mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,256
Wewe ulishapiga lini ..usituletee stress zako za maisha humuPiga simu ikulu uwaulize.
Wewe ulishapiga lini ..usituletee stress zako za maisha humuPiga simu ikulu uwaulize.
Aisee huko kwenu kuna shida!Ni kawaida Mke wa Rais wetu, ambaye tunamwita First Lady, kiheshima tunamuita mama yetu
Mke wa baba yako yupiYuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Na wewe kwa kujipendekeza hujambo hasa.Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.
Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.
Shameful.
Kumbe ndio maana siku hizi hatutafutani, siku ukipotea njia karibu, nasi tukielekezwa makao mapya, tutatia timu, unless siku hizi wewe sio Miss Natafuta tena sasa ni Miss Sitafuti, Miss Nimepata au Mrs Nimepata, ila hili jina la Miss Natafuta umeliacha tuu kwa vile limezoeleka, au bado wewe ni Miss Natafuta ila umehama tuu lakini bado unatafuta?.Nipo kaka ila nilishahama huko kitambo
Kwani kujua kuhusu mama yetu ni kosa? mbona unahamaki?Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.
Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.
Shameful.
Huyo siyo mke wa kawaida kama alivyo wangu na wako.........We unauliza wake wa wenzio mbona wako hatumuulizi???
jibu zuri wadaku bwana wana tabu ina maana hajamuona mwenye ufunguzi wa Mfugale flyovers????????????????????????????Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.
Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.
Shameful.
Mbona unambishia? Sasa kama yeye na watu fulani huyo ni mama yao kuna tatizo gani kymwita mana yao?Mama yako na nani..!?? Acha Ujinga.
Nchi na mfumo wetu wa siasa hauna nafasi ya First Lady. Huo ni mfumo wa US. Ktk awamu zilizopita muondoe mama Maria Nyerere. Huyu alionekana ktk kipindi cha mwanzo kabisa na baadaye alitoweka ktk mambo ya siasa. Awamu zilizofuata naweza kusema zilikuwa dhaifu. Watawala walikuwa dhaifu na kuruhusu wake zao kuchukua nafasi hiyo kwa malengo mabaya.Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Jamani mnanitisha au kuna nini hapo nyuma ya paziaKwakweli lile tukio la Prince kwenda Ikulu, mother house alitakiwa kuwepo pale
Hata waliomzidi umri wamuite mama yetu!!?Ni kawaida Mke wa Rais wetu, ambaye tunamwita First Lady, kiheshima tunamuita mama yetu
Kuna Ikulu mbliliJamani mnanitisha au kuna nini hapo nyuma ya pazia
We mwanamke sikuelewi tena siku hizi kuna ikulu mbili, sijui somo, jamani mnaniogopesha sasaKuna Ikulu mblili