ujue taarifa anazo na si nzuri ndo maana hawataki kuulizwaNyani vipi mbona mkali sana safari hii?
Bro vipi umeshachukua green kadi nini? Sikuelewi siku hiziThanks for this jirani, baeleze baelewe!.
Upon jirani?
P
punguza hasira mkuuLinichome kwani limekuwa mshale? We vipi wewe...

Ila kiukweli...mwenyewe najiulizaaa sipati majibu.....wenye kuujua ukweli tafadhali...mkuje.Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Man umakuwa mkali kama pilipili ya kihindiLinichome kwani limekuwa mshale? We vipi wewe...
Very true
Ni mkuu huko kisalaweYuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Watampondaje wakati wake wa marais wengine waume zao hawakupondwa basi kunatatizo sehemuKama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.
Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.
Shameful.
Mbona mke wa prince hakuwepo na huhojiKwakweli lile tukio la Prince kwenda Ikulu, mother house alitakiwa kuwepo pale
Acha kuchunguza familia za watu.Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Dah...usipoteze muda...tumia muda vizuri tujenge nchi..Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
We jamaa una miakili mingi sana..Mbona mke wa prince hakuwepo na huhoji