BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Wengi hudhani mwanamke ni cheap kesho akimuona mwingine atamtongoza pia. Hata mkiwa wapenzi mara nyingi penzi halidumu kwa muda mrefu.
Kwa nini hawapendi?
Kwa nini hawapendi?
Acha bnaaWengi tu. Wengine member wa hapahapa Jf
Yeah mimi pia huwa napenda kusema hivi sema mwingine ukimwambia hivyo ndio anakugandaaaI don't think kama i'm good enough for you. Huwa najiweka kwenye angle ambayo mtu anayekataliwa ajione hana kasoro na mimi ndio simstahili. Hata mimi im not good for everyone so why should i bellitle someone coz of their own feelings towards me. Kwanza its a blessing kupendwa





Najua huwez kukubali ASAP hapa hapa, njoo whatsapp plz.
jina langu hata kufanana halifanani na hilo
Kuna dada mmoja alitongozwa na kaka mmoja wakiwa chuo akamjibu 'over my dead body' mwanaume alikomaa mpaka kikaeleweka sasahivi ni wanandoa wana watoto wawili.
Wakati mwingine mtu anajitamkia tu akiona bado anawashika pembe wengi.



hatari sanaKuna pipo hazijui neno "NO". Wasipoelewa maneno yako, let them deal with your silence.Yeah mimi pia huwa napenda kusema hivi sema mwingine ukimwambia hivyo ndio anakugandaaa
Kuna dada mmoja alitongozwa na kaka mmoja wakiwa chuo akamjibu 'over my dead body' mwanaume alikomaa mpaka kikaeleweka sasahivi ni wanandoa wana watoto wawili.
Wakati mwingine mtu anajitamkia tu akiona bado anawashika pembe wengi.
Si mara zote mtu anayesema hamuendani anamaanisha. Wengi hutoa kauli hiyo out of immaturity, arrogance na kibri.Kama mtu hamuendani ni hamuendani tu hata ipite miaka mia
Inawezekana ni kweli usemacho, lakini kwa wakati huo si inakuwa iko hivyo?Si mara zote mtu anayesema hamuendani anamaanisha. Wengi hutoa kauli hiyo out of immaturity, arrogance na kibri.
Mfano unamwambia mtu sio taipu yako kisa hana taco, hapo unakuwa ni msukumo wa immaturity.
Narudi soon. Nilienda kununua kiberiti dukaniSon nini bwana, halafu umenikimbia kule
Swala sio kwamba hilo neno linatukwaza, shida inakuja pale tu mnavyolitamka "nadhani mnajua".Wanaume na wanawake, let's say umetongoza au unampenda mtu yeye akakujibu 'You are not my type' au ukasikia anamwambia mtu kuwa you are not his/her type utalipokea vipi?
Mimi ninavyojua mtu akisema wewe sio type yake anamaanisha wewe si aina ya mtu ambaye angependa kuwa naye, haimaanishi amekudharau, amekushusha na kukuona una hadhi ya chini kuliko yeye kama wengi tunavyofikiria.
Kwenye mapenzi kila mtu kipo anachopenda iwe ni katika mwonekano au personality kiujumla. Wapo wanaume wanapenda chubby girls, wengine wanapenda English figure, wapo watu wanapenda mtu mchangamfu, anayeweza kufanya acheke muda wote lakini wengine wanapenda makauzu, kuona jino lake mwaka mpya hadi mwaka mpya. Kwa hiyo akikutana na wewe upo kinyume cha hapo ni kwamba wewe si type yake.
Japo si busara kumchana mtu live kuwa 'wewe si type yangu' lakini haina haja ya kukasirika, kuumia na kujenga chuki ukisikia kitu kama hicho. Maana wengine wakiambiwa hivyo wanaanza kuchambua demu mwenyewe miguu yote ya kushoto, sura kama anaramba ndimu anawezaje kutamka maneno kama hayo? Relax, kunywa maji then tafuta wa kufanana na wewe, yupo mahali anakusubiri.
Pengine kilichomfanya Diana asikupende ndio hichohicho kitakachomfanya Mwajuma asilale kwaajili yako.
Thanks
