Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

Watanzania hivi karibuni tumeshuhudia makundi mawili makubwa yanayo utaka Urais ie Kundi la Mafisadi kwa upande mmoja na kundi la Wapinga ufisadi. Kundi la mafisadi lilanonekana lilijipanga muda mrefu na lina fedha nyingi ambazo limekua likizitumia ili mgombea wao aweze kuibukaa mshindi wa kuiwakilisha CCM kama mgombea. Kundi la Wapinga ufisadi nalo limejikita katika kutetea uzalendo zaid.

Sasa kwakua kuna kila dalili kwamba Chadema haitaweza kutwaa nchi, na kwakua kuna mkinzano mkubwa kati ya makundi haya mawili mimi nashauri kwamba Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atoke Zanzibar.

Hii itakua imeyakata kilimilimi makundi haya ambayo yameacha kufanya kazi za kujenga nchi kwa kuwaza Urais tu. Pia hii itafanya Zanzibar nayo itoe walau Rais wa pili wa Muungano maana zaidi ya Mwinyi hakuna mwingine aliyetoka Zanzibar.

Hii itakua safi kama vile Mtaange wa kugombea Uspika kati ya Chenge (akiwakilisha kundi la mafisadi) na Sita aliyewakilisha kundi la kupinga ufisadi.

CCM ilitumia busara na kuyapiga chini makundi yote na kumchagua mwanamama. Naona CCM pia inaweza kumpata com[promise candidate kwa kumtoa mgombea Zanzibar.

Hii imekaaje wadau?

Tumekuwa tukiwaweka chini ndugu zetu wa Zanzibar kama vile hawawezi kugombea na kushida bila kupendelewa kama kuna mgombea mzuri atashinda na kama kuna watoa rushwa wazuiwe kugombea. Huwezi kutumia udikteta kupata demokrasia!. Kama CCM wana yote hayo na bado watu mnafikiria kuwapigia kura basi msilalamike umasikini wala rushwa maana nyie ndiyo tatizo na si makundi bali Watanzania wasio badilika mtaendelea na umasikini mpaka mbadilishe chama au chama kibadilike. Wakati wa mwinyi rushwa ilikuwepo sana na wakati wa mkapa ikaongezeka hivyo hata raisi atoke wapi rushwa na uzembe hautaisha CCM mpaka uoga wa kupoteza madaraka uingie
 
Zanzibar walijipotezea nafasi ya kuongoza pale walipompiga vita Dr.Salim alipogombea kwani alikuwa mtu anayekubalika kwa uwezo wake lakini siasa zenu chafu ndio zilifanya asichaguliwe mlimsingizia hadi mauaji ila kwa sasa msahau kupata hiyo nafasi na isitoshe mtukio ya hivi karibuni ya kubagua watu toka bara halafu tuwape nafasi hiko kitu hakipo pia nafasi ya urais haitolewi kama zawadi bali kwa utendaji wa mtu kwa hiyo hoja yako ungepeleka uvccm maana ndio wana utaratibu huo.
 
galiya, Nguruvi3, takashi, Nonda,

..hii idea ya kupokezana uraisi kati ya Tanganyika na Zanzibar ni UPUUZI.

..huu muungano pia, kutokana na matusi ya wa-ZNZ, nao umekuwa UPUUZI.

..sasa kwasababu mnapenda UPUUUZI, let me give u an idea.

..tuanzishe nafasi ya "kundi/viti maalum" ktk nafasi ya Uraisi kama ilivyo kwa nafasi za Ubunge.

..katika "Uraisi wa kundi/viti maalum" tuweke m-ZNZ.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania hivi karibuni tumeshuhudia makundi mawili makubwa yanayo utaka Urais ie Kundi la Mafisadi kwa upande mmoja na kundi la Wapinga ufisadi.

