Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Status
Not open for further replies.
Mbona jumapili iliyopita alikuwa ma mzee baba wakiwaombea majeruhi wa marehemu kanisani.
 
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia
Kile kipigo cha mbwakoko mpaka akalazwa muhimbili, kimemfanya awe mpole
 
Sina sababu ya kupiga simu Mkuu Nyani Ngabu..........

Kama wewe unajua kinachomsibu Mama yetu huyo kiasi cha kumfanya awe so cool, basi naomba uwajulishe Umma wa watanzania ambao wana hamu ya kumuona akiwa active na shughuli za kisiasa za nchi hii, kama ilivyo kawaida ya maFirst Lady wa nchi hii waliomtangulia
Kweli chama cha wachaga mmeishiwa hoja. Poleni sana. Bora ungeulizia mama yenu wa Arusha Lucy.
 
aliyeshindwa kuunganisha familia yake unatarajia kuwaunganisha watanzania..
ndio maana utasikia "nyinyi kaskazini mtasubiri sana"
"tunajenga kanda ya ziwa kwanza"
ivi pombe huku ruvuma na mbeya utakuja lini kutushukuru kwa kukuchagua ?
aliyeshindwa kuonesha uaminifu kwenye ndoa yake unategemeaje ushirikiano ?
 
aliyeshindwa kuunganisha familia yake unatarajia kuwaunganisha watanzania..
ndio maana utasikia "nyinyi kaskazini mtasubiri sana"
"tunajenga kanda ya ziwa kwanza"
ivi pombe huku ruvuma na mbeya utakuja lini kutushukuru kwa kukuchagua ?
aliyeshindwa kuonesha uaminifu kwenye ndoa yake unategemeaje ushirikiano ?
Huyu Rais anaonyesha upendeleo wa kikanda wa waziwazi kabisa

It's very shameful
 
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?

Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu

Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?

Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Angalia juzi juzi kwenye ufunguziwa Mfugale flyover alikuwapo kwenye tukio.
 
Duh, hapo siajabu unawakwepa ndugu na marafiki, hata kuwaulizia una habari, ila wauzliza haya uchokonowe ya mke wa mtu tu?!
Kwa kuwa yeye ni Public Figure, kwa hiyo ni muhimu tukajua her whereabouts
 
Rais Magufuri huwa mnasema anapenda kamera,Janeth hataki kamera mnamtafuta sisi watanzania tunamatatizo sana.
 
Mke wa Magu unamtakia nini wewe?
Hapendi kiki yule.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom