Hawa ndio wasanii wa Tanzania wenye hali nzuri za kiuchumi baada ya maisha ya muziki. Nani kasahaulika?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
wasanii wenye Hali nzuri nje ya Sanaa ta mziki, Kwa Sasa hawajishughulishi sana na mziki kama kazi zao kuu, ni wastaafu

Si jambo la kuficha kwamba ni wasanii wachache huwa wana hali nzuri za kiuchumi baada ya maisha ya muziki

Orodha ya hawa wasanii hatuwezi kusema kwamba ni matajiri wa kutisha sana ila itoshe kusema kwamba angalau kiuchumi wapo freshi,

Alafu cha kushangaza hata katika hao wachache orodha imejaa kundi kubwa la wasanii wa hiphop,

Sugu

1697565595824.png


Ashakuwa mbunge mara 2 wa mbeya, Ana dili zake toka kitambo enzi hizo 2002 anaitoa sugu moto chini aliwachana mapromota (Laki 1 na nusu kitu gani dili zangu milioni 1 , 2, 3 4, mpaka 5), Ukifika Mbeya maeneo ya ushuani mitaa ya Uzunguni, Taita huyu ana hoteli yake inaitwa Desderia


-Proffesor Jay
1697565671068.png

Nae ashakuwa mbunge wa Mikumi, Kibunda cha milioni 250 kiinua mgongo kinahusika

- AY
1697565748633.png

Yeye pamoja na mwenzake Mwana Fa walikunja kibunda cha bilioni 2 baada ya tigo kuwalipa kama fidia ya kutumia nyimbo zao kwenye miito ya simu bila ridhaa yao)

-Mwana FA
1697565709331.png


Ukiachana na mzigo mzito walioutwika yeye na mwenzake kutoka Tigo, kwa sasa huyu ni naibu waziri wa michezo

Bonta
markup_1000133474.png


Huyu ni daktari wa serikalini.

- Roho saba
1697565938115.png

Ni afsa wa jeshi mwenye cheo si haba,

Niki wa pili
1697566124026.png


Napendaga kumuita John kisomo wa hiphop yetu hapa Tz, Mwamba kabukua sio kitoto, ana PHD ya darasani, kwa sasa kalamba Teuzi ni Mkuu wa wilaya.
 
Sijui ni Mimi tu nimeelewa tofauti? sky soldier ameweka bayana wasanii wenye hali nzuri nje ya Sanaa ya mziki. Nafikiri alilenga wale ambao kwa sasa hawajishughulishi sana na mziki kama kazi zao kuu za kujiingizia kipato.

Sasa watu wanataka waingizwe kwenye orodha akina Diamond au Lady Jaydee wakati wao bado wanafanya mziki.

Tujitahidi kidogo kuongeza umakini Kwa kusoma na kuelewa kabla ya kuuliza au kuandika jambo, hata mimi kuna wakati nafanya haya makosa.
 
wasanii wenye Hali nzuri nje ya Sanaa ta mziki, Kwa Sasa hawajishughulishi sana na mziki kama kazi zao kuu, ni wastaafu

Si jambo la kuficha kwamba ni wasanii wachache huwa wana hali nzuri za kiuchumi baada ya maisha ya muziki

Orodha ya hawa wasanii hatuwezi kusema kwamba ni matajiri wa kutisha sana ila itoshe kusema kwamba angalau kiuchumi wapo freshi,

Alafu cha kushangaza hata katika hao wachache orodha imejaa kundi kubwa la wasanii wa hiphop,

Sugu

View attachment 2784807

Ashakuwa mbunge mara 2 wa mbeya, Ana dili zake toka kitambo enzi hizo 2002 anaitoa sugu moto chini aliwachana mapromota (Laki 1 na nusu kitu gani dili zangu milioni 1 , 2, 3 4, mpaka 5), Ukifika Mbeya maeneo ya ushuani mitaa ya Uzunguni, Taita huyu ana hoteli yake inaitwa Desderia


-Proffesor Jay
View attachment 2784809
Nae ashakuwa mbunge wa Mikumi, Kibunda cha milioni 250 kiinua mgongo kinahusika

- AY
View attachment 2784811
Yeye pamoja na mwenzake Mwana Fa walikunja kibunda cha bilioni 2 baada ya tigo kuwalipa kama fidia ya kutumia nyimbo zao kwenye miito ya simu bila ridhaa yao)

-Mwana FA
View attachment 2784810

Ukiachana na mzigo mzito walioutwika yeye na mwenzake kutoka Tigo, kwa sasa huyu ni naibu waziri wa michezo

Bonta
View attachment 2784812

Huyu ni daktari wa serikalini.

- Roho saba
View attachment 2784814
Ni afsa wa jeshi mwenye cheo si haba,

Niki wa pili
View attachment 2784816

Napendaga kumuita John kisomo wa hiphop yetu hapa Tz, Mwamba kabukua sio kitoto, ana PHD ya darasani, kwa sasa kalamba Teuzi ni Mkuu wa wilaya.
Hamna mwenye pesa hapa katika wote uliowaorodhesha.
 
Back
Top Bottom