Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

Mimi ni mpemba halisi nipo pamoja nawe unaposema turejee home.jee!umesahau usemi unaosema home sweet?OH!MY GOD DITACH ZNZ FROM THE CLAWS OF THESE BLACK INTOXICATED MINDLES TANGANYIKA PEOPLE.HOW CONFORTING TO UNITE WITH SOMALI RATHER THAN TANGANYIKANS.REALY,I REGRET THE UNION.ALL ZANZIBARIS SAY NO UNION.TUWACHENI TUPUMUWWWEEE!
Anachronism dude.
Jusa, Maalim Seif, Ahmed Rjab, Mansour Himid wamesema wanataka muungano! who are you!

Kama mnataka Pemba mnasubiri nini kuondoka? Kwanini mnahangaika na mkataba, mahusiano, serikali 3? Zote hizo ni za kutafuta nini wakati mnaweza kuungana na Somalia.

Narudia tena, HAKUNA MZANZIBAR mwenye nyodo ya kusimama mahali na kusema vunja muungano.
Kesho wapo Dodoma kimyaa!
Si mnasema koti likiwabana mnalivua mbona hamlivui.

Zanzibar inaihitaji Tanganyika mtake msitake! period.

Kelele mwisho chumbe!
 
Sisi watu wa Darisalama tuna undugu wa damu wa waunguja, na tumekuwa ndugu kwa miaka mia kadhaa. Muungano ulipokuja umekuta sisi tumeshakuwa ndugu na hakuna Mdarisalama halisi hata mmoja asiyekuwa na ndugu wa damu ambaye ni Muunguja.
Sasa basi, kabla hatujawafukuza wazanzibari, tutawafukuza nyie kwanza mrudi makwenu na waunguja mtawaacha hapa hapa Darisalama.

Kama huwapendi waunguja, wasuburi wakija kwenu huko kama Machame, Nansio, and Kantalamba kisha uwafukuze. Huwezi kumfukuza Muunguja kutoka Darisalama kwa sababu wewe mwenye wazo hilo siyo Mdarisalama.

Au mnadhania Marekani atawasaidieni? Shauri yenu tuu na kiherehere chenu. Kuna siku mtatembea kwa miguu kutoka Dar mpaka nyanda za juu za kokote kule.
 
Sitaki kuamini kwamb a tunataka viongozi kutokana na dini,tuwe tayari kupata kituko kingine zaidi ya tulichonacho.
 
Afadhali tuongozwe na fisadi Mtanganyika kuliko kuongozwa na Mzanzibari mnafiki, acha wajitenge, kwanza pale Zanzibar nani anafaa kuwa rais wa muungano? Tunakumbuka Mwinyi alivyoruhusu kila kitu na kusababisha nchi yetu ikose uelekeo kiuchumi, tusirudie makosa. Hatuna haja ya kuwabembeleza Wazanzibari katika hili.
 
Jamani kwani Zanzibar ni wapi? I thought tunaichukulia Zanzibar kama sehemu yoyote ile ya Tanzania,,,kuna wengine watasema Rais atoke Shinyanga, wengine atoke Dodoma na n.k,,,watanzania tunataka Rais Mtanzania na Mzalendo
 
Hayo mambo ya zamu zamu.....ya machoko msumari....hapa tunaangalia uwezo tu......Rais kutoka Zanzibar bado sana.....tena na Hizi Tabia na chuki hatutaki Rais mzenj ...kwani huo umakamu wa Rais wa kukata utepe na kuhudhuria mabaraza ..au kusimika maaskofu unawatosha
 
Jamani kwani Zanzibar ni wapi? I thought tunaichukulia Zanzibar kama sehemu yoyote ile ya Tanzania,,,kuna wengine watasema Rais atoke Shinyanga, wengine atoke Dodoma na n.k,,,watanzania tunataka Rais Mtanzania na Mzalendo

Mikoa miiwili hiyo ya Unguja na Pemba ...inayofaa ya mikoa 30 ya tanzAnia..
 
Pia raisi ajaye zanzibar atoke bara,na wa bara atoke uhamusho
 
Toka waZenji walipokaa kimya utaratibu wa kubadilishana miula ubadilishwe basi watasubiri sana, kama rais wao tunawachagulia sisi watapata wapi ujasili wa kutuchagulia mtu wa kutuongoza toka kwao? Lkn mwenyekiti ajaribu kuitumia hii mbinu labda ataweza kumpunguza kasi Edo maana jamaa anatiririka utafikiri Lione Messi.
 
Sisi watu wa Darisalama tuna undugu wa damu wa waunguja, na tumekuwa ndugu kwa miaka mia kadhaa. Muungano ulipokuja umekuta sisi tumeshakuwa ndugu na hakuna Mdarisalama halisi hata mmoja asiyekuwa na ndugu wa damu ambaye ni Muunguja.
Sasa basi, kabla hatujawafukuza wazanzibari, tutawafukuza nyie kwanza mrudi makwenu na waunguja mtawaacha hapa hapa Darisalama.

