Miss Becky sidhani kama uko sahihi, type sio kiwango, mnaweza kuwa viwango sawa lakini si type moja, mnaweza kuwa type ileile ila viwango tofautini ubinadamu tu..kutumia maneno mazuri kama mtu sio wa 'viwango' vyako..
.kumuambia mtu sio type yake mie naona ni dharau!...
unamuacha mtu feeling inadequate....
..anawaza saa zote hao wa type yako sijui wakoje? lol
Ulimfanya nini binti wa watu jamani
Aisee kwani mtu hadi anaamua kukataa au kukubali si maana yake amekukagua, then anasema huyu yes au no
Kwani mnakuwa mmefahamiana siku hiyo hiyo? Kama alikuwa anakufahamu mienendo yako siku nyingi. Ila si busara hata kidogo kutamka hivi hata kama mtu humkubaliWengi wao unakuta mtu umemtingoza first time and anakujibu " You are not my type
Inachoma kama pasi
Mimi na we we hatuendani. Kifupi sana.tusaidie kuiweka kwa Kiswahili tafadhali
Yapo sana hapa tunakumbushana kuona sio maneno mazuri je ukiambia utayachukuliaje? Kwakweli ni neno litakalo kutesa maana unaweza kujiona sio mtu wa kawaida hahahah binadamu wana maneno ya karaha sanaNi kweli blaki woman hata mimi nimesema kwamba si busara kumtamkia mtu hivyo lakini yapo na yanatamkwa, unaweza usitamke wewe ila ukatamkiwa
Hahaha ila haya huwa wanayasema mabinti wadogo, watu wazima tunayasema kiutu uzimaYapo sana hapa tunakumbushana kuona sio maneno mazuri je ukiambia utayachukuliaje? Kwakweli ni neno litakalo kutesa maana unaweza kujiona sio mtu wa kawaida hahahah binadamu wana maneno ya karaha sana
Anaweza asikuambie ila ukasikia amesema kwa watu


Yaani pamoja na lihogo nilonalo halafu dem akinambia "You are not my type" najua anapenda kiba100



.Atakaza hapo weeee na dharau juu.Akijua badae upo bank utasikia mbona upo kimya sikuhizi umechukia nilivyokwambia vile hahahaa,akaja kujua una gari utasikia hivi wewe unashughulika na nini????wanawake wachache sana wakikwambia hiyo kauli unaweza take it serious...