Kundi la mafisadi lilanonekana lilijipanga muda mrefu na lina fedha nyingi ambazo limekua likizitumia ili mgombea wao aweze kuibukaa mshindi wa kuiwakilisha CCM kama mgombea. Kundi la Wapinga ufisadi nalo limejikita katika kutetea uzalendo zaidi.

Sasa kwakua kuna kila dalili kwamba Chadema haitaweza kutwaa nchi, na kwakuwa kuna mkinzano mkubwa kati ya makundi haya mawili mimi nashauri kwamba Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atoke Zanzibar.

Hii itakuwa imeyakata kilimilimi makundi haya ambayo yameacha kufanya kazi za kujenga nchi kwa kuwaza Urais tu. Pia hii itafanya Zanzibar nayo itoe walau Rais wa pili wa Muungano maana zaidi ya Mwinyi hakuna mwingine aliyetoka Zanzibar.

Hii itakuwa safi kama vile Mtaange wa kugombea Uspika kati ya Chenge (akiwakilisha kundi la mafisadi) na Sitta aliyewakilisha kundi la kupinga ufisadi.

CCM ilitumia busara na kuyapiga chini makundi yote na kumchagua mwanamama. Naona CCM pia inaweza kumpata compromise candidate kwa kumtoa mgombea Zanzibar.

Hii imekaaje wadau?

Na kaka yeye hataki bado ana moyo wa KUJITENGA na BARA; Sisi wa BARA TUMPIGIE KURA TUUU??
 
Nakubaliana na wewe Mpungati ingawa watu watatuona Kama wadini ila ni haki kwa wakristo 2015 kutupatia Rais.
 
Watanzania hivi karibuni tumeshuhudia makundi mawili makubwa yanayo utaka Urais ie Kundi la Mafisadi kwa upande mmoja na kundi la Wapinga ufisadi.

Kundi la mafisadi lilanonekana lilijipanga muda mrefu na lina fedha nyingi ambazo limekua likizitumia ili mgombea wao aweze kuibukaa mshindi wa kuiwakilisha CCM kama mgombea. Kundi la Wapinga ufisadi nalo limejikita katika kutetea uzalendo zaidi.

Sasa kwakua kuna kila dalili kwamba Chadema haitaweza kutwaa nchi, na kwakuwa kuna mkinzano mkubwa kati ya makundi haya mawili mimi nashauri kwamba Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atoke Zanzibar.

Hii itakuwa imeyakata kilimilimi makundi haya ambayo yameacha kufanya kazi za kujenga nchi kwa kuwaza Urais tu. Pia hii itafanya Zanzibar nayo itoe walau Rais wa pili wa Muungano maana zaidi ya Mwinyi hakuna mwingine aliyetoka Zanzibar.

Hii itakuwa safi kama vile Mtaange wa kugombea Uspika kati ya Chenge (akiwakilisha kundi la mafisadi) na Sitta aliyewakilisha kundi la kupinga ufisadi.

CCM ilitumia busara na kuyapiga chini makundi yote na kumchagua mwanamama. Naona CCM pia inaweza kumpata compromise candidate kwa kumtoa mgombea Zanzibar.

Hii imekaaje wadau?



We mzima kweli?!
 
Sema mgombea wa ccm sio Rais, kwa hali ilivyo ingesaidia sana mgombea kutaka znz lakini kuna mambo mawili kwann haitakuwa hivyo. kwanza, makundi ya ndani ya chama Shein angeweza kuwa right candidate, may be he is soft lkn bado anaendesha mambo kihalisia zaidi na wala sio mtu wa majungu. lakini haitawezekana coz muungano wenyewe umeelekea kibla why risk(watanganyika) pili haiko formal ila ukweli ni kwamba wakristo hawatakubali muislam tena, tupokezane. Thats it!
 
galiya, Nguruvi3, takashi, Nonda,

..hii idea ya kupokezana uraisi kati ya Tanganyika na Zanzibar ni UPUUZI.

..huu muungano pia, kutokana na matusi ya wa-ZNZ, nao umekuwa UPUUZI.

