LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
mie naona muungano uvunjike kila watu wajijue wenyewe hili swala limekuwa sugu sana na nashindwa kuelewa bara wana ng'ang'ana nini ili hali kila kukicha tabu haziishi mogogoro haiishi.kila mmoja anahisi anapata zaidi ya mwenziwe.Wanasahau kuwa Zanzibar ilikuwepo kabla ya Tanzania. Wanasahu kuwa hata Tanganyika ilikuwa part ya Zanzibar.
Mimi nauliza hivi huu muungano una faida zipi kwa wote hata ukae ujadiliwe miaka nenda miaka rudi?