Soweto kusema zaidi ya hapoWe mwanamke sikuelewi tena siku hizi kuna ikulu mbili, sijui somo, jamani mnaniogopesha sasa
Excellent!Ni kawaida Mke wa Rais wetu, ambaye tunamwita First Lady, kiheshima tunamuita mama yetu
Sarcasm imewajaa hawa waungwana.Kama huna sababu ya kupiga simu basi sidhani nia yako ya kutaka kujua mke wa rais yuko wapi, ni ya dhati.
Unaandika tu hapa ili wewe na wenzako mpate upenyo wa kuanza kumponda Magufuli kupitia jina la mkewe.
Shameful.
Kaka uwe unapitapita na kule MMU...Kumbe ndio maana siku hizi hatutafutani, siku ukipotea njia karibu, nasi tukielekezwa makao mapya, tutatia timu, unless siku hizi wewe sio Miss Natafuta tena sasa ni Miss Sitafuti, Miss Nimepata au Mrs Nimepata, ila hili jina la Miss Natafuta umeliacha tuu kwa vile limezoeleka, au bado wewe ni Miss Natafuta ila umehama tuu lakini bado unatafuta?.
P
Kule MMU nipo na ni threads kibao zikiwemo hiziKaka uwe unapitapita na kule MMU...
Ila usije chukua madem zetu...😂😂😂
Ha ha !Kule MMU nipo na ni threads kibao zikiwemo hizi
Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!. - JamiiForums
ila hili la kuogopa labda nichakua mademu wenu, usiwe na shaka wala wasiwasi, mimi ujana wangu niliutumia vizuri, nikiamua kufolenisha, foleni itaanzia Tegeta mpaka Feri!, sasa mimi ni mtu mzima, hivyo mambo yangu sasa ni ya kiutu uzima, mambo ya mademu na mimi mbalimbali.
P.
Duh!! Ngachoka😂😂Mama yako na nani..!?? Acha Ujinga.
Hii Ni Tabia Mbaya Sana Ya Wanaume Wa Dar... Unaanzaje Kumuuliza Mke Wa Mwanaume Mwenzio Yuko Wapi?Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita,
anhahahaaa..Kule MMU nipo na ni threads kibao zikiwemo hizi
Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!. - JamiiForums
ila hili la kuogopa labda nichakua mademu wenu, usiwe na shaka wala wasiwasi, mimi ujana wangu niliutumia vizuri, nikiamua kufolenisha, foleni itaanzia Tegeta mpaka Feri!, sasa mimi ni mtu mzima, hivyo mambo yangu sasa ni ya kiutu uzima, mambo ya mademu na mimi mbalimbali.
P.
Yuko wapi mama yetu huyo, Janeth Magufuli?
Hilo ndilo swali tunalojiuliza watanzania baada ya kutomuona siku nyingi katika matukio ya kisiasa ya nchini kwetu
Tulizoea kuwaona maFirst Lady akina Mama Salma Kikwete, Mama Anna Mkapa, Mama Sitti Mwinyi na hata Mama yetu wa awamu ya kwanza Mama Maria Nyerere wakiwa very active na shughuli za waume zao ambao walikuwa ni marais katika awamu zilizopita, wakati hali ni tofauti sana katika awamu hii, ambapo mama huyo ambaye ni First Lady wa awamu hii Mama Janeth Magufuli amekuwa kimya sana, ndiyo maana tunajiuliza kulikoni, yuko wapi Mama yetu huyo?
Kwa kuwa kuna msemo unaosema IN EVERY MAN's SUCCESS THERE IS A WOMAN BEHIND
Na hata jumapili walikuwa wote kanisani st peter..au kama ana hamu sana ya kumuona awe anaenda kukaa viunga vya st peter kila jumapili