Hahahaha
Mwanamke akisema wewe sio type yake anamaanisha hujui kutongoza ...
Wakati mwanaume anamaanisha kweli wewe sio type yake..
Toka lini mwanamke akajua anataka nini




.Atakaza hapo weeee na dharau juu.Akijua badae upo bank utasikia mbona upo kimya sikuhizi umechukia nilivyokwambia vile hahahaa,akaja kujua una gari utasikia hivi wewe unashughulika na nini????wanawake wachache sana wakikwambia hiyo kauli unaweza take it serious...
Binafsi nikiambiwa hivo najipanga nimekosea wapi kwenye kutongoza,je nimeshindwa wapi kuji marketing mpaka huyu mwanamke kanishinda??