Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,882
Reaction score
828,450
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika

Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
 
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika

Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
 
Kuna sehemu nimesoma Instagram magari yake amepokonywa
Screenshot_20260113-114513_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20260113-114501_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom