johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Serikali ya JMT imelipa fidia ya tsh 2.1 bilioni kwa Wananchi wa Zanzibar kupisha eneo la ujenzi wa Ikulu ndogo ya JMT
Pia Katika eneo hilo kutajengwa Ofisi za Makamu wa Rais na.Waziri mkuu
Source ITV
Pia Katika eneo hilo kutajengwa Ofisi za Makamu wa Rais na.Waziri mkuu
Source ITV