Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Kuna kila dalili Kikwete anapanga mgombea urais CCM 2015 atoke Zanzibar. Wasiwasi wangu ni je akina Lowasa watakubali? Mwaka 2015 wela wela..!!!!
Kwani lowassa ni nani?ndio mpanga urais wa tanzania?acha ndoto za mchana
Hii ya CCM kushinda 2015 umeitoa wapi? Kilichoongelewa hapa ni mgombea uraisi wa CCM, au ndio nyie nyie tu muda wote mnawaza msichosoma?Pili, nani kasema ni nguzo ya 6 au amri ya 11 kuwa ccm itashinda 2015? Any way, uhuru wa kutoa maoni ni haki ya kila mtu.
Kuna kila dalili Kikwete anapanga mgombea urais CCM 2015 atoke Zanzibar. Wasiwasi wangu ni je akina Lowasa watakubali? Mwaka 2015 wela wela..!!!!
DR .SHEIN
Sifa.
1.Ameweza kuongoza serikali ya umoja kwa umoja na mshikamano
2. Amesimamia ilani ya CCM, Muungano ni wa nchi mbili
3. Kafanya maamuzi magumu , kipindi cha ajari na kumuondoa waziri alipotaka kupotesha muungano kwa manufaa ya umma
3.. Ni msikivu , jusa alipoitataji kujiondoa kamuundoa kwenye serikali.
4. Hana kashfa ya kifisadi kipindi chote cha umakamu wa raisi
5. Kavunja makundi zanzibar ya UPEMBA , UNGUJA NA UBARA (CUF na CCM)
6. aLISHAFIKA IDARA NYETI
7.International figure , keshakuwa raisi , anajulikana kimataifa.
8. Ajasaini mkataba wowote wakuipoteza rasilimali ya Zanzibar
9. Watu wanaanza kufanya Biashara zanzibar kutokea bara , magari ,electronic device(computer, TV) zanzibar BEI CHINI
10.aTAONDOA MANUNGUNIKO YA WANZANZIBAR KM NCHI KUTAKA KUONGOZA MUUNGANO
MEMBE
1.KIMATAIFA KAIVA- MALAWI CONFLICT
2.INTERNATIONAL FIGURE (Known international)
3.CONFIDENCE- Presenting speech Eg UN
4. FROM SMALL TRIBE
5.ATASIMAMIA MASLAHI YA TANZANIA BARA
6.ANA MISIMAMO
VUAI
1.Kesha ongoza idara kubwa kama
Wizara ya mambo ya ndani
Wizara ya Ulinzi
2. Ni mwanahabari mzuri
3. Msimamo wake juu ya muungano unajulikana
Ongezeeni JF