Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania

Zanzibar iwe mkoa wa Tanzania

Status
Not open for further replies.
naona kabang yako inakubipu ama kuwasha. Ni lini tanganyika ilikuwa sehemu ya upuuzi wa kwenu zenji? Natamani nije na bomu hapo uislamuni niwape ndonga hadi muache huu ujinga wenu. Nani aliwaambia sisi tunapenda 0713?????????????????????????????? Kabang!

Unajuwa Tanganyika kabla ya kuitwa Tanganyika ikiitwa nini?
 
Nifafanue nini? zaidi ya hicho?

eee Mungu tusaidie kikombe hiki kituepUke.....,,,, kwamba TANGANYIKA ilikua part ya ZANZIBAR...!!!!!!

EEEE MOLA.......... HUYU BINTI ANATUMIA NINI KUWAZA???????????
 
Ndio shida yetu watanzania... umeombwa kufafanua wewe unauliza swali? tutafika tu

Kuuliza maswali ni nnjia moja nzuri sana ya kufundisha, maana swali hilo linaashiria kumuelewa kama anaijuwa historia au la.
 
eee Mungu tusaidie kikombe hiki kituepUke.....,,,, kwamba TANGANYIKA ilikua part ya ZANZIBAR...!!!!!!

EEEE MOLA.......... HUYU BINTI ANATUMIA NINI KUWAZA???????????

Nakushangaa sana, sasa nataka wewe uniambie hii nchi kabla ya kuitwa Tanganyika iliitwaje? ukipata jibu utanielewa vizuri sana, najuwa tatizo lako kubwa ni shule ulizojazwa ujinga.
 
Nakushangaa sana, sasa nataka wewe uniambie hii nchi kabla ya kuitwa Tanganyika iliitwaje? ukipata jibu utanielewa vizuri sana, najuwa tatizo lako kubwa ni shule ulizojazwa ujinga.
Kabla ya kuitwa Tanganyika hakukuwa na nchi bali kulikuwa na chiefdoms mbalimbali. Mipaka yenye kuidefine hii kama nchi ilikuja kuwekwa na wajerumani, na baadaye mwaka 1884 kwenye berlin conference. Otherwise Tanganyika haikuwahi kuwa nchi inayofahamika kwa jina lolote. Ilikuwa ni pori tu lisilo na mwenyewe, ndiyo maana ikaitwa Tanganyika (Tanga - sail) (nyika- wildness).

Wakati huo kulikuwa na chiefdoms tu za akina Mirambo, Mangungo, Mkwawa, etc. ambao walikuwa wame-establish territory zao ambazo infact zilikuwa ndiyo zilikuwa na mipaka ya kiutawala. Ilikuwa chiefdom moja ikitaka kupanua mipaka yake ya utawala, inaivamia chiefdom nyingine na kuifanya sehemu yake. Lakini wakati huo mipaka ya chiefdom moja na nyingine ilikuwa clear kabisa, na hizi chiefdoms zilikuwa zinafanya biashara, kwa mfano chief Mkwawa wa Uhehe anasemekana kuwa ni rafiki mkubwa wa chief Mirambo wa Tabora, na walifanya biashara mbalimbali pamoja.

Sasa hiyo nchi iliyokuwepo kabla ya Tanganyika unaulizia jina lake ni ipi? Usiwatishe wenzako eti kwa vile tu hawajui historia.
 
Kabla ya kuitwa Tanganyika hakukuwa na nchi bali kulikuwa na chiefdoms mbalimbali. Mipaka yenye kuidefine hii kama nchi ilikuja kuwekwa na wajerumani, na baadaye mwaka 1884 kwenye berlin conference. Otherwise Tanganyika haikuwahi kuwa nchi inayofahamika kwa jina lolote. Ilikuwa ni pori tu lisilo na mwenyewe, ndiyo maana ikaitwa Tanganyika (Tanga - sail) (nyika- wildness).

Wakati huo kulikuwa na chiefdoms tu za akina Mirambo, Mangungo, Mkwawa, etc. ambao walikuwa wame-establish territory zao ambazo infact zilikuwa ndiyo zilikuwa na mipaka ya kiutawala. Ilikuwa chiefdom moja ikitaka kupanua mipaka yake ya utawala, inaivamia chiefdom nyingine na kuifanya sehemu yake. Lakini wakati huo mipaka ya chiefdom moja na nyingine ilikuwa clear kabisa, na hizi chiefdoms zilikuwa zinafanya biashara, kwa mfano chief Mkwawa wa Uhehe anasemekana kuwa ni rafiki mkubwa wa chief Mirambo wa Tabora, na walifanya biashara mbalimbali pamoja.

