Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

Yupo nchi moja huko bara la Amerika, mama yenu wanasuka mipango ya kumpa nchi Emmanuel Nchimbi.

Hizi ni za ndani kabisa, mama yenu huu mwaka hatoboi.
 
kwanini wakemee?
kwanini wasiwafundishe watoto wawe waamini na raia wema baadae na badala yake wanaishia kuwafundisha ngono tu?

huoni kama kanisa linafundisha ujinga, halafu baadae linakuja kinafiki eti kukemea ujinga lililowafundisha waamini wake tangu wakiwa watoto?

kiongozi wa kanisa unamdhulumu mtoto kingono halafu unatarajia awe kuingozi muaminifu na mtakatifu?

hiyo ni nonsense kabisa gentleman :NoGodNo:
Ulichokiandika umekifikiria?
Aliyesemaa hawafundishi watoto kuwa raia wema ni nan?,
Na kwanini wewe uulize kwanini wakemee?
Means unabariki matendo maovu?

Hao watoto wakifundishwa uraia wema , alafu wakaja kukuta viongozi wao ni wabinafsi, hawako kwaajili ya maslahi ya watu na nchi, ufisadi, uuwaji, utekaji, kwaakili yako mtoto (mtu mzima) gani atakuwa na mapenzi na nchi yake?
 
kwanini wakemee?
kwanini wasiwafundishe watoto wawe waamini na raia wema baadae na badala yake wanaishia kuwafundisha ngono tu?

huoni kama kanisa linafundisha ujinga, halafu baadae linakuja kinafiki eti kukemea ujinga lililowafundisha waamini wake tangu wakiwa watoto?

kiongozi wa kanisa unamdhulumu mtoto kingono halafu unatarajia awe kuingozi muaminifu na mtakatifu?

hiyo ni nonsense kabisa gentleman :NoGodNo:
Hii ni nonsense boss umeandika
 
Gentleman,
kwani dhuluma za kingono ni haki, right? :NoGodNo:
Thibitisha was
kwanini wakemee?
kwanini wasiwafundishe watoto wawe waamini na raia wema baadae na badala yake wanaishia kuwafundisha ngono tu?

huoni kama kanisa linafundisha ujinga, halafu baadae linakuja kinafiki eti kukemea ujinga lililowafundisha waamini wake tangu wakiwa watoto?

kiongozi wa kanisa unamdhulumu mtoto kingono halafu unatarajia awe kuingozi muaminifu na mtakatifu?

hiyo ni nonsense kabisa gentleman :NoGodNo:

Mke wangu Floriani akiona hii nonsense atasikitika sana
 
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Diocese of Dar Es Salaam Tanzania, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?

Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?

Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?

Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wa nini mkuu. Atakuwa anapotakiwa kuwa tu.

Hadi ufikishe wangapi, au idadi uliyopewa haijatimia Kiongozi wangu
 
Wa nini mkuu. Atakuwa anapotakiwa kuwa tu.

Hadi ufikishe wangapi, au idadi uliyopewa haijatimia Kiongozi wangu
kwani yale makelele yaliyosababisha waamini wa kanisa lake katoliki kumgomea kwa maandamano mpaka ubalizi wa Vatican ameyamaliza yote?.

na je,
hapo ndipo alitakiwa kua au?🐒
 
Back
Top Bottom