Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Basata
wasanii wa nigeria tulikuwa tunawavimbia sana kwenye views huko kwenye tuzo, tcra imekuwa msaada mkubwa sana kwa wanaijeria maana walikuwa wanalalamika sana watanzania tuna internet ya bei rahisiSafi sana hio.
Hao wasanii ndio wapiga kampeni wa waliopandisha Bei za bando.Nashauri Bei zipandishwe tena.
Mondi alikua anafikisha 4m within 2weeks daahhakuna video imefika views milioni 5 tangu mabando yapande october 19 2021
Nadhani hara ule uzito wa views uliokuwa ukiwabebeba wasanii wetu kwenye tuzo ndio basi tena.... Wasanii wetu kwa sasa wanapata hizi views milioni 3 wataweza kushindana na wanaijeria tena???
hapa kwa sasa nafasi yetu huenda ikachukuliwa na afrika kusini,
View attachment 2078775
View attachment 2078791
View attachment 2078770
View attachment 2078772
Ata mimi nimeliona hilo wanaoview video za wasanii wetu ni wakenyaMondi alikua anafikisha 4m within 2weeks daah
Yaani watajua tu hao wasanii kua hawajuu Mimi you tube kwa sasa nawatch mambo ya msingi tu but not music!au nadownload!Ata mimi nimeliona hilo wanaoview video za wasanii wetu ni wakenya
nimechekaBuku Mb 300 halafu uende Youtube...thubutu