Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Manji leo amefungua kesi mahakama ya kisutu akidai amekashifiwa na Mengi. Anamtaka Mengi amlipe fidia ya sh1 kwa kumkashifu na kuandaa kipindu maalum cha kumuomba radhi ambacho atakuwa akikirusha (Mengi) mfululizo kwa siku saba