Fidia hutolewa kutokana na hasara ambayo mlengwa ameipata. Kwa Manji anaweza kuwa amechafuliwa kwa jamii lakini hakuna hasara ambayo ameipata kifedha.
Kudai fidia ya shelingi moja ina nguvu sana, maana inaonyesha hataki kufaidika na huyo Mengi.
Madhara yake ni kwamba Mengi akishindwa atalipa hiyo shilingi moja na gharama zote za kuendesha hiyo case kwa pande zote.
Kama kutokana na maneno ya Mengi kungelikuwa na watu wengi ambao wangesusia bidhaa za Manji hapo ndipo angeweza kudai fidia kubwa.
Kudai fidia ya shelingi moja ina nguvu sana, maana inaonyesha hataki kufaidika na huyo Mengi.
Madhara yake ni kwamba Mengi akishindwa atalipa hiyo shilingi moja na gharama zote za kuendesha hiyo case kwa pande zote.
Kama kutokana na maneno ya Mengi kungelikuwa na watu wengi ambao wangesusia bidhaa za Manji hapo ndipo angeweza kudai fidia kubwa.