..sasa kwasababu mnapenda UPUUUZI, let me give u an idea.

..tuanzishe nafasi ya "kundi/viti maalum" ktk nafasi ya Uraisi kama ilivyo kwa nafasi za Ubunge.

..katika "Uraisi wa kundi/viti maalum" tuweke m-ZNZ.
teh mkuu hii IDEA YA VITI MAALUM nafikiri makamu wa rais tayari ni kiti maalumu kwani hana lolote analolifanya zaidi ya ufunguzi wa sherehe na warsha........
 
galiya, Nguruvi3, takashi, Nonda,

..hii idea ya kupokezana uraisi kati ya Tanganyika na Zanzibar ni UPUUZI.

..huu muungano pia, kutokana na matusi ya wa-ZNZ, nao umekuwa UPUUZI.

..sasa kwasababu mnapenda UPUUUZI, let me give u an idea.

..tuanzishe nafasi ya "kundi/viti maalum" ktk nafasi ya Uraisi kama ilivyo kwa nafasi za Ubunge.

..katika "Uraisi wa kundi/viti maalum" tuweke m-ZNZ.
Hawaishi malalamiko, yaani wanachotaka ni usawa wa nafasi za kazi. Hutawasikia wakisema wanataka kuchangia uendeshaji wa serikali sawa.Hutasikia wakisema wanataka kulipa umeme kama mwananchi wa mvomero au Malinyi!

Wakati wanadai usawa katika nafasi hizo, wao wapo busy kupitisha miswada ya kumbana Mtanganyika kufaidika na ushirikiano huo. Wanasheria ya ukaazi inayosema kama huna kitambulisho cha Uzanzibar hakuna kazi.
Wanataka TRA iruhusu mizigo yao bure Tanganyika wakati wanakusanya kodi.
Wana baraza lao la mitihani, wakati huo huo hawataki competition na wanafunzi wa Tanganyika,wanataka nafasi za ''viti' maalumu higher education.

Wameshadai wanataka IGP mzanzibar na CDF mzanzibar. Umimi na ubinafsi ndio hulka na utamaduni wa wenzetu.
This time no! tumekuwa baby seater sasa basi. Waende zao. Hawatusaidi lolote wala chochote!

Hatuna namna ya kuwaridhisha, tunatakiwa tukaze uzi tu warejee kwenye nchi yao nzuri yenye mito ya maziwa na asali.
 
Elewa kwamba rais ajaye ni LAZIMA awe MKRISTO. Waislam hawana chao 2015.
unamaanisha mkristu jina au mkristu dini?
acha hizo tunahitaji kutafakari juu ya kiongozi bora kwa taifa lililodhoofu lenye wananchi wengine pamoja na aina yako, na si dini ya mtu maana haitusaidii kivile!
 
Umesema kwamba kuna makundi mawili, ya "wapinga ufisadi" na "mafisadi. Kabla ya kuchangia zaidi ningependa kujua je huyo Mzanzibari akiwa kwenye kundi la "mafisadi" je?
 
rais wa tanzania kutoka zanzibar ni sawasawa na rais wetu atoke kenya au uganda au malawi kitu ambacho hakiwezekani..hatuwezi kutawaliwa na wapemba/waunguja/uamsho hata siku mbili
 
Kama mzee wa mikasi?

galiya, Nguruvi3, takashi, Nonda,

..hii idea ya kupokezana uraisi kati ya Tanganyika na Zanzibar ni UPUUZI.

..huu muungano pia, kutokana na matusi ya wa-ZNZ, nao umekuwa UPUUZI.

..sasa kwasababu mnapenda UPUUUZI, let me give u an idea.

..tuanzishe nafasi ya "kundi/viti maalum" ktk nafasi ya Uraisi kama ilivyo kwa nafasi za Ubunge.

..katika "Uraisi wa kundi/viti maalum" tuweke m-ZNZ.

Bill- -all
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom