hakuna video imefika views milioni 5 tangu mabando yapande october 19 2021

Nadhani hara ule uzito wa views uliokuwa ukiwabebeba wasanii wetu kwenye tuzo ndio basi tena.... Wasanii wetu kwa sasa wanapata hizi views milioni 3 wataweza kushindana na wanaijeria tena???

hapa kwa sasa nafasi yetu huenda ikachukuliwa na afrika kusini,

1642021379099.png


1642022218782.png


1642021096846.png


1642021219600.png
 
Safi sana hio.

Hao wasanii ndio wapiga kampeni wa waliopandisha Bei za bando.Nashauri Bei zipandishwe tena.
wasanii wa nigeria tulikuwa tunawavimbia sana kwenye views huko kwenye tuzo, tcra imekuwa msaada mkubwa sana kwa wanaijeria maana walikuwa wanalalamika sana watanzania tuna internet ya bei rahisi
 
Tulishasema siku nyingi sio kwamba muziki wetu uko juu kuzidi wenzetu bali gharama nafuu za internet ndio zilikuwa zinatubeba. Muulizeni Polepole,kwa nini hajakata rufaa chuo chake kifunguliwe ?
 
hakuna video imefika views milioni 5 tangu mabando yapande october 19 2021

Nadhani hara ule uzito wa views uliokuwa ukiwabebeba wasanii wetu kwenye tuzo ndio basi tena.... Wasanii wetu kwa sasa wanapata hizi views milioni 3 wataweza kushindana na wanaijeria tena???

hapa kwa sasa nafasi yetu huenda ikachukuliwa na afrika kusini,

View attachment 2078775

View attachment 2078791

View attachment 2078770

View attachment 2078772
Mondi alikua anafikisha 4m within 2weeks daah
 
Back
Top Bottom