sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
wasanii wenye Hali nzuri nje ya Sanaa ta mziki, Kwa Sasa hawajishughulishi sana na mziki kama kazi zao kuu, ni wastaafu
Si jambo la kuficha kwamba ni wasanii wachache huwa wana hali nzuri za kiuchumi baada ya maisha ya muziki
Orodha ya hawa wasanii hatuwezi kusema kwamba ni matajiri wa kutisha sana ila itoshe kusema kwamba angalau kiuchumi wapo freshi,
Alafu cha kushangaza hata katika hao wachache orodha imejaa kundi kubwa la wasanii wa hiphop,
Sugu
Ashakuwa mbunge mara 2 wa mbeya, Ana dili zake toka kitambo enzi hizo 2002 anaitoa sugu moto chini aliwachana mapromota (Laki 1 na nusu kitu gani dili zangu milioni 1 , 2, 3 4, mpaka 5), Ukifika Mbeya maeneo ya ushuani mitaa ya Uzunguni, Taita huyu ana hoteli yake inaitwa Desderia
-Proffesor Jay
Nae ashakuwa mbunge wa Mikumi, Kibunda cha milioni 250 kiinua mgongo kinahusika
- AY
Yeye pamoja na mwenzake Mwana Fa walikunja kibunda cha bilioni 2 baada ya tigo kuwalipa kama fidia ya kutumia nyimbo zao kwenye miito ya simu bila ridhaa yao)
-Mwana FA
Ukiachana na mzigo mzito walioutwika yeye na mwenzake kutoka Tigo, kwa sasa huyu ni naibu waziri wa michezo
Bonta
Huyu ni daktari wa serikalini.
- Roho saba
Ni afsa wa jeshi mwenye cheo si haba,
Niki wa pili
Napendaga kumuita John kisomo wa hiphop yetu hapa Tz, Mwamba kabukua sio kitoto, ana PHD ya darasani, kwa sasa kalamba Teuzi ni Mkuu wa wilaya.
Si jambo la kuficha kwamba ni wasanii wachache huwa wana hali nzuri za kiuchumi baada ya maisha ya muziki
Orodha ya hawa wasanii hatuwezi kusema kwamba ni matajiri wa kutisha sana ila itoshe kusema kwamba angalau kiuchumi wapo freshi,
Alafu cha kushangaza hata katika hao wachache orodha imejaa kundi kubwa la wasanii wa hiphop,
Sugu
Ashakuwa mbunge mara 2 wa mbeya, Ana dili zake toka kitambo enzi hizo 2002 anaitoa sugu moto chini aliwachana mapromota (Laki 1 na nusu kitu gani dili zangu milioni 1 , 2, 3 4, mpaka 5), Ukifika Mbeya maeneo ya ushuani mitaa ya Uzunguni, Taita huyu ana hoteli yake inaitwa Desderia
-Proffesor Jay
Nae ashakuwa mbunge wa Mikumi, Kibunda cha milioni 250 kiinua mgongo kinahusika
- AY
Yeye pamoja na mwenzake Mwana Fa walikunja kibunda cha bilioni 2 baada ya tigo kuwalipa kama fidia ya kutumia nyimbo zao kwenye miito ya simu bila ridhaa yao)
-Mwana FA
Ukiachana na mzigo mzito walioutwika yeye na mwenzake kutoka Tigo, kwa sasa huyu ni naibu waziri wa michezo
Bonta
Huyu ni daktari wa serikalini.
- Roho saba
Ni afsa wa jeshi mwenye cheo si haba,
Niki wa pili
Napendaga kumuita John kisomo wa hiphop yetu hapa Tz, Mwamba kabukua sio kitoto, ana PHD ya darasani, kwa sasa kalamba Teuzi ni Mkuu wa wilaya.