako.

Leo tunawaona Watalii wakitembea na Vichupi tu na wako huru ingawa sio utamaduni wa wanaojiita Wazanzibari.

Kutembea na silaha ni utamaduni wa Mwafrika.

Nyerere alikuwa anatembea na fimbo yenye kisu ndani yake.

Karume Abeid Amani alikuwa anatembea na fimbo yenye Jambia ndani yake.

Na hawakuhatarisha Amani.
 
Hawajui kuwa Wamasai wameongeza idadi ya Watalii.

Kuna Watalii wanaenda Zanzibar na kati ya vitu vinavyo wavutia ni kuwaona Wamasai wakiwa katika hali ya Kiutamaduni wao.

Ndio maana tunaona Watalii wengi hasa wa jinsia ya Kike wakifurahia kujumuika na Wamasai na kuongea nao, kucheza nao na kupiga picha nao.

Dini ya sasa amua moja kati ya haya.

1. Kulinda Mila zako kwa kujifungia ndani wewe peke yako, ubakie Maskini wa kutupwa.

2. Kufungua Milango ili kuingiza tamaduni nyingine huku ukikuza uchumi wako.

Leo tunawaona Watalii wakitembea na Vichupi tu na wako huru ingawa sio utamaduni wa wanaojiita Wazanzibari.

Kutembea na silaha ni utamaduni wa Mwafrika.

Nyerere alikuwa anatembea na fimbo yenye kisu ndani yake.

Karume Abeid Amani alikuwa anatembea na fimbo yenye Jambia ndani yake.

Na hawakuhatarisha Amani.
Nyerere alikuwa anatembea na fimbo yenye kisu ndani yake.

Karume Abeid Amani alikuwa anatembea na fimbo yenye Jambia ndani yake.

Na hawakuhatarisha Amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom