Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Status
Not open for further replies.
Mkuu Nyani Ngabu unawezaje kutabiri kuwa lengo la post hii ni kumponda Magufuli?

Mimi kama mtanzania ni wajibu wangu kudadisi na kutaka kujua "whereabouts" za watu wetu maarufu

Au ndiyo kusema "limekuchoma" kwa maana ya "Guilty are always unconscious"
Ni muhimu kupata jibu la swari lako
 
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia
Kwanini mtu mmoja au kikundi kidogo cha watu wakitaka kitu - husema umma wa watanzania/watanzani? Kwa nini wasijitambulishe wenyewe tu?
 
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?

Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu

Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?

Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Nenda kaulize magogoni
 
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?

Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu

Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?

Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Kimya kingi?
 
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia
Watanzania walimchagua mmewe siyo yeye.
 
Duh, hapo siajabu unawakwepa ndugu na marafiki, hata kuwaulizia una habari, ila wauzliza haya uchokonowe ya mke wa mtu tu?!
 
Naona waTz wengi bado hamjaelewa System ya uongozi wa huyu Dingi JPM
 
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?

Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu

Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?

Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND

habari za mke wa mtu wewe za kazi gani?
mnashea mume?
 
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?

Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu

Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?

Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
1538301955500.png

1538302483200.png
 
Mama yetu ni mwalimu,kwa hiyo yuko katika majukumu yake ya kawaida ya kufundisha watoto wetu ili tuweze kufikia lengo letu tulilojiwekea la kuwa taifa la viwanda.Hapa kazi tu,hakuna longo longo ya vi-NGO uchwara.
shule gani yakhe
 
Kwani hukumuona juzi kwny uzinduzi wa Mfugale flyover...watu wanafiki sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom