Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

waislam wameharibu nchi nani anawataka ni zamu ya rais mpagani
 
Ukitaka niite "mdini". Ingawa haijaandikwa popote wala hakuna kikao kilichokaa kuamua haya but come what may rais wa tz ajaye HAWEZI kuwa muislamu. Tumechoshwa!
 
Mi Nawazaaa, na kukuwazia mtoa mada...!
Ulifikiri ukiwa ulimwengu gani..
Hayo ndo mambo yanayotukost leo...
Bila kujali Eneo wala Imani anaweza kuwa mla rushwa,mfanya biashara ikulu,bingwa wa safari,mwizi na malaya...
Mimi binafsi siwezi chagua fisadi kwa kuangalia upande gani wa jamuhuri anatokea au dini yake..
Naomba kudiclare interest..
Sipendi wala sitamani kwa namna yoyote raisi wa jamuhuri awe mpemba au mhunguja kwani nikue na kusoma historia,sijasikia si tu kuwa raisi bali hata mbara 1,kugombea urais ktkt kimkoa kile..
 
Basi tumpe urais Morgan Tshangirai...maana lazima tudumishe Muungano wetu wa Zbar,Tanganyika na Zimbabwe!
 
waislamu tukiwapa nchi wanapata kichaa cha kuchoma makanisa
 
Watanzania hivi karibuni tumeshuhudia makundi mawili makubwa yanayo utaka Urais ie Kundi la Mafisadi kwa upande mmoja na kundi la Wapinga ufisadi.

Kundi la mafisadi lilanonekana lilijipanga muda mrefu na lina fedha nyingi ambazo limekua likizitumia ili mgombea wao aweze kuibukaa mshindi wa kuiwakilisha CCM kama mgombea. Kundi la Wapinga ufisadi nalo limejikita katika kutetea uzalendo zaidi.

Sasa kwakua kuna kila dalili kwamba Chadema haitaweza kutwaa nchi, na kwakuwa kuna mkinzano mkubwa kati ya makundi haya mawili mimi nashauri kwamba Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atoke Zanzibar.

Hii itakuwa imeyakata kilimilimi makundi haya ambayo yameacha kufanya kazi za kujenga nchi kwa kuwaza Urais tu. Pia hii itafanya Zanzibar nayo itoe walau Rais wa pili wa Muungano maana zaidi ya Mwinyi hakuna mwingine aliyetoka Zanzibar.

Hii itakuwa safi kama vile Mtaange wa kugombea Uspika kati ya Chenge (akiwakilisha kundi la mafisadi) na Sitta aliyewakilisha kundi la kupinga ufisadi.

CCM ilitumia busara na kuyapiga chini makundi yote na kumchagua mwanamama. Naona CCM pia inaweza kumpata compromise candidate kwa kumtoa mgombea Zanzibar.

Hii imekaaje wadau?
CCM hakuna kundi la wapinga ufisadi. wotw walewale wanasaka madaraka. usituletee kelele zako hapa wakati hata wewe ni mtumwa wa haohao.
 
Hiyo mito si swimming pool ya kenge na mamba tu. Na hayo mabonde mazuri- mvua zaja hizo yarabi Allah awanusuru na mafuriko
 
Na sisi huku tunataka mwaka huu raisi atoke Rhode island na mwaka 2016 atoke Connecticut
 
Kama mzanzibar ni compromise ya mwanamke kutoka bara, una maana kuwa mwanamke kutoka bara ni bora kuliko mwanaume mzanzibar? Sitaki kuamini kuwa wewe ni mzenji. Lengo lako katka huu uzi ni kuwadhalilisha wazenji!
 
2015 lazima upinzani uchukue nchi kama daftari la wapiga kura lita boreshwa kwani kutakua na watu zaidi ya milliokumi watakao jiandikisha
 
