MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 596
Mliwahi kusikia wapi nchi au taifa likapotea na kuwa mkoa ? Hivi kama Kenya italeta wazo kama hili la Tanganyika kuwa mkoa na rais atakaeongoza atakuwa mkenya hili wazo litaridhiwa na watanganyika ?
Nadhani hata sheria zilizopo huko BMK haziruhusu mjadala wa serekali moja, hii sio bure hili suala halijadili kabisa mbele ya wazanzibari.
P:S
**Huo muungano ni kulamishana tuu, lakini nina uhakika kama kutakupigwa kura ya maoni wengi wataukana na kudai waachwe wajitenge!
Nadhani hata sheria zilizopo huko BMK haziruhusu mjadala wa serekali moja, hii sio bure hili suala halijadili kabisa mbele ya wazanzibari.
P:S
**Huo muungano ni kulamishana tuu, lakini nina uhakika kama kutakupigwa kura ya maoni wengi wataukana na kudai waachwe wajitenge!