Ulichokiandika umekifikiria?kwanini wakemee?
kwanini wasiwafundishe watoto wawe waamini na raia wema baadae na badala yake wanaishia kuwafundisha ngono tu?
huoni kama kanisa linafundisha ujinga, halafu baadae linakuja kinafiki eti kukemea ujinga lililowafundisha waamini wake tangu wakiwa watoto?
kiongozi wa kanisa unamdhulumu mtoto kingono halafu unatarajia awe kuingozi muaminifu na mtakatifu?
hiyo ni nonsense kabisa gentleman![]()
Hii ni nonsense boss umeandikakwanini wakemee?
kwanini wasiwafundishe watoto wawe waamini na raia wema baadae na badala yake wanaishia kuwafundisha ngono tu?
huoni kama kanisa linafundisha ujinga, halafu baadae linakuja kinafiki eti kukemea ujinga lililowafundisha waamini wake tangu wakiwa watoto?
kiongozi wa kanisa unamdhulumu mtoto kingono halafu unatarajia awe kuingozi muaminifu na mtakatifu?
hiyo ni nonsense kabisa gentleman![]()
Kwanin unataka watu wawe wema ikiwa nyinyi sio wema ni waovuHauoni hakuna haki hapo?ok mpiga ramli useless![]()
ThibitishaGentleman,
kwani dhuluma za kingono ni haki, right?![]()
Thibitisha wasGentleman,
kwani dhuluma za kingono ni haki, right?![]()
kwanini wakemee?
kwanini wasiwafundishe watoto wawe waamini na raia wema baadae na badala yake wanaishia kuwafundisha ngono tu?
huoni kama kanisa linafundisha ujinga, halafu baadae linakuja kinafiki eti kukemea ujinga lililowafundisha waamini wake tangu wakiwa watoto?
kiongozi wa kanisa unamdhulumu mtoto kingono halafu unatarajia awe kuingozi muaminifu na mtakatifu?
hiyo ni nonsense kabisa gentleman![]()
Sawa baba mkwe muovuili iweje nithibitishe uovu wa waovu hao wa madhabahuni?![]()
Wa nini mkuu. Atakuwa anapotakiwa kuwa tu.Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Diocese of Dar Es Salaam Tanzania, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J. Lodovick?
Na je,
water melon wa kanisa katoliki Tanzania, Wolfgang Pisa, O.F.M Cap, Bishop of Lindi Diocese, na Rais wa TEC, bado anaandikiwa cha kusoma kwenye vyombo vya habari na Fr.Kitima binafsi, eti kwa niaba ya TEC?
Au mapigo ya walei Lucy Michael na mwalimu wa dini makini sana, katekista Joseph Ludivick wamewapiga knockout ya kisiasa mbele ya madhabahu?
Au changamoto zimeisha Tanzania? Kwanini wameufyata mkia kwa mwendo wa ngiri, mashahidi hao muhimu sana ikiwa kutakua na kesi ICC?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
kwani yale makelele yaliyosababisha waamini wa kanisa lake katoliki kumgomea kwa maandamano mpaka ubalizi wa Vatican ameyamaliza yote?.Wa nini mkuu. Atakuwa anapotakiwa kuwa tu.
Hadi ufikishe wangapi, au idadi uliyopewa haijatimia Kiongozi wangu
labda hili ndio jibu mkuuAu changamoto zimeisha Tanzania?
Hivi unajua unachozungumza lakni?wakatoliki hawavai Madera, alisikika mropokaji moja kutoka madhabahuni kwenye mimbari eti hapo ndio alikua akihubiri neno la Mungu
wakatoliki hawavai Madera, alisikika mropokaji moja kutoka madhabahuni kwenye mimbari eti hapo ndio alikua akihubiri neno la Mungu 🤣