johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
- Thread starter
-
- #21
Mkuu tutapata majibu hapahapa!Huyu Giriki nasikia alikuwa anatabia ya kuwaingiza wenzake chaka hasa wanaposhuka mlima Kitonga,yani akishuka anamzuga wa nyuma yake kwa taa ili aone mlima mdogo mwisho wa siku wanyuma yake anashindwa kukontro gari anapata ajali'hii ni kweli au uzushi tu?
Ajali ya Shabiby bus?Hivi ni huyu aliyekuwa dereva maarufu njia ya songea?
Kama ni huyu naskia alipigwa marufuku kuendesha mabasi baada ya kusababisha ajali ( sio gari alilokuwa akiendesha)
Giriki noma baada ya ile ajali aliyosababisha alizuiliwa kuendesha gari za abiria...akawa suka wamalory japokua sijui kama mzimaSafina zile za Mahenge kwa Giriki zilikuwa cha mtoto!
Iringa screpa zikazikwa darHivi mabasi ya Scandinavia yalifia wapi?
Kiswele na special coach.. Dar songeaDaaah. Na sisi wa enzi za Kiswele na Comfort tujikumbushege basi
Sijui Ulikua una maana gani "kuwazuga kwa taa"Huyu Giriki nasikia alikuwa anatabia ya kuwaingiza wenzake chaka hasa wanaposhuka mlima Kitonga,yani akishuka anamzuga wa nyuma yake kwa taa ili aone mlima mdogo mwisho wa siku wanyuma yake anashindwa kukontro gari anapata ajali'hii ni kweli au uzushi tu?
Yah, nilikua na maana kama ulivyoeleza wewe, dereva wa nyuma akiangalia za Giriki anao kama Giriki ajashika breki na yeye anaamua kufunguka, kumbe Giriki kapunguza mwendo mbele kuna kona kali sema taa za breki haziwaki.Sijui Ulikua una maana gani "kuwazuga kwa taa"
Ila ni kweli michezo ya kuchoma ways/balbu za taa za breki za nyuma ilikuwepo. Hasa Kitonga na Pale uwanja wa ndege(njia ya Tukuyu kuelekea kyela) na madereva wengi walichomeshwa kwa mtindo huo
Yeah ilikiwepo hio michezoYah,nilikua na maana kama ulivyoeleza wewe,dereva wa nyuma akiangalia za Giriki anao kama Giriki ajashima brekina yeye anaamua kufunguka,kumbe Giriki kapunguza mwendo mbele kuna kona kali sema taa za breki haziwaki.
Atamzuga nani wakati watu wapo hiyo road kila siku wanajua hadi wapi kuna shimo na wapi hakuna shimo na leo yupo dar kesho mbeya kipi ambacho kitakua kigeni kwake Mkuu hao wanayajua hadi magari ya kampuni za coca au bia ambayo yalikua yanatoka mbeya wanapishana kila siku kona za hiyovi anakwambia Kona mbili zijazo tutakutana na roli la coca kwa sababu wapo humo kila siku na muda wa magari ya kampuni zingine wanajua pia ila wewe ukiambiwa utashangaa kweli...Huyu Giriki nasikia alikuwa anatabia ya kuwaingiza wenzake chaka hasa wanaposhuka mlima Kitonga,yani akishuka anamzuga wa nyuma yake kwa taa ili aone mlima mdogo mwisho wa siku wanyuma yake anashindwa kukontro gari anapata ajali'hii ni kweli au uzushi tu?
Hakika maisha yanakwenda mbio sana maana mabasi yake yalitesa sana miaka ya 80 na mmiliki wake alioneka kama mtu aliekwisha yaweza maisha.Iringa screpa zikazikwa dar
Hadi miaka 2000Hakika maisha yanakwenda mbio sana maana mabasi yake yalitesa sana miaka ya 80 na mmiliki wake alioneka kama mtu aliekwisha yaweza maisha.
Hahahaaaa...... Kiswele za Juma Nga!ema na Comfort coach za Anderson Nyato!Daaah. Na sisi wa enzi za Kiswele na Comfort tujikumbushege basi
Tajiri wa Scandinavian mzee Abdullah awali alikuwa dereva wa malori baadae akafungua gereji yake pale Kurasini kisha akaanza biashara ya mabasi.Hakika maisha yanakwenda mbio sana maana mabasi yake yalitesa sana miaka ya 80 na mmiliki wake alioneka kama mtu aliekwisha yaweza maisha.
Sharuks zilikuwa Dsm - Kilombero mmiliki wake alikuwa Abbas Gulamali wa Yanga!Sharuksi nazo ziliishia wapi? Nakumbuka zilikuwa zinaandikwa majina ya wachezaji wa Yanga wa kipindi hicho (1990 - 1992) mfano Thomas Kipese.
Nadhani huyu tajiri alikuwa anaishi Mbeya mjini. Nakumbuka miaka ya 97 nilionyeshwa nyumba yake.Tajiri wa Scandinavian mzee Abdullah awali alikuwa dereva wa malori baadae akafungua gereji yake pale Kurasini kisha akaanza biashara ya mabasi.
Baadae mawaziri wakaingiza mabasi yai kwenye hii kampuni na wakawa wanajaza mafuta kutoka hifadhi ya serikali bomu liliporipuka kampuni ikafirisiwa.
Mzee Abdullah route yake ilikuwa ni Dsm - Iringa tu ambayo ilisimamiwa na Bob Said.
Washirika wengine walikuwa Sumaye, Dr Kigoda, Prof Mark nk!