Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania

Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
Huu muungano umejaa Vioja vingi sana,wale wasionufaika na Ulaji kwenye Mapesa ya kugharamia muungano hawataki Muungano , lakini wale wanaonufaika na huo Ulaji wanang'ang'ania muungano kwa njia zozote hata kwa vita ikiwezekana wataulinda Ulaji wao Tambua kero za Muungano ni Mladi wa wajanja ule ile pesa inayotengwa kwa ajili ya kumaliza kero inaliwa na wajanja Ndio Maana kero hazimaliziki.
 
Hata mkoa bado itakuwa ndogo sana labda Unguja iwe ni wilaya ya DSM na Pemba iwe wilaya ya Tanga

Hilo nalo neno angalau sasa watanganyika watapoza machungu ya kunyonwa kwa Miaka 47 ka Nchi kadogo lakini kana Utitiri wa Wabunge,Viongozi,na Watumishi kibao kwa kutegemea mishahara kulipiwa na Tanganyika ,wanalundika mahitaji kwa kutegemea pesa za Tanganyika huku Tanganyika yenyewe wana nchi wake wanataabika huduma za jamii ni duni.
 
Imemshinda nyerere kuifanya mkoa ataifanya yeye aliekuwa hujui hata maana yw nchii nini nenda kamulize Pinda(waziri mkuu) aliposema zanzibar sinchi na kam wasema zanzibar akamulize Benad Membe (waziri waambo ya njee) hiyo TANGANYIKA MPYA(iliozaliwa 1964) Umoja wa Mataifa watumia kiti cha nani,then utasema Zanzibar iwe mkoa ila kabla kuwa mkoa nayeye tukampime akili
Akija Rais mwenye Roho ngumu anaweza kuibadili Zanzibar ikawa mkoa, Kama sasa walivyowaachia wakajiamulia mambo mengi Kienyeji enyeji pasipo kuwahoji Uhalali wake, hivyo hivyo wanaweza wakaamuliwa Kuwa Mikoa wakakubali,wale Wabishi watachukuliwa na kuhamishiwa Visiwa vya Ukerewe na Mafia , ambapo wakazi wa hapo watapelekwa Zanzibar kuishi sanjari na kuwahamishia Tanganyika Asikari wote wenye Asili ya Zenji kisha kuwapeleka Asikari wenye asili ya mkoa wa Mara,Manyama,singida,kigoma mikoa ya mbali na pwani , tena Single watupu ili wakalete Kizazi kipya kumaliza Ulalamishi.
 
hakuna haja ya hayo yote, cha msingi bunge lisitishwe, katiba ya sasa irekebishwe na kuingizwa kipengele cha kurusu kura ya maoni, then wananchi tuulizwe kama tunautaka muungano ama laa. kama jambo hili litachukua muda mrefu, basi nawashauri wazanzibar washinikize kufanyika kura ya maoni ya kuamua hatma ya muungano kwakuwa wao katiba yao inaruhusu kura ya maoni
Tatizo lipo hapo hapo ni nani ataisimamia hiyo kura ya maoni ? Kaa ukijua kura ya Maoni itachakachuliwa kisha matokeo Kuwa kinyume na matarajio itatumika ile Staili ya Miaka yote Zanzibar ya kuchukua Matokeo ya CUF Kuwa ya CCM na ya ccm Kuwa ya cuf ,na CCM kuonekana inashinda Miaka yote, sina imani na Kura ya Maoni .
 
Njia pekee ya kuwafanya zenji wakubali Kuwa Mkoa ni kufanya utafiti wa kiina juu ya kile kikundi cha Uamsho,kupeleleza kuwajua wale wote wenye misimamo mikali,wote waandaliwe vivutio huku Tanganyika watumike Wazanzibar wanaoishi bara ,wapewe Fungu kuhakikisha Wakorofi, wabishi, na wale wenye Udini wote wanahamia bara, kijanja pasipo kujielewa, kisha nafasi zao kule wajazwe, wachaga,wahehe na makabila mengine wapeleke Tamaduni za kupendana kuchanganyikana , hapo sasa itakuwa rahisi kupageuza Zanzibar mkoa.
 
kama vipi Tanganyika iwe mkoa wa Zanzibar.

dah nakuunga mkono kwa hili na jitihada ze2 wa ZANZIBAR zinaendea huko Tanganyika kuifanya mkoa kwa Zanzibar coz hawana watakacho pitisha kwa maslah ya Tanganyika yao hadi wapate ridhaa kutoka kwetu. che2 che2 chao che2 ha ha ha Zanzibar kwanza
 
BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, wametaka katika katiba ijayo kuwe na muundo wa Serikali moja, huku Zanzibar ikiwa ni moja ya mikoa ya nchi ya Tanzania na iwapo Wazanzibari watakataa, waruhusiwe kujitenga.

Mmoja wa wajumbe wa baraza hilo la Katiba Wilaya ya Kalambo, Afred Ntinda mkazi wa kata ya Mwazye kijiji cha Mpenje alisema hayo jana wakati akichangia maoni katika kikao cha baraza hilo kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya wilaya mjini hapa.

Mpenje alisema kuwa mfumo wa sasa wa Serikali mbili una kasoro nyingi na umeshindwa kutatua kero za Muungano hivyo hautakiwi kuendelea kuwepo wakati ule wa Serikali tatu hawezi kulinda muungano huo kwa kuwa Serikali hizo zinaweza kuongozwa na marais kutoka vyama tofauti vya siasa na wenye mitizamo isiyolingana hivyo kuna hatari ya muungano kuvunjika.

 Sisi huku bara kuwa na Serikali moja si tatizo wengi wataridhia, nafikiri kuna tatizo katika upokeaji wa maoni kwa wenzetu wa Zanzibar.

Source: Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania - Habari Ya Ndani - mwananchi.co.tz

Maoni:
Binafsi naunga mkono hoja! Zanzibar ina watu wachache kuliko hata mkoa wa Mbeya, inatoa wapi sifa ya kuwa nchi. Iwe tu mkoa wa Tanzania.

kidadi kidogo ya watu c kigezo cha kuwa mkoa rwanda na burudi ni ndogo lkn mbona hauwez kusema ziwe mikoa jomba rudi shule muda bado unao
 
Akija Rais mwenye Roho ngumu anaweza kuibadili Zanzibar ikawa mkoa, Kama sasa walivyowaachia wakajiamulia mambo mengi Kienyeji enyeji pasipo kuwahoji Uhalali wake, hivyo hivyo wanaweza wakaamuliwa Kuwa Mikoa wakakubali,wale Wabishi watachukuliwa na kuhamishiwa Visiwa vya Ukerewe na Mafia , ambapo wakazi wa hapo watapelekwa Zanzibar kuishi sanjari na kuwahamishia Tanganyika Asikari wote wenye Asili ya Zenji kisha kuwapeleka Asikari wenye asili ya mkoa wa Mara,Manyama,singida,kigoma mikoa ya mbali na pwani , tena Single watupu ili wakalete Kizazi kipya kumaliza Ulalamishi.

hayo yote yameshafanyika na zaidi ya hila hizo lkn bado Zanzibar tunasonga mbele no one can stop us to be sovereinght state
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom