Freddienda
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 269
- 270
Teh Teh Teh ...naona fid q alivyosikia anapendwa balaaa!kaona ampe dozi kubwa balaaa!Anampenda fid q balaa, itakuwa wapo honeymoon.
Teh Teh Teh ...naona fid q alivyosikia anapendwa balaaa!kaona ampe dozi kubwa balaaa!Anampenda fid q balaa, itakuwa wapo honeymoon.
pasha, pasha, pasha, chomaaaaaaaaaaaa, kwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Jamaa yuko rufiji anacheka mwenyewe ccm.imemficha
Swissme
Kwahiyo kilichokuuma ni yeye kugombea tena!Hata kama ameshinda alichofanya ni kitendo cha kifedhuli sana. Kwa mtu mzima kuachia ubunge ili uombe tena ubunge ni kitu cha ajabu. Kwangu isingekuwa tabu sana kama angeachia halafu akaacha wengine wagombee. Nawaza kwamba huenda nchi yangu inapoteza mwelekeo kupitia wapenda sifa kama hawa, wasio Na huruma Na fedha ya wanyonge. That's ridiculous!! Iweje kweli ufanye hayo. Shame on you!!
huyo Mungu hana kazi ebu mwache mtulia ajitulie huku akinya damu.natamani iwe kweli.Tumuombee kama ni kweli, Mungu ni mwingi wa rehema na atamrehemu na kumsamehe kabisa
kwanini aliachaKwahiyo kilichokuuma ni yeye kugombea tena!
Huyu mgonjwa hakuacha kwa kupenda bali ni muendelezo uleule wa LUMUMBAHata kama ameshinda alichofanya ni kitendo cha kifedhuli sana. Kwa mtu mzima kuachia ubunge ili uombe tena ubunge ni kitu cha ajabu. Kwangu isingekuwa tabu sana kama angeachia halafu akaacha wengine wagombee. Nawaza kwamba huenda nchi yangu inapoteza mwelekeo kupitia wapenda sifa kama hawa, wasio Na huruma Na fedha ya wanyonge. That's ridiculous!! Iweje kweli ufanye hayo. Shame on you!!
kununua.Kwani wanaapishwa wapi weWewe kweli karai, ulitaka aapishiwe wapi?!

KanyeulaleMtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
Watu wafupi ni wachawi sanaHuyu mgonjwa hakuacha kwa kupenda bali ni muendelezo uleule wa LUMUMBA![]()
![]()
![]()
kununua.
sio wanachi tu hata serikali ni hivyo si umeona wanavyopambana na maandamano yake.Nimeamini hii nchi wana nchi wanaongozwa na umbea Wa Dada Mange
Kazi ipo
Watakuwa wamemwendea kwa mzee chongoWazanzibar ni hatari sana ! kitu kimejibu !

Muulize aliyehoji kwa nini " hajaapishwa"!Kwani wanaapishwa wapi we![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
[quote uid=426498 name="Mwifwa" post=26220469]<i><b>JF huwa haiangushi kwa taarifa mbalimbali.<br />Muda ukifika hizi kauli zitakuwa wazi kwa watu wote.</b></i>[/QUOTE][quote uid=6357 name="Safari_ni_Safari" post=26241241]Breaking news!<br /><br /><br />Mbunge mteule kinondono Abdallah Mtulia hali yake mahututi.<br /><br />Kaka yake amesema mdogo wake huyo amepatwa na ugonjwa Wa kupooza mwili na kuzimia zimia hovyo.<br /><br />Hivyo wameamua kumrudisha kesho DSM muhimbili kwa matibabu zaidi wakitokea rufiji.<br /><br />Chama chake cha mapinduzi hawataki habari zijulikane lakini sasa tumeona mficha ugonjwa kifo kinamuumbua sasa sisi tumeamua kuweka hadharani.<br /><br />Taarifa hizi zimetolewa na Mussa Mtulia kaka yake mbunge huyo[/QUOTE]<i><b>Tulichokisema kwenye huu uzi kule mwanzoni sasa kimetimia</b></i>Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
UfipaniWatakuwa wamemwendea kwa mzee chongo![]()
Muulize mzee wa kuchezea bakora ndefu JOBBUfipani
Magonjwa MtambukaBreaking news!
Mbunge mteule kinondono Abdallah Mtulia hali yake mahututi.
Kaka yake amesema mdogo wake huyo amepatwa na ugonjwa Wa kupooza mwili na kuzimia zimia hovyo.
Hivyo wameamua kumrudisha kesho DSM muhimbili kwa matibabu zaidi wakitokea rufiji.
Chama chake cha mapinduzi hawataki habari zijulikane lakini sasa tumeona mficha ugonjwa kifo kinamuumbua sasa sisi tumeamua kuweka hadharani.
Taarifa hizi zimetolewa na Mussa Mtulia kaka yake mbunge huyo
oyoooo