financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,360
Na hiyo yenyewe ni joke( hilo domo mmh)Kwa mara kwanza nimependwa jamii forum.![]()

Na hiyo yenyewe ni joke( hilo domo mmh)Kwa mara kwanza nimependwa jamii forum.![]()

Mimi nimeshusha vigezo Mr troublemaker, nakupenda hivo hivo na domo lako![]()
(joke)
She gave, something which it was noble..!!See that’s what I am talking about especially if you’re in LOVE with that girl/lady.
Good. Nachukia sana mtu unayemwambia no halafu anauliza kwa nini.Mara nyingi hili jibu linakuja baada ya kulazimisha sana, unajibiwa no, unaforce kuuliza kwa nini, unaambiwa basi tu, unang'ang'ania. Hilo ndilo jibu linalofata.
Sasa hivi ukinijibu no nafunga chapter, siulizi sababu.
Nisome tena unielewe mrembo. Wanaume wana tabia ambazo hazishabihiani kwa 100%
She gave, something which it was noble..!!
Something you don't have to ask..Without any doubt you’d a wonderful time.


Kwani kuna haja ya kumweleza hayo maneno maisha yanazunguka kuna siku atakuwa type yako huwezi jua maisha haya. Kama humtaki mtu tumia neno la busara achana naye. Kwa mtazamo wangu
Good. Nachukia sana mtu unayemwambia no halafu anauliza kwa nini.
Hahaaaa, I'm joking bana. Ila ana kimdomo sijui ila ni lidomo aisee pana hiloLove is in the air eti DOMO!![]()

Nimekusoma.
Busara ni kitu kizuri sana endapo umejaliwa hilo maana busara nayo sio kama tako kila mtu analo
Kuna mtoto mmoja wa kike ashaniambia hivyo kipindi hiyo analiwa na wazee type ya Kina Kimei au Laswai
Nikaona isiwe ishu mama tembea na gepu
Ukapita muda huyu Mungu sio Athuman kanikuta sehemu na wa kumsaidia ni mimi alitamani ardhi ipasuke azame
Basi mie nikamsaidia hakuamini ,ndio kuanza kujipendekeza na mambo yangu elfu 15 yananisumbua naanzia wapi tena kuhangaika naye nikafunga vioo na mimi nikatambaa na gepu langu
Naimani alijifunza kitu japo ilishakuwa too late .
Mara nyingi hili jibu linakuja baada ya kulazimisha sana, unajibiwa no, unaforce kuuliza kwa nini, unaambiwa basi tu, unang'ang'ania. Hilo ndilo jibu linalofata.
Sasa hivi ukinijibu no nafunga chapter, siulizi sababu.
Good. Nachukia sana mtu unayemwambia no halafu anauliza kwa nini.
ni ubinadamu tu..kutumia maneno mazuri kama mtu sio wa 'viwango' vyako..
.kumuambia mtu sio type yake mie naona ni dharau!...
unamuacha mtu feeling inadequate....
..anawaza saa zote hao wa type yako sijui wakoje? lol
Kwani kuna haja ya kumweleza hayo maneno maisha yanazunguka kuna siku atakuwa type yako huwezi jua maisha haya. Kama humtaki mtu tumia neno la busara achana naye. Kwa mtazamo wangu
Ni vema mmeyasema nyie wenyewe....maana haya yangetoka upande wetu, may be tusingeleweka kabisa!!!Wakatae kiakili sio kikauzu hivyo!
AimeeeenNi vema mmeyasema nyie wenyewe....maana haya yangetoka upande wetu, may be tusingeleweka kabisa!!!
Much blessing to you Dadas...