Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?šŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
šŸ’©
 
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?šŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Elewa...watu wasipopiga kelele hata mawe yatazungumza!

Baki na misemo yako cheap "No sense"
Mauaji yaliyofanywa na Ccm hayawezi kufutwa kwa maneno mepesi...

Iwe leo hata miaka 100 ijayo..lazma ukweli woooote uwekwe waz na hukumu zitoke hata kama watakuwa wamekufa!
USijichomoe betri watu wana yao mioyoni!
 
Elewa...watu wasipopiga kelele hata mawe yatazungumza!

Baki na misemo yako cheap "No sense"
Mauaji yaliyofanywa na Ccm hayawezi kufutwa kwa maneno mepesi...

Iwe leo hata miaka 100 ijayo..lazma ukweli woooote uwekwe waz na hukumu zitoke hata kama watakuwa wamekufa!
USijichomoe betri watu wana yao mioyoni!
nini kimefanya waufyate mkia?

chuki zao binafsi dhidi ya mamlaka za Tanzania, zimeisha au moto wa walei wa kanisa hilo katekista J Ludivick na Lucy Michael wameshindwa kuuzima?šŸ’
 
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?šŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Waulize Marekani....
 
We linafiki sana.
Mke na watoto wako wamepata hasara ya ww eti kuwa mme na baba wa watu.
Wakiongoea unachonga kimdomo wakikaa kimya napo unawashwq
gentleman,
una mihemko useless au nonsense?

mbona uko pointless sana dhidi ya hoja mahususi mezani?šŸ’
 
Maslahi ya kanisa yaliguswa,na baada ya kelele na matamko mengi serikali waliufyata.
sio nguvu kubwa zaidi ya walei, ndio iliwashinda viongozi hao wa kanisa katoliki dhidi ya mipango yao ovu ya kutaka kukiingiza chama fulani cha siasa kanisani humo?šŸ’
 
bora wanyamaze ,maana wakiongea mtu badal ya kujibu hoja anasema anashambuliwa kwa sababu ya dini yake,sasa sijui dini yake ndo imemtuma afanye anayolalamikiwa?...very low yaani
 
bora wanyamaze ,maana wakiongea mtu badal ya kujibu hoja anasema anashambuliwa kwa sababu ya dini yake,sasa sijui dini yake ndo imemtuma afanye anayolalamikiwa?...very low yaani
lakini gentleman,
ni wazi kwenye suala la udini ni kama kuna kaukweli fulani hivi, hasa ukilinganisha na mazonge zonge ya tawala zilizopita na hawa majamaa yalikuwepo kimya yametulia tuli, yanatazama tu alie wa dini yao akifanya yake mbele yao šŸ’.
 
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?šŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Acha chokochoko na uchokozi wewe mtoto.
 
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC,
Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu Tila, Tlaatlaah with due respect bila kuingilia uhuru wako wa maoni kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba, tuwe na heshima kwa viongozi wote wa dini zote kwa kuwa adress proper wanavyoitwa, mfano Sheikh Mkuu anaitwa Mufti, viongozi wa Katoliki wana titles zao, Papa, Kardinali, Askofu Mkuu, Askofu, Paroko, Padri etc, hii ya kuanza kumtaja kwa shirika lake Mkapuchini, bila kutanguliza Askofu Mkuu, Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Tanzania in Dar Es Salaam Diocese sio kumtendea haki!.

TEC ndicho chombo cha juu zaidi cha kanisa Katoliki Tanzania, Rais wa TEC ni mtu mkubwa sana, kumuita water melon wa kanisa katoliki ni kumtukana tukano kubwa na baya!. Huku sii kututendea haki!.

Wana jf, pamoja na tofauti zetu za kisiasa, mitazamo na uhuru wa maoni, tusitumie maneno ya kuwaumiza wengine kwa viongozi wao wa kiimani. Mfano mimi namfahamu kiongozi fulani wa dini fulani ni pedophile, alikaingilia kwa kukabaka katoto ka miaka 9!, lakini kamwe huwezi kunisikia nikimtaja ni nani kwasababu namheshimu.
P
 
Back
Top Bottom