Na Anatokwa damu ktk haja kubwa!...Mungu ni kuogopa aiseeYuko kwao Rufiji...wamemficha ...sasa hivi mtulia siyo yule anayemjua sahiv analia peke yake mda mwingine wanamkuta anacheka peke yake ...kaenda kupewa matambiko kwao rufiji.
Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
damu ya Aquilina IKO JUU YA Mbowe na Halima Mdee watailipa tu, hachomoki mtu! hiyo ni KUVUNA KWA KINYWA CHAKE.
Ccm hawata shiriki hahahaKafara ile....kinondoni get ready .
U guys has to vote again.
JF huwa haiangushi kwa taarifa mbalimbali.
Muda ukifika hizi kauli zitakuwa wazi kwa watu wote.
Tulichokisema kwenye huu uzi kule mwanzoni sasa kimetimiaBreaking news!
Mbunge mteule kinondono Abdallah Mtulia hali yake mahututi.
Kaka yake amesema mdogo wake huyo amepatwa na ugonjwa Wa kupooza mwili na kuzimia zimia hovyo.
Hivyo wameamua kumrudisha kesho DSM muhimbili kwa matibabu zaidi wakitokea rufiji.
Chama chake cha mapinduzi hawataki habari zijulikane lakini sasa tumeona mficha ugonjwa kifo kinamuumbua sasa sisi tumeamua kuweka hadharani.
Taarifa hizi zimetolewa na Mussa Mtulia kaka yake mbunge huyo

Hujanielewa ndio maana umejitengenezea swali lakoUmeamini kuwa anableed au??
MZANZIBARI ALIAPA CHEZA MZANZIBAR
Aisee! Waiting
SWISSME
Well said mkuuSasa hivi mambo ni fire fire,hata Mungu naona atashangaa akupe ubunge alafu ujiuzulu ubunge mwenyewe alafu uje ugombee tena.Mungu adhiakiwi chochote apandacho mtu atavuna.Nalipa direct and indirect tax mtu ajiamulie kujiuzulu kodi zetu zitumike kufanya uchaguzi mwingine Law of Karma itakutafuna.
Haaa!.......inawezekana wale wabunge 8 wa viti maalumu waliotumbuliwa wakarejeshwa fasta?.....duu ndumba nini?Breaking news!
Mbunge mteule kinondono Abdallah Mtulia hali yake mahututi.
Kaka yake amesema mdogo wake huyo amepatwa na ugonjwa Wa kupooza mwili na kuzimia zimia hovyo.
Hivyo wameamua kumrudisha kesho DSM muhimbili kwa matibabu zaidi wakitokea rufiji.
Chama chake cha mapinduzi hawataki habari zijulikane lakini sasa tumeona mficha ugonjwa kifo kinamuumbua sasa sisi tumeamua kuweka hadharani.
Taarifa hizi zimetolewa na Mussa Mtulia kaka yake mbunge huyo
Leta ukweli mlete mtulia !Nimeamini hii nchi wana nchi wanaongozwa na umbea Wa Dada Mange
Kazi ipo
Mambo ya kuthibitisha nenda courtroom.. .this is social media, yasemwayo humu asilimia 90 uwa yana ukweli, that's my experienceUnaweza kuthibitisha hiki ulichokiandika hapa ?
Huo ndio ukweli Mwifwa.Well said mkuu