Kama huwapendi waunguja, wasuburi wakija kwenu huko kama Machame, Nansio, and Kantalamba kisha uwafukuze. Huwezi kumfukuza Muunguja kutoka Darisalama kwa sababu wewe mwenye wazo hilo siyo Mdarisalama.

Au mnadhania Marekani atawasaidieni? Shauri yenu tuu na kiherehere chenu. Kuna siku mtatembea kwa miguu kutoka Dar mpaka nyanda za juu za kokote kule.


Nafikiri sijakuelewa labda!Hivi nani anamfukuza mwenzake kati ya wazanzibari na watanganyika?Nani anataka kujitenga kati ya hao wawili? Umeshawahi kusikia Muunguja au mpemba unayemsema kafukuzwa Kantalamba au sehemu yeyote ile Tanganyika?

Wao ndiyo wanasema wanataka kujitenga na sisi hatuna pingamizi juu ya hilo so kama unandugu zako wa unguja watakuwa wanakata viza kuja kukutembelea Dar es salaam wala hakuna shida maana hata North Korea na South Korea wanakata viza kaka na dada wakitaka kutembeleana pia Ireland na North Ireland ,hilo la udugu wala lisikupe shida!
 
Usiseme rais ajaye wa Tanzania atoke Zanzibar bali sema mgombea urais kwa tiketi ya ccm 2015 atoke Zanzibar. Rais si anajulikana ( dr slaa) wazo lako ni zuri ccm ilifanyie kazi. Kama hawataki atoke zanzibar basi iwe ni zamu ya mgombea mwanamke ccm
 
toka wazenji walipokaa kimya utaratibu wa kubadilishana miula ubadilishwe basi watasubiri sana, kama rais wao tunawachagulia sisi watapata wapi ujasili wa kutuchagulia mtu wa kutuongoza toka kwao? Lkn mwenyekiti ajaribu kuitumia hii mbinu labda ataweza kumpunguza kasi edo maana jamaa anatiririka utafikiri lione messi.
el anatisha kila kona yupo
 
sisi watu wa darisalama tuna undugu wa damu wa waunguja, na tumekuwa ndugu kwa miaka mia kadhaa. Muungano ulipokuja umekuta sisi tumeshakuwa ndugu na hakuna mdarisalama halisi hata mmoja asiyekuwa na ndugu wa damu ambaye ni muunguja.
Sasa basi, kabla hatujawafukuza wazanzibari, tutawafukuza nyie kwanza mrudi makwenu na waunguja mtawaacha hapa hapa darisalama.

Kama huwapendi waunguja, wasuburi wakija kwenu huko kama machame, nansio, and kantalamba kisha uwafukuze. Huwezi kumfukuza muunguja kutoka darisalama kwa sababu wewe mwenye wazo hilo siyo mdarisalama.

Au mnadhania marekani atawasaidieni? Shauri yenu tuu na kiherehere chenu. Kuna siku mtatembea kwa miguu kutoka dar mpaka nyanda za juu za kokote kule.
kama dar ni nchi huru sawa watabaki ila kama ni sehemu ya tanganyika waunguja na wapemba lazima warudi kwao....ushawahi kukaa zanzibar uone hawa jamaa walivyo wabaguzi mtanganyika kumiliki ardhi kwao mizengwe kibao .......hapa muungano ukivunjika kila mtu kwao hawa jamaa wapo kila kona ya nchi hii na wala sio dar tu
 
kwa mfumo uliopo hivi sasa haitakuja kutokea RAIS wa jamhuri ya Muuungano wa Tanzania atoke ZENJ
hata mm pia siwezi kuafiki suala hilo coz wale jamaa ni VILAZA,WABINAFSI,WABAGUZI,WADINI lakini pia hawana uwezo wa kiuongozi....na kwa nchi ya kidemokrasia huwezi kusema kuna urais wa kupokezana

ILA 2015 LAZIMA TUSIMIKE MSALABA IKULU COZ NDIO TUMAINI LA WANYONGE NA MAENDELEO YA TAIFA LETU
 
Ni kheri Mtikila awe Rais wa JMT kuliko hao UAMUSHO (read Zanzibaris). Hautuwezi kuiweka rehani Tanganyika wakati wanataka kuvunja muungano.

Chama chochote kitakacho msimamisha mgombea kutoka ZNZ kitakuwa kimepoteza mtaji wa 95% ya wapiga kura. Mgombea kutoka ZNZ is UN ELECTABLE! CCM wanajua hilo, na CDM wanafahamu hilo.
 
Back
Top Bottom