Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Friends and Our Enemies,

Beautiful Islands Of Africa, Zanzibar...
Fahari pekee iliyobakia Africa na inayozidi kuwakilisha ubantu na TAMADUNI za heshima ni wewe Zanzibar.

Watu wengi wakitaka kujitambulisha Kwa wageni WASIO ifaham Tanzania basi utawaskia wakisema huko kuwaambia wageni kuwa Mimi ninatokea Tanzania ile Nchi ya Mlima Kilimanjaro na visiwa vya marashi ya Zanzibar...

Asitokee MTU kuwatisha na kuwadhihaki eti kisa tuh nyinyi mmeamua Kwa dhati na uzalendo kabisa kusimamia MILA na TAMADUNI ZENU.

Tokea zama na enzi Zanzibar imekuwa na utaratibu wa kuheshimu Imani za wananchi wake na za wageni mbalimbali wanaoingia ndani ya visiwa hivyo.

Wageni wanapokaribishwa Zanzibar siku zote hupewa sheria na taratibu za kuishi na wenyeji wa visiwa hivyo na bila kinyongo wageni hao wamekuwa wakizikubali na kuziheshimu, kiasi Cha kufikia kuishi na Kisha kutamani kurudi Tena na Tena ndani ya visiwa hivyo.

Wanaokwazika na TAMADUNI za Zanzibar kiasi Cha kufikia kuona kama ni kero kwao au wanatengwa basi siyo lazima Kwa wao kwenda,wabakie makwao ambako wao wanaona Wana uhuru wa kujiamulia kuishi Kwa namna wapendavyo wao.

ZANZIBAR, endelea kusimama IMARA pasipo na kutetereka.

Zanzibar, mmenikumbusha msimamo imara wa Qatar, ambapo walipoandaa world cup finals na kuwakatalia wazungu kuwa wao hawakubali kuruhusu kampeni za LGBTQ katika finals hizo Kwa namna yoyote Ile.

Japo, wazungu walinuna wengine kutishia kutoshiriki lakini Qatar walisimamia msimamo wao na mashindano yaliendelea Kwa mafanikio makubwa yasiyo na kifani.

Hongera sana Zanzibar,Dumisheni Mila na Tamqduni zenu pasi na kuhofia kitu chochote.
 
Wanajishushia heshima wao wenyewe.
Nchi imekaa kama islamic himaya kula hadharani eti unatiwa kashkash.
Screenshot_20240404-221843.png
 
Dini ya kobazi ni ya kijima sana! Mtu akila mbele yako wewe inakuathiri nini kama si kujiendekeza?

Hao wazungu wasipokuja kutalii thamani ya Zanzibar itakua nini? Ile minyoo mnayosoma imewaharibu sana akili!
Choko choko za matusi dhidi yetu na dini yetu siku zote mnaanza nyinyi makafiri.

Kama dini yangu ni ya kijima sawa ni yangu,Mimi Nina dini yangu na wewe una dini yangu, enjoy dini yako niichie dini yangu ya kijima, tatizo Nini?

Nyinyi wenye dini ya kisasa,papa alipowapa amri ya kufunga ndoa za wasenge umeskia sisi tukisema chochote?
 
Kinachowasumbua hapo Visiwani ni elimu visoda kichwani nothing else!!!

Huko makabila mengi wanaishi huko na kila mmoja ana utamaduni wake vibaya kama kabila hili atenda kukaa kwenye baraza ya mpemba aanze kula huko ndiyo kuingilia utamaduni wa mwenzake siyo hiyo ya kuvamiana mabarabarani na sehemu za biashara za watu walizolipia kodi kwa kigezo cha kulinda utamaduni.
 
Kinachowasumbua huko ni elimu visoda kichwani!!!

