Tangu mabando yapande bei, Diamond pekee kaweza kupata views milioni kwa siku, kahamia muziki unaoweza kusikika na kila mtu ila ni wachache wanauimba

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Tangu mwaka 2021 mwezi wa 11 tulipopata kilio cha mabando kupanda bei hakuna msanii yoyote hapa bongo alieweza kugonga views milioni 1 ndani ya masaa 24, ipo lebo flani ilikuwa inamwagia views milioni 1 chini ya dakika 1 kwa kila msanii lakini wakaja kuumbuka.

Diamond kaweka rekodi ya ngoma ya pili mfululizo kuweza kufikisha views milioni chini ya masaa 24.

Diamond kaamua abadili gia angani kuimba mafundisho, ushauri na mambo yanayohusu kuvumiliana, matumaini, maisha halisi n.k. hata kama ni mapenzi anagonga pale kwenye shida wanazopitia wengi na kuwapa moyo, sio kujitutumua kwamba ni sukari ya warembo, vumbi la mkongo, n.k.

aina ya wimbo anoimba kwa sasa hata watu wenye maadili wanasikiliza, ni muziki unaopendwa lakini wasanii wachache wenye majina makubwa wanaopata airtime wanaufanya, Diamond kaamua kucheza na soko hapa.

YATAPITA

Diamond Platnumz - Yatapita (Official Music Video).mp4-00_00_10-00003.jpg

Diamond Platnumz - Yatapita (Official Music Video).mp4-00_01_43-00010.jpg

Diamond Platnumz - Yatapita (Official Music Video).mp4-00_03_55-00011.jpg

Diamond Platnumz - Yatapita (Official Music Video).mp4-00_05_12-00014.jpg



ZUWENA

Diamond Platnumz - Zuwena (Official Music Video)_2.mp4-00_01_54-00010.jpg

Diamond Platnumz - Zuwena (Official Music Video)_2.mp4-00_02_05-00013.jpg

Diamond Platnumz - Zuwena (Official Music Video)_2.mp4-00_02_34-00011.jpg

Diamond Platnumz - Zuwena (Official Music Video)_2.mp4-00_00_50-00001.jpg
 
Hilo la kuimba vitu relevant kwa mtaa nadhani mpeni maua yake konde na nadhani diamond kasoma mchezo kaona kabisa jamaa kuwa street king ni kwa sababu anaimba nyimbo zinazogusa watu wa kawaida

Kingine Hata ukiangalia hit song kubwa ya mwaka uliopita, nakupenda ya jay melody haikuwa na matusi, ipo clean na nyimbo za kiba vile vile

Kwa hiyo mpeni maua yake kwa kuamua kuswitch ladha ya muziki wake Ila sio kwamba yeye ndiye kabadili gear ya industry kwa sababu kuna artist wamefanya poa bila kili wala matusi 🙏🏽
 
Tangu mwaka 2021 mwezi wa 11 tulipopata kilio cha mabando kupanda bei hakuna msanii yoyote hapa bongo alieweza kugonga views milioni 1 ndani ya masaa 24, ipo lebo flani ilikuwa inamwagia views milioni 1 chini ya dakika 1 kwa kila msanii lakini wakaja kuumbuka.

Diamond kaweka rekodi ya ngoma ya pili mfululizo kuweza kufikisha views milioni chini ya masaa 24.

Diamond kaamua abadili gia angani kuimba mafundisho, ushauri na mambo yanayohusu kuvumiliana, matumaini, maisha halisi n.k. hata kama ni mapenzi anagonga pale kwenye shida wanazopitia wengi na kuwapa moyo, sio kujitutumua kwamba ni sukari ya warembo, vumbi la mkongo, n.k.

aina ya wimbo anoimba kwa sasa hata watu wenye maadili wanasikiliza, ni nyimbo ambazo unaweza kusikiliza na mtoto.

ni wasanii wachache wanaopata airtime wanaimba hizi ishu,
Viewers Naisi hawa Dabliu See wanapika Hii mambo. Wanatuahaminisha wa Tanzania kuwa wanaingiza Mkwanja mkubwa kutoka Yutubu wakati huko Yutubu awamjui Mtanzania yeyote yule anaetoka Tandale angalia hapa kisha utafakali toka hizi picha nilizoweka kwenye hii Nyuzi
9FDF401D-A854-49E6-995C-9CE25596C306.png
4BF30FAA-1C14-4A8B-BB42-B4ADF1EE03B7.png
6496935C-B18B-4083-AC83-9B79227BBA00.jpeg
298FAE16-83C9-4121-B599-4352D15F0805.png
123C6413-7EBF-449A-8B54-A56BC561BD25.png
6F160FB6-1B1E-44D1-8354-127D60179130.png
3DEC1367-BF3A-49BB-B8DF-A300E37927F8.png
44BABB3D-CFC5-40F3-906E-DF2CBD71D84A.png
 
