TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike?
Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele, Maradona, Michael Jackson, Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k?
Je, yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa?
Hivi binadamu gani au mtu gani mashuhuri unaamini ameitikisa dunia mpaka tunasema hakika huyu pengo lake halitokaa lizibike?
Wapo wachache ila unaweza kumtaja wako mfano Pele, Maradona, Michael Jackson, Michael Jordan,CR7 ,Messi n.k?
Je, yupi ambaye unaweza sema hakika huyu alikuwa Mungu mtu maana kuna story nilisikia kuna watu walikuwa mashuhuri mpk wakawa wanaabudiwa?