Huko makabila mengi wanaishi huko na kila mmoja ana utamaduni wake vibaya kama kabila hili atenda kukaa kwenye baraza ya mpemba aanze kula huko ndiyo kuingilia utamaduni wa mwenzake siyo hiyo ya kuvamiana mabarabarani na sehemu za biashara za watu kwa kigezo cha kulinda utamaduni.
Hicho kisiwa ni kina watu wajinga na wavivu sn
 
Wanajishushia heshima wao wenyewe.
Nchi imekaa kama islamic himaya kula hadharani eti unatiwa kashkash.
View attachment 2953999

Kama imekaa kiislamic,ni nchi Yao,wewe unaumia Nini??

Bakieni kwenu bara,umeskia hata Askofu au mkristo yeyote wa Zanzibar zama na zama akizungumza kauli kama hizo? sababu utamaduni huo Zanzibar haujanza tuh ghafla,nyinyi watu wa kuja kutokea kwenu huko ndiyo mnataka kuleta choko choko,bakieni kwenu siyo lazima uende Zanzibar.
 
Friends and Our Enemies,

Beautiful Islands Of Africa, Zanzibar...
Fahari pekee iliyobakia Africa na inayozidi kuwakalisha ubantu na TAMADUNI za heshima ni wewe Zanzibar.

Watu wengi wakitaka kujitambulisha Kwa wageni WASIO ifaham Tanzania basi utawaskia wakisema huko kuwaambia wageni kuwa Mimi ninatokea Tanzania ile Nchi ya Mlima Kilimanjaro na visiwa vya marashi ya Zanzibar...

Asitokee MTU kuwatisha na kuwadhihaki eti kisa tuh nyinyi mmeamua Kwa dhati na uzalendo kabisa kusimamia MILA na TAMADUNI ZENU.

Tokea zama na enzi Zanzibar imekuwa na utaratibu wa kuheshimu Imani za wananchi wake na za wageni mbalimbali wanaoingia ndani ya visiwa hivyo.

Wageni wanapokaribishwa Zanzibar siku zote hupewa sheria na taratibu za kuishi na wenyeji wa visiwa hivyo na bila kinyongo wageni hao wamekuwa wakizikubali na kuziheshimu, kiasi Cha kufikia kuishi na Kisha kutamani kurudi Tena na Tena ndani ya visiwa hivyo.

Wanaokwazika na TAMADUNI za Zanzibar kiasi Cha kufikia kuona kama ni kero kwao au wanatengwa basi siyo lazima Kwa wao kwenda,wabakie makwao ambako wao wanaona Wana uhuru wa kujiamulia kuishi Kwa namna wapendavyo wao.

ZANZIBAR, endelea kusimama IMARA pasipo na kutetereka.

Zanzibar, mmenikumbusha msimamo imara wa Qatar, ambapo walipoandaa world cup finals na kuwakatalia wazungu kuwa wao hawakubali kuruhusu kampeni za LGBTQ katika finals hizo Kwa namna yoyote Ile.

Japo, wazungu walinuna wengine kutishia kutoshiriki lakini Qatar walisimamia msimamo wao na mashindano yaliendelea Kwa mafanikio makubwa yasiyo na kifani.

Hongera sana Zanzibar,Dumisheni Mila na Tamqduni zenu pasi na kuhofia kitu chochote.
ACHA UCHOCHEZI
 
Mila za Zanzibar ziheshimiwe,asietaka kuziheshimu siyo lazima kwenda,bakia kwenu bara uishi Kwa uhuru unaoutaka
Hakuna kinachoitwa mila za Zanzibar sahihi sema hiyo ardhi inakaliwa na watu makabila mbalimbali wenye mila zao wanaopaswa kuheshimiana huwezi leo 21 century kuwataka watu waishi maisha ya kijima eti wafate mila za kipemba au sijui kiarabu,kwani hii jamii ina nini hasa kizuri cha kuigwa hata ilazimishe wengine kuifuata?

Kinachotakiwa hapo waambieni hao wapemba na wao waheshimu tamaduni za watu hiyo tamaduni yao siyo tamaduni smart kiasi kila mmoja alazimike kuifuata.
 
Back
Top Bottom