Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Yule kinyozi anaemnyoa Waziri Mkuu

Wakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.

Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.

Shukrani sana mkuu alieniwekea picha
 
Kinyozi na yeye hapangiwi anyoe vipi, anajua anyooshe nywele wapi au wapi apindishe na PM na yeye anatulia kimyaaaa, kila mtu na ufundi wake bhanah.
Nadhani kinyozi huwa anamnyoa kiwoga uwoga
 
Watu wana utani wa karibia na ukweli nadhani kaamua iwe style hiyo kama Kim Jong-un wa NK.
 
upload_2017-5-9_13-13-39.png


Wakuu poleni na majonzi na maombeleo yanayoendelea kwa kuondokewa na wanafunzi.

Nimefuatilia sana hotuba za waziri wetu mkuu lakini nikagundua kitu kimoja kwanza harakaharaka ukamwangalia vibaya unaweza sema labda shingo yake iko upande kumbe tatizo ni yule kinyozi anaemnyoa mh.wetu wakati anamkatia zile nywele nadhani hua hamnyooshi vizuri ile shingo hadi kumpelekea waziri wetu aonekane sura iko upande.

Linganisha na hii
upload_2017-5-9_13-13-39.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom