MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 20,111
- 35,479
Wengine wanasema ile gari ya Sirro chini ina jeki, sijui mazingira sio collesium blah blah ....na kuita press juu huku majuzi hakuna la maana aliloongea.
Yaani hata kama Polisi labda wanakosea lakini hao waliojipa dhamana ya kuwa wasemaji wa hili wanakurupuka mno kuliko hata hao Polisi.
Tunamtaka MO kwa juhudi zote lakini ni vema tusikurupuke na matamko hadi kuishia kuzidi ku complicate issues unnecessary.
Watu wanazungumza maneno mazito kama vile wana uhakika kabisa au wanajua MO alipo! Kuweni wazi ili Watanzania wajue badala ya hakika iliyojaa mafumbo.
Alafu Lema hiyo press kesho njoo na habari mpya mzee badala ya hadithi ambazo kila siku tunazipiga humu. Kwa nafasi zenu mnaweza ku handle hili kwa tija zaidi badala ya kukurupuka kuliko hao wakurupukaji wenyewe.
Yaani hata kama Polisi labda wanakosea lakini hao waliojipa dhamana ya kuwa wasemaji wa hili wanakurupuka mno kuliko hata hao Polisi.
Tunamtaka MO kwa juhudi zote lakini ni vema tusikurupuke na matamko hadi kuishia kuzidi ku complicate issues unnecessary.
Watu wanazungumza maneno mazito kama vile wana uhakika kabisa au wanajua MO alipo! Kuweni wazi ili Watanzania wajue badala ya hakika iliyojaa mafumbo.
Alafu Lema hiyo press kesho njoo na habari mpya mzee badala ya hadithi ambazo kila siku tunazipiga humu. Kwa nafasi zenu mnaweza ku handle hili kwa tija zaidi badala ya kukurupuka kuliko hao wakurupukaji wenyewe.