Baada ya kupitia maoni ya wengi nakubaliana na watu wanaom-rank Shein kama chaguo sahihi kwa chama cha mapinduzi!Shein ni mtu makini,mpole anapotakiwa kuwa mpole na mkali akiona upuuzi!Hakuwa na makucha ya kutosha alipokuwa VP lakini akipewa anaweza kuleta uwajibikaji!Hana makundi,hana udini ni mkweli kwa anachosema, anajiamini kwa nafasi yake!Lakini tatizo ni kuwa huku mitaani hakuna anayemuongelea!Katika survey yetu ya mwezi wa 9 hakuna hata respondent mmoja aliyemuongelea!LKN mie namuona ni kati ya viongozi wachache wa ccm (kutoka zanzibar,na muislam) ambaye anajua nchi hii haina dini bali wananchi!Kwa CCM Huyu naweza kumpa kura yangu!Naweza kumnadi kwa wenzangu na kumtetea mbele za watu pasipo kujali dini yake,kabila lake wala rangi yake!Kwani huyu namuona ni mtanzania wa kweli anayeamini Tanzania!cjui wenzangu mnaonaje!
 
galiya, Nguruvi3, takashi, Nonda,

..hii idea ya kupokezana uraisi kati ya Tanganyika na Zanzibar ni UPUUZI.

..huu muungano pia, kutokana na matusi ya wa-ZNZ, nao umekuwa UPUUZI.

..sasa kwasababu mnapenda UPUUUZI, let me give u an idea.

..tuanzishe nafasi ya "kundi/viti maalum" ktk nafasi ya Uraisi kama ilivyo kwa nafasi za Ubunge.

..katika "Uraisi wa kundi/viti maalum"
 
Last edited by a moderator:
Hawaishi malalamiko, yaani wanachotaka ni usawa wa nafasi za kazi. Hutawasikia wakisema wanataka kuchangia uendeshaji wa serikali sawa.Hutasikia wakisema wanataka kulipa umeme kama mwananchi wa mvomero au Malinyi!

Wakati wanadai usawa katika nafasi hizo, wao wapo busy kupitisha miswada ya kumbana Mtanganyika kufaidika na ushirikiano huo. Wanasheria ya ukaazi inayosema kama huna kitambulisho cha Uzanzibar hakuna kazi.
Wanataka TRA iruhusu mizigo yao bure Tanganyika wakati wanakusanya kodi.
Wana baraza lao la mitihani, wakati huo huo hawataki competition na wanafunzi wa Tanganyika,wanataka nafasi za ''viti' maalumu higher education.

Wameshadai wanataka IGP mzanzibar na CDF mzanzibar. Umimi na ubinafsi ndio hulka na utamaduni wa wenzetu.
This time no! tumekuwa baby seater sasa basi. Waende zao. Hawatusaidi lolote wala chochote!

Hatuna namna ya kuwaridhisha, tunatakiwa tukaze uzi tu warejee kwenye nchi yao nzuri yenye mito ya maziwa na asali.

Mimi ni mpemba halisi nipo pamoja nawe unaposema turejee home.jee!umesahau usemi unaosema home sweet?OH!MY GOD DITACH ZNZ FROM THE CLAWS OF THESE BLACK INTOXICATED MINDLES TANGANYIKA PEOPLE.HOW CONFORTING TO UNITE WITH SOMALI RATHER THAN TANGANYIKANS.REALY,I REGRET THE UNION.ALL ZANZIBARIS SAY NO UNION.TUWACHENI TUPUMUWWWEEE!
 
Kama mzanzibar ni compromise ya mwanamke kutoka bara, una maana kuwa mwanamke kutoka bara ni bora kuliko mwanaume mzanzibar? Sitaki kuamini kuwa wewe ni mzenji. Lengo lako katka huu uzi ni kuwadhalilisha wazenji!

hakuna mtu anayeweza kumzalilisha mzanzibar.unapaswa kujua kwamba wazenji wanadhalilishana wao kwa wao.hyo ni sera maalum ya divide and rule ambayo nyerere na mkapa wameifanyia kaz ipasavyo.kama wazenj wanaume ni zaifu ya wanawake wabara hayo ni mawazo yake hamna tatizo lakin awaulize wauza dawa za panya wanafanywa nini hata suruali hazikai matakoni.
 
Elewa kwamba rais ajaye ni LAZIMA awe MKRISTO. Waislam hawana chao 2015.

Mpungati.

Lini tutapata Rais ambaye si Mkristo wala si Muislamu?

Wapo watanzania ambao ni wahindu,waabudu mizimu, tunguli, mibuyu na dini za mababu. Au Tanzania ni ya waislamu na wakristo tu?

Tanzania inajisogeza mdomoni mwa mamba.
 
Back
Top Bottom