You are not my type

You are not my type

Mkuu hapo mwanzoni hauko sahihi kabisa, kwamba hakuna ambacho mwanamke anaweza kukukataa nacho zaidi ya umasikini? Sio kweli kabisa ingekuwa hivyo maskini wasingekuwa na wapenzi au ndoa
Kihisia unaweza kuwa sahihi lakini kiuhalisia nadhani sio sawa. Wanawake mnapenda life assurance kwa hiyo inavyo onekana kama hausomeki afu kuna mtu mwingine anaonekana yuko vizuri financial basi wewe ambaye bado hujakaa sawa kifedha thamani yako kwa mwanamke inapungua kiasi. Ndio nilichomaanisha kwa ile kauli yangu.
Mimi tayari yamenikuta tena kwa modern women ambaye ana elimu nzuri ya darasani na akili ya kiujasiriamali. Na mimi binafsi jinsi nilivyo nalijua endapo tungeshirikiana pamoja basi huenda tungefika mbali sana. kumbe akili ya mnwanamke haibadiliki pamoja na kumshirikisha plan zangu nyingi bado haikua msaadaNilichojifunza ni kwamba current status kwa mwanamke ina umuhimu sana, so bado sioni kwanini unapinga hoja yangu
 
Kihisia unaweza kuwa sahihi lakini kiuhalisia nadhani sio sawa. Wanawake mnapenda life assurance kwa hiyo inavyo onekana kama hausomeki afu kuna mtu mwingine anaonekana yuko vizuri financial basi wewe ambaye bado hujakaa sawa kifedha thamani yako kwa mwanamke inapungua kiasi. Ndio nilichomaanisha kwa ile kauli yangu.
Mimi tayari yamenikuta tena kwa modern women ambaye ana elimu nzuri ya darasani na akili ya kiujasiriamali. Na mimi binafsi jinsi nilivyo nalijua endapo tungeshirikiana pamoja basi huenda tungefika mbali sana. kumbe akili ya mnwanamke haibadiliki pamoja na kumshirikisha plan zangu nyingi bado haikua msaadaNilichojifunza ni kwamba current status kwa mwanamke ina umuhimu sana, so bado sioni kwanini unapinga hoja yangu
Naomba tukubaliane kutokubaliana
 
Kihisia unaweza kuwa sahihi lakini kiuhalisia nadhani sio sawa. Wanawake mnapenda life assurance kwa hiyo inavyo onekana kama hausomeki afu kuna mtu mwingine anaonekana yuko vizuri financial basi wewe ambaye bado hujakaa sawa kifedha thamani yako kwa mwanamke inapungua kiasi. Ndio nilichomaanisha kwa ile kauli yangu.
Mimi tayari yamenikuta tena kwa modern women ambaye ana elimu nzuri ya darasani na akili ya kiujasiriamali. Na mimi binafsi jinsi nilivyo nalijua endapo tungeshirikiana pamoja basi huenda tungefika mbali sana. kumbe akili ya mnwanamke haibadiliki pamoja na kumshirikisha plan zangu nyingi bado haikua msaadaNilichojifunza ni kwamba current status kwa mwanamke ina umuhimu sana, so bado sioni kwanini unapinga hoja yangu
Mwanamke yeyote wa kimjinimjini anaangalia status yako toka ulivyomfuata. Sote twajua wanawake wengi wa mjini wanapenda maisha mazuri hasa ya kuwa outstanding kwenye jamii inayomzunguka. Sasa mtu wa ku facilitate hio aina ya maisha ndio haswa anaemtaka na ambaye atakuwa tayari kuwa nae anyday. Wanaofulfill hicho kigezo ni ME wenye hela tu zingine ni ngonjera za kukufariji tu.

Uwe uko smart una kazi nzuri na ndinga lako unapush. Kwenye mitoko unamwaga noti (Spoil her) bila kuwaza hapo demu wa kimjini umemfikisha. Huna haja hata ya kutongoza, outing mbili tatu umekula mzigo.

Ukiona mwanamke wa kimjini ana date na mtu hana hela na katulia ujue huyo raia ana special character au ni usmart HB ndio unamsitiri. Zaidi ya hapo unatapeliwa tu na akija mwenye vigezo vyake vya kumu assure maisha mazuri unabwagwa!

Ndio maana sitaki mwanamke ambaye hana ishu 😂😂😂! Rate ya utapeli wa mapenzi kwa wanawake wanaojua kujitaftia ni ndogo sana.
 
Kauli kama hii itamkwe na mtu anayejua kukunja midomo ikasindikizwa na kamsonyo kwa sauti ya juu tena kwenye kadamnasi.

Mzee mzima unajikuta Viatu vimekuwa vikubwa kma tairi za trekta kutembea huwezi tena mdomoni kama umewekewa supa glue

Macho unashindwa utazame juu au chini au umtazame yeye.

Duh inahitaji ujasiri.
😂😂😂😂😂😂 kauli itoke kwa mtu kama Riyama Ally
 
Miss Becky sidhani kama uko sahihi, type sio kiwango, mnaweza kuwa viwango sawa lakini si type moja, mnaweza kuwa type ileile ila viwango tofauti
We wajuaje mi si type yako ilihali hatujawahi kuwa katikz uhusiano before!? Nipe chance tuwe wapenzi kisha ndio utapata jua kuwa sio type yako au la!
 
Hahahaha

Mwanamke akisema wewe sio type yake anamaanisha hujui kutongoza ...

Wakati mwanaume anamaanisha kweli wewe sio type yake..

Toka lini mwanamke akajua anataka nini .Atakaza hapo weeee na dharau juu.Akijua badae upo bank utasikia mbona upo kimya sikuhizi umechukia nilivyokwambia vile hahahaa,akaja kujua una gari utasikia hivi wewe unashughulika na nini????wanawake wachache sana wakikwambia hiyo kauli unaweza take it serious...

Binafsi nikiambiwa hivo najipanga nimekosea wapi kwenye kutongoza,je nimeshindwa wapi kuji marketing mpaka huyu mwanamke kanishinda??
We jamaa unatambua huu mchezo vyema sana. Hongera sana, watu wa marketing hawapati tabu sana. Ni swala la kuweka strategies vizuri tu.
 
Kwa mtazamo wangu, hayo maneno siyo mabaya kutumia lkn jinsi yanavyokua presented mtu anajiskia vibaya, mfano unamjibu mtu "you're not my type" huku umebinua kidomo unampandisha na kumshusha, hapo ni dharau, na imezoeleka ukijibiwa hivo means hufikii hadhi yake

hivo kama hmtaki mtu tumia maneno mengine ya busara huwezi jua huenda akakufaa baadaye wakati utakaposhusha vigezo
Sio mabaya eeh 😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom