Yondani anaweza kupata pesa nyingi kuliko kipindi chote alichocheza mpira

rodrick alexander

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
15,206
20,191
Kwa wale wanaofatilia Azam TV, kuna mahojiano na mashabiki kuelekea mechi ya Yanga na Simba. Katika mahojiano hayo kuna shabiki mmoja wa Yanga anatamka bila wasiwasi na Azam TV kumuweka hewani kuwa, Simba hawawezi kufunga Yanga bila makandokando na hata walipomfunga nne walimhonga Yondani.

Yondani bado anacheza mpira kama ajira yake, kitendo cha kumhusisha na hongo kitamfanya asiaminike hata pale inapotokea akafanya kosa kwa bahati mbaya. Pia kitawapa mashaka waajiri wake hata kutomuongezea mkataba.

Katika ile mechi, Yondani aliingia mwishoni wakati timu imeshafungwa, kwanini sasa wamhusishe na hongo? Kwa TV kama Azam sikutegemea kama wanaweza kukosa weledi na kurusha kipindi bila kufanya uhariri, hivyo ni muda sahihi wa Yondanj kuchukua hatua za kisheria dhidi yao.
 
Hata humu ipo haja baadhi ya watu inabidi kutowaacha salama wanatumia mwamvuli kusema vitu bila ushahidi. Utasikia Yanga wanapitisha bahasha sana haya mambo kwa namna fulani huathiri jamii yetu hata asiye amini akaamini kwa sababu tu mpuuzi mmoja kwa chuki zake ameamua kusambaza kinyesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi huwa najiuliza sana maana hii kauli umejaa sana humu.
Najiulizaga hivi watu wana ushahidi au wanaongea tu kujifurahisha.
 
Kwa wale wanaofatilia Azam TV, kuna mahojiano na mashabiki kuelekea mechi ya Yanga na Simba. Katika mahojiano hayo kuna shabiki mmoja wa Yanga anatamka bila wasiwasi na Azam TV kumuweka hewani kuwa, Simba hawawezi kufunga Yanga bila makandokando na hata walipomfunga nne walimhonga Yondani.

Yondani bado anacheza mpira kama ajira yake, kitendo cha kumhusisha na hongo kitamfanya asiaminike hata pale inapotokea akafanya kosa kwa bahati mbaya. Pia kitawapa mashaka waajiri wake hata kutomuongezea mkataba.

Katika ile mechi, Yondani aliingia mwishoni wakati timu imeshafungwa, kwanini sasa wamhusishe na hongo? Kwa TV kama Azam sikutegemea kama wanaweza kukosa weledi na kurusha kipindi bila kufanya uhariri, hivyo ni muda sahihi wa Yondanj kuchukua hatua za kisheria dhidi yao.
aangalie tu na yy acje akajaa kwny mtego wakat unamshaur na una maon anaend kuvun pesa icje ikawa akatoa yy pesa
 
Hata humu ipo haja baadhi ya watu inabidi kutowaacha salama wanatumia mwamvuli kusema vitu bila ushahidi. Utasikia Yanga wanapitisha bahasha sana haya mambo kwa namna fulani huathiri jamii yetu hata asiye amini akaamini kwa sababu tu mpuuzi mmoja kwa chuki zake ameamua kusambaza kinyesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungewataja tu kwa majina yao feki hao mbulugila wanatoa malalamiko yao humu, huku wakiwa hawana ushahidi wowote ule.

Mimi naanza na huyu GENTAMYCINE! Amekuwa ni mbulugila mwenye malalamiko ya uongo sana! Mwingine ni huyu mbulugila njaakalihatari! Mbulugila wengine nimewaweka akiba. Ila kuna siku nao nitakuja kuwataja hadharani.
 
Kwa wale wanaofatilia Azam TV, kuna mahojiano na mashabiki kuelekea mechi ya Yanga na Simba. Katika mahojiano hayo kuna shabiki mmoja wa Yanga anatamka bila wasiwasi na Azam TV kumuweka hewani kuwa, Simba hawawezi kufunga Yanga bila makandokando na hata walipomfunga nne walimhonga Yondani.

Yondani bado anacheza mpira kama ajira yake, kitendo cha kumhusisha na hongo kitamfanya asiaminike hata pale inapotokea akafanya kosa kwa bahati mbaya. Pia kitawapa mashaka waajiri wake hata kutomuongezea mkataba.

Katika ile mechi, Yondani aliingia mwishoni wakati timu imeshafungwa, kwanini sasa wamhusishe na hongo? Kwa TV kama Azam sikutegemea kama wanaweza kukosa weledi na kurusha kipindi bila kufanya uhariri, hivyo ni muda sahihi wa Yondanj kuchukua hatua za kisheria dhidi yao.
Naona upepo wa hela unamuelekea Cotton ashindwe mwenyewe tu kuzikinga. Ingekuwa mimi ndiyo ile tunaita mbuzi kafia kwa muuza supu.
 
Ungewataja tu kwa majina yao feki hao mbulugila wanatoa malalamiko yao humu, huku wakiwa hawana ushahidi wowote ule.

Mimi naanza na huyu GENTAMYCINE! Amekuwa ni mbulugila mwenye malalamiko ya uongo sana! Mwingine ni huyu mbulugila njaakalihatari! Mbulugila wengine nimewaweka akiba. Ila kuna siku nao nitakuja kuwataja hadharani.
Wengi wakurupukaji tu wanapenda kuropoka ropoka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom