Tofautisha au hata fananisha pande mbili hizi za Muungano.
Yanayojiri Zanzibar ni kama hivi:
Yanayojiri Bara ni haya hapa:
Si hayo tu bali hata yale ya 21% ya ajira JMT ni mahsusi kwa Zanzibar. Ama kweli Zanzibar kumewiva:
Zanzibar Kumenoga - Serikali Kugharimia Ujenzi wa Hoteli zilizoungua Moto
Zaidi sana Zanzibar wamefikia maridhiano ya kisiasa na wana katiba mpya inayowahusu wote. Si Pemba, ACT, Jussa au Zitto ni vicheko tu hadi magego nje.
Kwetu bara maridhiano ya kisiasa ni "taboo." Kuongea katiba mpya ni ugaidi. Upinzani kukusanyika ni haramu.
Kubambikiziana kesi na hukumu mahakamani ndiyo kwetu. Ndivyo sivyo za dola dhidi ya watu wake, ndiko tulikowekeza.
Ama kwa hakika Zanzibar wanapopaa kwetu sisi mambo mpera mpera.
Yanayojiri Zanzibar ni kama hivi:
Yanayojiri Bara ni haya hapa:
Si hayo tu bali hata yale ya 21% ya ajira JMT ni mahsusi kwa Zanzibar. Ama kweli Zanzibar kumewiva:
Zanzibar Kumenoga - Serikali Kugharimia Ujenzi wa Hoteli zilizoungua Moto
Zaidi sana Zanzibar wamefikia maridhiano ya kisiasa na wana katiba mpya inayowahusu wote. Si Pemba, ACT, Jussa au Zitto ni vicheko tu hadi magego nje.
Kwetu bara maridhiano ya kisiasa ni "taboo." Kuongea katiba mpya ni ugaidi. Upinzani kukusanyika ni haramu.
Kubambikiziana kesi na hukumu mahakamani ndiyo kwetu. Ndivyo sivyo za dola dhidi ya watu wake, ndiko tulikowekeza.
Ama kwa hakika Zanzibar wanapopaa kwetu sisi mambo mpera mpera.