Sasa hiyo nchi iliyokuwepo kabla ya Tanganyika unaulizia jina lake ni ipi? Usiwatishe wenzako eti kwa vile tu hawajui historia.

According to Mathew, and contrary to what others had written about it, the Periplus is a "Greek commercial handbookof the late first or early second century". In the Periplus, which is extant, the author expressed the surprising familiarity which Arabs at that time already had with East Africa, their understanding of the language of the natives and intermarriage with them.
During the seventh to the tenth century some Arabs took advantage of their established familiarity with East Africa and rather than simply coming to visit the place, as others had done before them for several centuries, they actually came and settled there. These Arabs took refuge in East Africa after having fled their countries following religious disputes among Arab tribes over whom should be the rightful Caliph or Successor to Prophet Mohammed. It is believed that one effect of these religious upheavals was the flight in around A.D. 950 of al-Hasan bin Ali Sultan of Shiraz who sailed with his six sons and followers from southern Persia and established settlements on the East Coast of Africa and islands, one of which was Zanzibar. With his six sons and equipped with seven ships, Ali Sultan made his historic voyage to Zenji-bar or the country of the Blacks and thus marked the beginning of what became known as the Zenj Empire. It is believed that they founded seven settlements of which Kilwa Kisiwani (the island of Kilwa, and not Kilwa Kivinje which was founded much later on the mainland) was one. One of Ali Sultan's sons called Au is "stated to have become the first ruler of Kilwa island in 956"1o. It is also generally believed that Kilwa later developed into a seat of the Zenj Empire, which lasted until the first decade of the sixteenth century when the Portuguese conquered it.
 
wanasemaje hao ni wajinga wanaotaka Zanzibar iwe ni mkoa maneno yao yaishie hukohuko kwa Sumbawanga🙂
 
Mi nadhani ni pendekezo zuri kama hawataki tuachane nao......lakini kuwa na serikali tatu haiingii akilini
 
Tanganyika bila Zanzibar inawezekana,Zanzibar bila Tanganyika haiwezekani
 
kwa maoni yangu naona itakuwa vema tukiwa na taifa la tanganyika na zanzibar kupewa hadhi ya mkoa wa nchi ya tanganyika. Ipunguziwe uhuru iwe chini ya tanganyika
 
Jamhuri ya Tanzania, sio ya Muungano tena. Serikali Moja, Makao Makuu Azania daslamu ya zamani
 
kwa maoni yangu naona itakuwa vema tukiwa na taifa la tanganyika na zanzibar kupewa hadhi ya mkoa wa nchi ya tanganyika. Ipunguziwe uhuru iwe chini ya tanganyika

Hebu jaribu kwenda zanzibar na ukishuka boti tu jaribu kutamka hayo maneno kama haujabadilishwa jina na kuitwa marehemu! Watanganyika wanadai tanganyika yao kama wewe bado umelala amka
 
Bila kujali nilipozaliwa Ikiwa ni bara au kisiwani nimeona ni vema tukae pande zote Bara(Tanganyika) na Zanzibar waweze kuamua aidha zanzibar iwe kama mikoa mingine tu na pengine iwe Liitwe jiji kama majiji mengine ya hapa bara AMA wawe nchi huru inayojitegemea kwa kila kitu zaidi zaidi iwe tu ni kama nchi rafiki ya Bara kama nchi nyingine kama kenyaa na uganda na pia iingizwe katika East African community hili jambo la muungano kwa mtazamo wangu naona itabidi tuliangalie na tulitafakari kwa umakini
 
Bila kujali nilipozaliwa Ikiwa ni bara au kisiwani nimeona ni vema tukae pande zote Bara(Tanganyika) na Zanzibar waweze kuamua aidha zanzibar iwe kama mikoa mingine tu na pengine iwe Liitwe jiji kama majiji mengine ya hapa bara AMA wawe nchi huru inayojitegemea kwa kila kitu zaidi zaidi iwe tu ni kama nchi rafiki ya Bara kama nchi nyingine kama kenyaa na uganda na pia iingizwe katika East African community hili jambo la muungano kwa mtazamo wangu naona itabidi tuliangalie na tulitafakari kwa umakini

Ok, ni maoni yako. Hapo kwenye red, sheria ya mabadiliko ya katiba ILIKATAZA kabisa hilo kutokea. Labda kama wenye nchi yao watabadili mawazo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom