Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,004
- 103,391
Unamwamini mkuu wa nchi aliyeingia madarakani kwa kupora uchaguzi?Kwanini isifanye? Unataka kusema ni changa la macho huku tamko limetolewa site na mkuu wa nchi?
Unamwamini mkuu wa nchi aliyeingia madarakani kwa kupora uchaguzi?Kwanini isifanye? Unataka kusema ni changa la macho huku tamko limetolewa site na mkuu wa nchi?
Tamko limetolewa na raisi.Sidhani kama serikali itafanya hivyo, bali naona ni kama sehemu ya kuchukulia pointi za mezani.
Unajua kwa nini ni za makuti??Hizo hotel zilikuwa za makuti
Unamwamini mkuu wa nchi aliyeingia madarakani kwa kupora uchaguzi?
Tamko limetolewa na raisi.
Ila ni uzembe, ilipaswa bima ndio wagharamie
Zamu yao kutesa kwa zamu...Kwa kweli sasa hivi Zanzibar hawana tatizo na Muungano. Kero zote kwisha. Ajira 21% JMT zao. Mambo safi kabisa.
Hazikua na BIMA? Mmmghh hapana sio sahihiSUK kupitia kwa makamu wa pili wa Rais imethibitisha hoteli zilizoungua zitarejeshwa zilivyokuwa na serikali.
Kwa hali hii Jussa na hivyo Zitto ishindikane vipi kuwaelewa...
Tokea uhuru miaka 60, au kuna serikali nyingine mkuu??Serikali makini chini ya ccm!
Zamu yao kutesa kwa zamu...
Hazikua na BIMA? Mmmghh hapana sio sahihi
Ni Matumizi mabaya ya hela za umma, hoteli zilizoungua zinatakiwa zijengwe upya na BimaSUK kupitia kwa makamu wa pili wa Rais imethibitisha hoteli zilizoungua zitarejeshwa zilivyokuwa na serikali.
Kwa hali hii Jussa na hivyo Zitto ishindikane vipi kuwaelewa...
Siyo uzembe. Hii ni deliberate. Hotel hazikuwa na bima.
Au Singapore kabisa!Kwa hakika hadi 2025 watakuwa ranks za Mauritius au Mayotte 😁😁.
Hiiiiii bagosha!
labda hizo ni hotel za serikali lakini kama sio basi bima ndio inatakiwa kukava
Unaweza Kukuta Hotel Zote Ni Mali Ya Hao Viongozi Ndiyo Maana Wanetamka Kama Wanauwa Kunguni Kwa Kidole TuSerikali ya huko ni kampuni la bima? Hata mtoto mdogo hawezi kukubaliana na ghiliba kama hizo.
Kwa hakika hadi 2025 watakuwa ranks za Mauritius au Mayotte 😁😁.
Hiiiiii bagosha!
Kupanga ni kuchagua...
Rais Samia awapa shavu Wazanzibar: Ajira asilimia 21 za Muungano kuwa za Wazanzibar
Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira Hongera mama, Charity begins at home. Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la? Hebu tazama 1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania...www.jamiiforums.com