Hilo la kuimba vitu relevant kwa mtaa nadhani mpeni maua yake konde na nadhani diamond kasoma mchezo kaona kabisa jamaa kuwa street king ni kwa sababu anaimba nyimbo zinazogusa watu wa kawaida

Kingine Hata ukiangalia hit song kubwa ya mwaka uliopita, nakupenda ya jay melody haikuwa na matusi, ipo clean na nyimbo za kiba vile vile

Kwa hiyo mpeni maua yake kwa kuamua kuswitch ladha ya muziki wake Ila sio kwamba yeye ndiye kabadili gear ya industry kwa sababu kuna artist wamefanya poa bila kili wala matusi 🙏🏽
Duu brother Nitarejea,Mbagala,Je Utanipenda............ Mbona Mondi alianza zamani sana.

Sema aliswitch alivyoanza kuimba Number 1 hapo Mondi akabdilika kabisa, hizi za kulialia ndio uwanja wale wa nyumbani.....
 
Duu brother Nitarejea,Mbagala,Je Utanipenda............ Mbona Mondi alianza zamani sana.

Sema aliswitch alivyoanza kuimba Number 1 hapo Mondi akabdilika kabisa, hizi za kulialia ndio uwanja wale wanyumbani.....
Tatizo labda huenda jamaa hasoma maada nzima, ni kweli wasanii wanaofanya aina hii ya mziki wapo lakini ni wachache, hawana majina makubwa na wana airtime ndogo. wasanii wenye majina makubwa ndio huwa na impact kubwa ila wengi wao wanachoimba kwa sasa ni mapenzi ya chumbani.

Diamond alichofanya ni kusoma huu uwanja kaamua kutumia jina lake kubwa kufanya mziki ambao mastaa wenzake wameufumbia macho,
 
Viewers Naisi hawa Dabliu See wanapika Hii mambo. Wanatuahaminisha wa Tanzania kuwa wanaingiza Mkwanja mkubwa kutoka Yutubu wakati huko Yutubu awamjui Mtanzania yeyote yule anaetoka Tandale angalia hapa kisha utafakali toka hizi picha nilizoweka kwenye hii Nyuzi
Mada Nyingine wewe umekuna na Chuki zako
Kwahiyo kama Hapati mkwanja ndio Ulete Raman Yadunia ili tukuone Mjuaji au!
 
Tatizo labda huenda jamaa hasoma maada nzima, ni kweli wasanii wanaofanya aina hii ya mziki wapo lakini ni wachache, hawana majina makubwa na wana airtime ndogo. wasanii wenye majina makubwa ndio huwa na impact kubwa ila wengi wao wanachoimba kwa sasa ni mapenzi ya chumbani.

Diamond alihofanya ni kusoma huu uwanja kaamua kutumia jina lake kubwa kufanya kinachofanywa na wachache ili kukuza mashabiki wengi zaidi,
Sema basi Story teller mwengine mzuri 20% nae yupo vizuri sana.
 
Mada Nyingine ww umekuna na Chuki zako
Kwahiyo kama Hapati mkwanja ndio Ulete Raman Yadunia ili tukuone Mjuaji au!
Diamond alishavuka stage hizo za kutegemea mpunga wa youtube, kwa sasa ana vyanzo vya pesa vya ziada, hata hizo pesa za youtube sanasana zinapunguza tu gharama ya kushoot video.

hata akipata viewers milioni 10 anaweza kuambulia shilingi milioni 15, kiasi ambacho kitarudisha tu gharama za ku shoot video kwa asilimia 60.
 
Our brain seeks pleasure by any cost and avoiding pains by any means. Ndio Mana uvivu Ni nature so kuendelea inabidi usiwe mvivu wa kuwaza ama kufanya kazi na huku uliozungukwa na DOPAMINE kibao sijui Kama Kuna kuchomoka
 
Back
Top Bottom