FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,903
- 109,245
Hahahaha.Duuuhhh, NCCR, CHADEMA walimpokaje?
Huko kote ulikotaja nani asiye "system"?
Hahahaha.Duuuhhh, NCCR, CHADEMA walimpokaje?
Comment yako imenifikirisha mno...Na yeye sijui kwa nini alitibua mpango wa wenzie bora angeacha tu hiki chama cha lumumba kisingekuwa madarakani leo hii ona sasa tulipo fika...
Kumbe wewe ni mjomba wetu kabisa....duuuh hiyo si ilikuwa 1982?!!Nilishuhudia Ule Mtanange wa Tamimu pale Kinondoni Mkwajuni!
Kama una njaa....hukopesheki madukani?!!!Una aman wewe uliyeshiba
Field Marsha komandoo Tamimu akapigwa na Komandoo Mabere Marando mlenga shabaha long live Mabere Marando
....apishie mbali ,aaamen aaamen aaamenKhalafu utakuta anayeota mapinduzi analikitambi hata kutembea mita 500 hawezi. Angalie huko Kongo mkimbizi anakimbia na kutembea mamia ya km na rti mbuzi na safuri mgongoni. Acha kabisa hayo mambo. Na Miungu apishie mbali.
hadithi za kitoto hizo...Huyo alikuwa mtu wa usalama alifanya kazi ya teksi driver, na hata Leo bado wapo na wengine ni shoe shiners, fundi viatu mjini
Wamakonde wa pale Msasani nao wana mchango wao mkubwa katika kufanikisha kufichua uovu huo.
Zamani Idara ilijua kuchomeka watu na wakavaa uhalisia pasipo kufichua uficho wao!
Tofautisha informants/field agents na Intelligence Officer/undercover kabisa.Madreva tax wengi enzi hizo walikua wale jamaa zetu wa siri
Ukiwa na mkosi hata ufanye jambo la kishujaa kiasi gani "hupati".
Jiulize watu wachache waliopigana vita vya Tanzania vs Uganda leo hata yebo hawavai sababu ya umasikini lkn waliokombolewa Dar - Dubai kula bata
Mohamed Said anaweza kueleza hili vizuriHistoria ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.
Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.
Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.
Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Hao wanaitwa reporters tuHuyo alikuwa mtu wa usalama alifanya kazi ya teksi driver, na hata Leo bado wapo na wengine ni shoe shiners, fundi viatu mjini
Ni lweli maarifa yapo kwenye maandishi. Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuziendea maktaba.Hatukuwepo....
Ila yameandikwa vitabuni na magazetini....
Nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa najisomea nakala ya gazeti la RAI kila wiki....nikapata kuwajua akina LUTENI LUGAKINGIRA ,EUGENE MAGANGA ,UNCLE TOM ,TAMIMU ,HATTY MC GHEE na wengineo.....
Tupende kujisomea....
Maarifa hupatikana humo....
#SiempreJMT
ndio ujinga mliopandikizwa na ccmLakini pia tusingekuwa na amani hii.
Alihamia CHAMA gani!?Hata JKN alihama. Wakammaliza
Kumbe Tz mtu aweza kufanya kazi yoyote kumbe...............Siri yakeMwenzio ndio alikuwa kazini hivyo ulitaka alipwe nini wakati ndio kazi yake
Wakati ule usalama walisambaa kila kona na kila kazi ilikuwa na hao watu, walikuwa waadilifu na wazalendo usishangae kusikia huyo dereva alikuwa mtu wa usalamaMuda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Huyo alikuwa ni Shushushu. Enzi zile walikuwa wakiendesha vile vigari vya Kirusi.... Jina nimelisau.Historia ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.
Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.
Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.
Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?